Mafuta Ya Upako.

6.8K posts

Mafuta Ya Upako. banner
Mafuta Ya Upako.

Mafuta Ya Upako.

@bosskitamb

Maisha Ya Sasa Bana 🚮

world wide Katılım Haziran 2017
2K Takip Edilen727 Takipçiler
Shasila Nabipa
Shasila Nabipa@Shasilanabipa·
Baada ya Tundu Lissu kumaliza awamu yake mnaonaje huyu mwamba akivaa mikoba na kuwa mwenyekiti Taifa ..??
Shasila Nabipa tweet media
Indonesia
66
32
408
22.7K
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Tangu uteuzi wa Angela Kiziga shemasi Kigogo amekuwa mkali sana😂
Indonesia
21
13
316
18.1K
Mafuta Ya Upako.
Mafuta Ya Upako.@bosskitamb·
@JosmanStima Mwanamke ukionyesha upo seriusly nae basi ndio ticket ya kukuumiza, Mm ilishawahi nikuta hiyo ndio maana nasema wanawake sio kipaumbele changu kabisa..🚮
Filipino
0
0
3
110
LI BRO STIMA ⚡
LI BRO STIMA ⚡@JosmanStima·
Watu "mwanamke ukimhudumia vizuri na ukimpa Kila kitu hawezi kukusaliti atatulia nawe" Mke wa yule msanii nick wa 2👇😂😂😂😂
LI BRO STIMA ⚡ tweet media
Indonesia
24
24
113
4.5K
Mafuta Ya Upako.
Mafuta Ya Upako.@bosskitamb·
@godbless_lema Mzee haya mambo ni makubwa kwa nchi zetu za africa? Bado tuna malengo ya kuongeza matundu ya choo kwenye shule zetu
Filipino
0
0
0
38
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Teknolojia inavyoendelea kwa kasi, ndivyo baadhi ya vitu tulivyoviita raslimali za Taifa vinavyoanza kupoteza msingi wake wa thamani. Hili si jambo la kubahatisha bali ni mwelekeo wa dunia ya leo. Ndiyo maana inahitaji maarifa, maono na uadilifu wa hali ya juu katika kufanya maamuzi ya rasilimali mapema kabla hatujapitwa na wakati. Mfano halisi ni soko la almasi. Leo hii bei ya almasi imedondoka kwa takribani asilimia 27 hadi 60. Sababu kubwa ni kuibuka kwa almasi za maabara (lab-grown diamonds) ambazo zimechukua hadi karibu nusu ya soko la ndoa Marekani. Zaidi ya hapo, almasi hizi zinauzwa kwa bei ya chini kwa asilimia 30 hadi 70 ukilinganisha na zile za asili. Huu ni ushahidi wazi kwamba teknolojia inaweza kubadilisha thamani ya rasilimali kwa muda mfupi sana, kile kilichoonekana kuwa adimu jana, leo kinaweza kuzalishwa maabara kwa wingi. Lakini wakati dunia inabadilika kwa kasi hiyo, sisi bado tunabaki kwenye mambo ya ajabu na ya aibu hadi kufikia hatua ya kuwa na mijadala ya “nyeti kupotea” kana kwamba hilo ndilo ajenda kuu ya Taifa. Ufara ufara mwingi, kelele zisizo na mwelekeo, wakati dunia inaenda kwa kasi ya mwanga. Hali hii inaonekana pia katika usimamizi wa miradi mikubwa ya kimkakati. Mradi wa gesi nchini Tanzania umechukua zaidi ya miaka 25 katika hatua za majadiliano, mipango na maandalizi bila kufikia utekelezaji kamili. Huu si ukosefu wa rasilimali, bali ni dalili ya ukosefu wa maamuzi thabiti, kasi ya utekelezaji, na uwajibikaji wa kweli. Wakati huo huo, dunia inaelekea kwenye mabadiliko ya nishati (energy transition), jambo linaloweza kupunguza thamani ya rasilimali kama gesi kabla hata hatujainufaika kikamilifu. Ukweli unabaki kuwa rasilimali peke yake haitoshi. Taifa linaweza kuwa na utajiri mkubwa chini ya ardhi, lakini bila maarifa, maono na uongozi wenye uadilifu, utajiri huo unaweza kubaki kuwa hadithi isiyo na matokeo. Ni wakati wa kutambua kwamba dunia haisubiri mtu. Tukichelewa kufanya maamuzi sahihi leo, kesho tutakuta thamani ya tulichokuwa tukikitegemea imeshapotea.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
