Edgar
180 posts


#50dollarchallenge update.
Tumefikia tamati ya challenge yetu. Tumefikia Lengo letu lakin tukiwa na floating loss ya -27 usd.
@gabyconscious hii imekaaje mzee.
Indonesia

Kufanya biashara na wachina sio lazima mpaka uende CHINA MAINLAND.
2023 nilianza kujifunza kuagiza China nikiwa chini ya @eddygotya na @gabyconscious sikuwa najua chochote kuhusu kuagiza China.
Story inaanzia hapa👇🏼.

Filipino

#TajiriLaKihaya
Video ya hivi karibuni ya Netanyahu, iliyokusudiwa kuzima uvumi wa kifo chake, imezua mashaka zaidi kutokana na fizikia ya kahawa yake ambayo haimwagiki.
Indonesia

Nilienda Dubai na karibu milioni tano tu na plan ya kuuza laptops. Miezi michache baadaye nimepata 𝗨𝗔𝗘 𝗿𝗲𝘀𝗶𝗱𝗲𝗻𝗰𝘆 ya miaka miwili. Hii ndio reality ya Dubai ambayo watu wengi hawakwambii.
Acha nishee hii story hapa baada ya hapa utakua na majibu ya kila kitu kuhusu DUBAI
𝙈𝙖𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙣𝙖 𝙢𝙖𝙯𝙪𝙧𝙞 𝙠𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝘿𝙪𝙗𝙖𝙞 𝙆𝙬𝙖 𝙀𝙭𝙥𝙚𝙧𝙞𝙚𝙣𝙘𝙚 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙪
-Utakuwa umefika Dubai
-Umejua kila kona ya Dubai
-sehemu za kulala, sehemu za kutalii,Biashara nk
𝗕𝗼𝗼𝗸𝗺𝗮𝗿𝗸, Chukua kahawa,Popcorn tuendelee👇
Kiukweli hayajawahi kuwa maamuzi ya siku moja ni RECIPE ya maamuzi na vitu vingi nimekua nikipitia
Chachu ilitoka wapi?
“𝙄 𝘼𝙡𝙬𝙖𝙮𝙨 𝙘𝙝𝙤𝙤𝙨𝙚 𝙧𝙞𝙨𝙠𝙮 𝙛𝙧𝙚𝙚𝙙𝙤𝙢 𝙤𝙫𝙚𝙧 𝙘𝙤𝙢𝙛𝙤𝙧𝙩𝙖𝙗𝙡𝙚 𝙨𝙡𝙖𝙫𝙚𝙧𝙮. 𝘼𝙡𝙬𝙖𝙮𝙨.”
Mwaka 2022/2023 me whatsapp nilikutana na mwanangu @eddygotya akawa ananiambia ashawai agizia watu vitu kibao China na nini.
Mimi nilikua Nairobi wakati huo. Kwa Nairobi ni kitu cha kawaida sana watu wajanja wa mtandao kuOrder aliexpress nk na logistics zimenyooka tu chaap unaletewa mzigo.
Sasa fast forward nilivogeuka bongo tukaanzisha kampuni inaitwa 𝕞𝕟𝕦𝕟𝕦𝕫𝕚𝕠𝕟𝕝𝕚𝕟𝕖 tulikua na office SINZA afrika sana pale sokoni junction ya kwenda mabatini. Ilikua inakua ila challenge hazikosekani me nikamwambia mchizi nabwaga akaendelea ila me nikachana nayo
Sasa yeye akaanza kwenda 𝘿𝙪𝙗𝙖𝙞 next ikawa China
Kuna siku nikamuuliza kati ya Dubai na China wapi naweza enda nikiwa hata na 5m nikatoboa. Akanyoosha akasema Dubai.
(Usije ukawa na 5m ukadhani pia utatoboa, kwangu ilikua rahisi maana tayari nina wateja plus najua kufanya marketing ONLINE)
Me nikiwaza lifestyle ninaloona mtandaoni la Dubai nitaweza afford kweli nikaona uongo
Mwaka juzi mwanangu @thisiscollins1 alikua Chuo Cyprus akahamia China basi tukaanza kupush tena ecommerce kama kawaida ila logistics ikawa mzozo sana.
(Btw tushaiwafunza watu 1000+ jinsi ya kuOrder vitu china na kuuza👉🏾 youtu.be/lLfA4B5zQpg?si…)
Mwanangu akanambia me niko shule omba VISA njoo hapa.
Sasa me kama wewe na wengi mnaopenda uhakika nikaanza kumuuliza kila move oya usafiri, hotel ngapi bei nk
Huku nauliza @eddygotya kuhusu Dubai pia
NikiCompare hivi nikaona maisha ya China ndo kitonga nitamudu.
Mimi huyo chaap kwenda kuApply VISA ya China
Agent waliniletea miyeyusho ofcoz kama hujui hii sio mara zote watu wamenyooka. Me ni mkorofi niliumana nao haswa hadi nikapata VISA ya China. Hehe
Sasa kubabake ikawa wakati wa Canton fair nauli ziko juu mlima. Yaani nikienda ni kuwa nimalize hela yote nauli afu nibet kupambana ama nisiende
Nikabwaga nikamcheki mwanangu tena @eddygotya nataka kwenda Dubai
Akanambia nenda Dubai focus sana lakini kuuza LAPTOPS. LAPTOPS zina hela miezi nne tu gharama zako zitarudi
Uzuri mambo ya kumarket kwangu sio issue nna watu 1200+ daily wanaangalia whatsapp yangu
Kukosa mteja labda nirogwe.
Siku hiyohiyo nikamuomba mtu wa VISA nikalipia.
Hapo sikuwa na dusko nimetoka kupata mtoto costs kibao bima tu Kenya namlipia ka 2m, dogo mapassport nini mambo buku sielewi.
Nikachek line zangu mbili wakanipa Dusko niAfford bills za hapa na pale.
Mungu hatoki twitter aisee week ya kwanza mauzo bampa to bampa hapo ni whatsapp tu.
Offcourse challenges hazikosekani kama hii niliibiwa hapa😂 (x.com/gabyconscious/…)
Hadi leo me hizi X sijui insta napost tu for visibility ila nauzia 𝙬𝙝𝙖𝙩𝙨𝙖𝙥𝙥.
(Learn Whatsapp marketing👉🏾 youtu.be/1ER2REhfhMM?si…)
Mwezi wa kwanza nikaishi Nikarudi afu after few weeks nikarudi sasa nipambanie 𝙐𝘼𝙀 𝙄𝘿 ili nisisumbuke kuomba VISA kila mara
Maana trip hii plan ni nipate ghetto(bedsitter) kwa ajili ya kukaa ila pia iwe office kwa maContent yangu.
Hii haikuwa ngumu maana tayari watu wangu wa karibu washaona mzigo nnaopiga, sales nafanya. Wakatia mzigo.
Bana Mungu sio Mark Zuckerberg😅. Round hii mambo ikajipa
Process ikaanza
👇👇

