
uncle_tucchi
4.6K posts











Haya maisha yako tofauti sana kampuni nyingine zimepandisha nauli karibia 10k zaidi, ila pala #KataramaLuxury nauli zimeshushwa na nyingine kupaki pale pale.








Naona Songea biashara zinakuwa kwa kasi sana. AirTanzania sasa kaongeza route kutoka 3 hadi nne kwa wiki. Banks sikuzi wanafungua hadi jumapili na sikukuu. Azanai Bank nao naona wameweka kambi tayari.



🚨UPDATES, MEJA GEN ISAMUHYO Yanga wako Meja Gen Isamuhyo kufanya mazoezi ya mwisho muda huu! Huku mvua ikiendelea kumwagika Wanalalamika kuwa hali ya pitch hairidhisha, boli halidundi🤦🏽♂️ ✅ Meja Gen Isamuhyo, ndio uwanja rasmi wa mchezo wa Kariakoo Derby kesho









@MarekaMalili Ukitoa wasukuma hii nchi watu wanakufa nenge, ila ukitoa Wanyaki, parachichi zitapana bei kinoma .















