BUHA FM RADIO
208 posts

BUHA FM RADIO
@buhafm
The Radio is voted to give voice to the voiceless by enabling information sharing, social cohesion in local communities and refugees in western Tanzania and EA
Kasulu Kigoma Katılım Şubat 2020
423 Takip Edilen101 Takipçiler

Medical Teams yaadhimisha siku ya ukimwi duniani kwa kuhamasisha jamii ya wakimbizi kupima na kudhukua tahadhali. Wakimbizi zaidi ya 300 wanaishi na VVU katika kambi ya Nduta Kibondo. @medicalteams @UNHCRTanzania @UNAIDS




Indonesia

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA MWL VUMILIA SIMBEYE youtu.be/VVADpv2U9iQ?si… via @YouTube

YouTube
Indonesia

Namshukuru Mungu kwa kuongeza mwaka. Asanteni sana wote mlionitumia salaam za heri na upendo katika siku yangu. Mwenyezi Mungu atujalie umri mrefu, wenye heri na afya njema. #VirgoWoman💪
Nb. Asante sana kwa alietengeneza poster hii. I'm so much humbled🙏. Mungu akulipe heri.

Indonesia

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mhe. Xi Jinping aliyeambatana na Mkewe Profesa Peng Liyuan katika ukumbi wa The Great Hall of the People Jijini Beijing tarehe 04 Septemba, 2024. Hongera Mama @SuluhuSamia kazi iendelee


Indonesia

Waziri Mkuu @KassimMajaliwa_ amekutana na mkurugenzi mpya wa WHO kanda ya Afrika na mbunge wa Kigamboni @DocFaustine wameteta mengi kuhusu uhusiano wa kimataifa na masuala ya afya




Indonesia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024. Hongera sana Mh. mama wa Taifa @SuluhuSamia



Indonesia

🌱🐘 In recent years, China has significantly enhanced the habitats of Asian elephants through key projects like habitat restoration, food source development, and ecological migration corridors. Thanks to these conservation efforts, the wild population of Asian elephants has grown from about 180 in the 1980s to over 300 today! 🌿💪
#GreenChina #WildChina #Biodiversity #NatureLover #NatureWonder #WildlifeConservation #ElephantProtection @goyunnanchina @Amazing_Yunnan @YunnanConnect



English

Mhe. RAIS @SuluhuSamia Tunashukuru kwa kukitambua chama cha waandishi wa habari za vijijini, pia ni waasisi wa mtandao wa Radio za Kijamii Tanzania ndio tumeanzisha chama hiki. Tunaomba uungwaji mkono wako x.com/NevilleMeena/s…
Neville Meena@NevilleMeena
Asante Mh. Rais SSH kutambua uwepo Rural Journalists Association of Tanzania [RUJAT]. Wajibu wetu ni kuzipa fursa habari za vijijini ambazo licha ya kuandikwa sana, hazipati nafasi kwenye vyombo vyetu vya habari. Wana RUJAT tunafanya kazi hii kwa moyo wa dhati.@SuluhuSamia 🙏
Indonesia

@SuluhuSamia Buha FM Radio Kigoma inakupongeza sana kwa ziara zenye tija huko Jamhuri ya Korea. Tunaomba utukumbuke kuna ombi letu mezani kwako kupitia kurugenzi ya mawasiliano ya Rais Ikulu. Sisi ni sauti ya Kigoma buhanews.co.tz
Indonesia

@dr_mpango Hongera sana Mheshimiwa, hii ni hatua mhimu sana kwa taifa letu. Hii Dira ni tool mhimu sana kwa taifa, nchi yetu inahitaji uwajibikaji Dira itasaidia kuondoa utashi wa mtu binafsi kwenye masuala ya Taifa. Mama Tanzania anaihitaji hiyo dira kabla ya uchaguzi wa 2025
Indonesia

Leo nimefungua Kongamano la Kwanza la Kitaifa kuhusu Maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.
Pamoja na mambo mengine Dira ya 2050 inapaswa iwe ya vijana zaidi na kwa ajili ya vijana kutokana na idadi yao ya asilimia 77.5 nchini. Dira ya 2050 ni muhimu ijengwe juu ya mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa Dira inayofikia ukomo, kwa kuyaimarisha na kuyatumia kama nyenzo ya kuongeza kasi ya mabadiliko makubwa.
Itapaswa pia kubainisha kwa undani changamoto kuu za ndani na za nje, pamoja na zile za zamani na zinazoibukia ambazo ni kikwazo kikubwa kwa nchi yetu katika kupata maendeleo haraka. Na hapa itakuwa vema yakibainishwa kwa ukweli na uwazi.
Ninawaalika na kuhimiza Wizara zote, Taasisi za Umma, Idara zinazojitegemea, Wakala wa Serikali, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, Sekta Binafsi, wananchi wote na hasa vijana, Watanzania wanaoishi Ughaibuni na Wadau wengine wote kujitokeza kutoa maoni na mikakati inayotekelezeka ya kuipaisha Tanzania kiuchumi na kijamii.




Indonesia

VIDEO.
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” Simbachawene.
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira George Simbachawene
wakati akijibu hoja za mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina (CCM) wakati wa mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora) kwa Mwaka wa fedha 2024/2025
Indonesia

Prof. Ndalichako apeleka shangwe la Eid kwa watoto wenye ulemavu buhanews.co.tz/2024/04/prof-n…
HT