21
83
462
20.1K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
𝐍𝐀𝐖𝐀𝐉𝐔𝐙𝐀 : Mama Kizigha ni mtoto wa masikini aliyejitafuta, utotoni kaishi maisha magumu ya kukosa chakula aliishi na Baba yake akiwa hana kazi hadi Baba yake alipopata DAILYNEWS, aliwalea na kusomesha wadogo zake ni HUSTLER, Ndiyo maana Rais Samia kamuinua kipaji chake.
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
62
3
41
17.7K
TheRedGiant
TheRedGiant@hassanlugelo·
@hilarymbowe_ @bosskitamb @EduTalkTz 😀😀😀 nilijua tu wazee wa firmament na flat earth tukienda kwenye logic mnalala mbele. kwenye flat earth hamjui umbali wa firmament wala ukubwa wa dunia
Filipino
1
0
0
23
Thanos
Thanos@TheHertkiller·
@bosskitamb @hilarymbowe_ @EduTalkTz Sasa unashangaa hayo maajabu? Utaamini uwepo wa Mungu sasa? Ukute unaamini Yesu Alitembea juu ya Maji ila hutaki kuamini Dunia inazunguka na Wala hauhisi chochote 😂
Indonesia
1
0
0
50
Hilary Mbowe
Hilary Mbowe@hilarymbowe_·
@bosskitamb @EduTalkTz Watu wajinga sana ,leo ukirusha kitu juu ukakizungusha kwa speed kina onekana ila dunia ukiwa juu kwa height yoyote huoni ikizunguka
Indonesia
4
0
1
523
Mafuta Ya Upako.
Mafuta Ya Upako.@bosskitamb·
@hilarymbowe_ @EduTalkTz Mpaka leo napata ukakasi nikiambiwa dunia hujizungusha kwenye muhimili wake na bado hatudondoki wala kuhisi mzunguko? Huo ni uongo wa hari ya juu
Filipino
6
0
1
508
Hilary Mbowe
Hilary Mbowe@hilarymbowe_·
@EduTalkTz Asee ni shida sana kutoka nje ya matrix ,ni vile wana macho ila hawaoni , wana masikio ila hawasiki
Hilary Mbowe tweet media
Indonesia
17
1
6
2.3K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Uongozi wa Singida Black Stars umetangaza kuvunja benchi la ufundi pamoja na kupunguza mishahara ya wachezaji wote kwa asilimia 40 mpaka mwisho wa msimu. Aidha, Singida BS imesema imefuta bonasi zote zilizokuwa zinatolewa pindi timu inaposhinda na kupunguza posho za safari kwa asilimia 40.
Swahili Times tweet media
Filipino
18
10
458
35.4K
Aruatani✨
Aruatani✨@Aruatani·
Mahuni ya CCM yakiamua kukuharibia hayabahatishi ni either yakuweke wewe karibu au Mke wako kisha yabutuweee... 😂🚮
Aruatani✨ tweet mediaAruatani✨ tweet media
Indonesia
25
28
474
70.3K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Usafiri wa boda boda(Pikipiki) haukupaswa kuwa usafiri wa umma. Boda boda imegeuka njia ya kupeleka vijana na watu wengi kwenye vifo, ulemavu na umasikini. Ukosefu wa sera za uchumi, usalama barabarani, na ujinga wa kisiasa ni msingi mkuu wa janga hili. Kutega kura kwa gharama ya damu ni dhambi na ujinga wa kiwango cha juu. Kukaa kimya ni kushiriki kwenye mauaji na mateso haya. Vijana hawa siku moja, watashituka kuwa hawakuongozwa vyema na hali itakuwa mbaya sana kwenu.
Indonesia
45
112
748
38.5K
PàChâ#1738 💫
PàChâ#1738 💫@Tweener003·
Sema inaonekana asilimia kubwa ya watu maarufu au watu wenye hela wanaowaga wanawake wasiowapenda ,wanawake wanawakubali kwa ajili ya maslahi binafsi tu na inaonekana ni watu wanaoongoza kugongewa sana aisee .
PàChâ#1738 💫 tweet media
Indonesia
27
17
123
5.6K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Huyu Mkali anachekesha kama Hatokei kwenye Nchi yenu ..😂😂😅
Eng.Mapunda Jr tweet media
Indonesia
37
25
263
11.9K