behind the scenes
1K posts


@IAmHaule Sijawahi kuona ajali ya uzembe ikisababishw na dereva 45+ au umri wowote dereva wa kike
Indonesia

@IAmHaule Hujui t hao vijana wa Tamisemi wanavyorogwa huko.kijijin,usifikili wao ni wajinga asilimia 90 wanaomba uhamisho
Indonesia

@Balyx_ Mimi nilishawahi kukutana nacho, Am serious about this, Kindege cha duara kidogo lakini kama size IST mbili hivi au tatu, rangi Yake ni kama Silver hv, klkuwa kinang'aa Sana, yaani kama vle kioo kkpigwa na jua, kidude klkuwa kama kimenata angani, mara vuup kikapote in second.
Filipino

@maila_kasorii Kama hujajipanga na huna chale mbili tatu kam za Lubasha matakoni,utakua unanunua jiwe lingaa kbs mali unaiyona ila ukisaga unapat g2
Indonesia

@Tweener003 Kama hujaandika tarehe anakuandikia na ukiona umeandikiwa mfate mwenyew ofsin kbl hajakufata
Nimemkumbk mwl wang Mageka kila siku asbh utakuta maswal 5 y hesabu sjui alikuwa anaandka saa ngp
Indonesia

@Iam_Malunguja Ndo hivyo mama yoyote yule Duniani anapenda kudanganywa
Indonesia

@little_kid2 @Eric__Bernard 😅😂🤣🤣😂yaan mtu asukume reli kwa 20k afu umuombe ada
Angalia na watu wakuomba ndg yangu
Indonesia

@MrCEO001 Uiache Rindi, Mtwara, Tabora
Uiweke Mara mkoa ambao walima mara 2 kwa mwaka,mkoa ambao una madini,
Filipino

@MkulimaKante Hayo ni matokeo ya sangara na santo sio senene, Tembelea ukerewe na Musoma
Nb Tatizo mchuzi huo huja na nyege ndo maana hata ukimwi ulianzia huko
Indonesia

@Iam_Malunguja Niliend zahanat kupima sikuridhik n majib ikabid niende hosp kubw,baad y vpimo, Dawa nambiwa Bima yang itumia daw hizo dani y siku1 ilypta hivyo niztumie nispo pona nirud kubadlishiw daw
Ikabd ninunue daw kw Cash kish nkard ku deal na doct uzr skumharibia kaz ila hatonisagau
Filipino

@Sirajitz1 Matangazo,kurusha live za serikali, propaganda,betting
Indonesia

@Tinahcristiaan Hujawaza kuwa na supu ya samaki maana samaki wapo wa kutosha kutoka kwa brother @MarekaMalili pia utapata chale 2tu kwa ajili ya kuongeza wateja
Indonesia

@MarekaMalili Kuna hii kauli ya" kula sio kujaza tumbo chagua unachokula kula"
Wengi hawajui thamani ya mchuzi wa Sato kama unaweza kusimama badala ya maziwa ya kopo tunayowanywesha watot wetu
Indonesia

@Sammakuku @EsirEid @fatma_karume Mimi niliamini Mbowe n mpinzani wa kweli na anatumia hata Fedha bifsi kwa maslahi ya chama baada ya Lissu kushinda siamini kbs siasa
Indonesia

@EsirEid Binafsi niliachaga na wanaharakati tangu nilipogundua kuwa @fatma_karume hakuwa mzalendo bali mbaguzi wa uzanzibari, ujinsia na udini. Kifupi hawa wapo kwa interest zao
Indonesia

#TajiriLaKihaya
WANAHARAKATI UCHWARA….
Walituaminisha kwamba Tuachane na Wana CCM na Products zao…
Hadi kutulazimisha Tuwa BLOCK Wana ccm mtandaoni… kuachana na Ushabiki wa mpira wa SIMBA/YANGA….
Ila Kuanzia leo kuendelea hao hao ndio Watakuwa wanaPromote VUNJABEI BETTING!
Ikumbukwe VunjaBei ni CCM lia lia… amechanga hela kibao tu kwenye kampeni na hata juzi tu alikua anawania UBUNGE kabla ya kukatwa 😅
NJAA na MSIMAMO havikai meza moja 😂🙌🏽
Indonesia






















