Matata
315 posts

Matata
@blackLGX
Pan Africanist| trust in GOD| farmer| politics| Gaming| braster🧨 GGML


Ulikuwa na maadui wengi walikuwa wanakutafutia engo wakupasue, but for me wewe ni mtu mwema na haunaga noma na mtu🫡

Toka 29 tuko kwenye vita kali sana ya kisiasa iliyojaa hisia nyingi na uchungu(hadi kukoseana heshima). Tunapoibadili vita hii na kuwa vita ya uchumi binafsi baina yetu vijana tunapoteza direction zaidi na wanufaika ni wachache na wanafurahia(huyu atabet,huyu atafanya hiki but lengo ni hela hakuna ajira tuheshimiane but tuwe kwenye mstari mmoja-kuikomboa nchi),sio kila ukweli lazima usemwe mwingine unauacha watu waje washuhudie wenyewe(binafsi nimejifunza hilo), tupishane mawazo but tusipoteze direction... Kijiti kwenu Gen Z💪




@MkulimaKante Kwani dokta ndio anafanya mtu asife au ndokta anaweza kurudisha roho ya mtu aliye kufa. Akishwali dotto magari yupo sahihi kabisa huu mfano wako usijaribu kuwambia watu wenye akili timamu dogo dokta ni kama sababu tu .




Wachumi naombeni maelezo kwa upole kwanini Shirika la ndege la Tanzania (ATC) linapata HASARA kila mwaka report ya CAG inapotoka? 👉🏿Abiria hawatoshi? 👉🏿Madeni (revenue against debts) 👉🏿Gharama kubwa za matengenezo 👉🏿Gharama kubwa za uendeshaji? 👉🏿Nyinginezo? Msaada wa UFAHAMU

