YouTube

YouTube


Indonesia

@eddygotya @gabyconscious check your email, the issue is resolved you can now use your BUSARA points however you want
1 point per CEO chat only
5 points per boardroom chat
tunashukuru sana kwa kutumia busaraboard.com
English

FINALLY, Nimeweza kuhama for 2yrs nitaishi UAE☺️.
INAWEZEKANA mwanangu ukiweka NIA.
Mpuuzi yoyote asikuambie huwezi mwanangu
Ng’ombe wa maskini sijui nini nini hauwezi KU-WIN😂

𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious
Ukiweza hama BONGO.
Indonesia

@eddygotya @gabyconscious nimekujibu DM kaka and i am working on it
Indonesia

@smartboe_ @gabyconscious Mkuu nimekucheck DM na kwa email, kuhusu suala la busara🤔
Indonesia

@SharonMontana20 @gabyconscious Sasa hapa mboga @gabyconscious hajaruka kitu😁 umefanya kurudia kushare alicho share.
Indonesia

@gabyconscious Umejitahidi🤣😆😂nakwambiaga siku zote, unaendekeza wasng, mwisho wa siku waje kukupanda kichwani.
Btw hiyo PC c ungenisanua nikuplug tule hela ndo atukanwe🥲
Indonesia

OKAY issue ipo hivi
11/08/2025 nikiwa DAR @SharonMontana20 alinicheki Whatsapp
Sinaga mazoea naw kihivyo so hata namba yake sikuwa nayo nikajua tu ni stranger baadae akajitambulisha
Akanambia ana shida anataka kumfungulia mdogo wake biz ya ACCESSORIES
Nimshauri.👇👇


𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious
Kale ka-CIRCLE kalimtuma boss wao wa majuu anaewafuga aje kujidai anataka BIDHAA halafu aombe Refund hapo ni wayback kabla sijaja DUBAI I refunded in NO-TIME Sasa kinachowauma ile MISSION yao ya kutaka kuja kunichafua X kuwa nimeMTAPELI shoga yao imefeli kila siku CHUKI.😅
Filipino

Skia we injinia boyaa nina familia na binti mkubwa tu siwez kufanya utapeli kwakua najua naeza kuishia gerezani na familia yangu ikabaki inateseka
Mimi kazinzangu ni za forex na sikawai kumfata mtu kumshawishi au kumwambia ajiunge na mimi kufanyaa
Watu wakivutiwa wanakuja


Maximillian Ngoiya@Madari1929
@DizoFx @Maisha_Pro Kama hauna kwanini umewakataa hawa watu kwa sababu hawafiki 100k usd. Humu runataka tuwatoe wajinga wabaki wenye high IQ.
Indonesia

@gabyconscious @Thommunkondya Speed humps wameweka kwa residential areas na karibu na mashule, huku kiumeni wameweka zile rumble strips...huwez ona hizi bumps sana.....ñ kuna areas zina temporary ones, zinaeza move JVC huko.
Filipino

Labda sijazunguka Dubai kama @Thommunkondya na @eddygotya ila sijawahi kuona Tuta, Gari au boda imevuta redlight wala ajali so far😄. Sijui waliwezaje?
𝐊𝐢𝐫𝐢𝐠𝐢𝐭𝐢@kirigitim
Hii tuta iwekwe wapi? Hapa hata G7 ikijidanganya inabusta ndoo itafute zima zima tutamkuta dereva katokea vent ya hewa juu anashangaa😀.
Suomi

Ukiambiwa hii video jamaa angu @eddygotya katumia S24 ultra ya 1.5M na Baraka ana Setup ya 15M utaweza pima uwezo wa kufikiri wa Dogo Bonge na Skills anazoimba kila siku sijui ana maana gani?.
Mshamba sana huyo dogo
@
Ukiambiwa hii setting amerekodi ina cost 15M hauwez amin huyu jamaa sijui kabila gan🤣
Indonesia

Je tiens à exprimer mes plus sincères félicitations à la présidente @SuluhuSamia pour sa réélection. Cette victoire témoigne de la confiance que le peuple tanzanien lui accorde et de son engagement indéfectible envers le développement et la prospérité de la Tanzanie.




Guinea Bissau 🇬🇼 Français

Hamna text huwa naRespond haraka kama za hivi🫵🏾😂 hasa anicheki dogo @nathaniel_codes au @eddygotya

Filipino

@gabyconscious @nathaniel_codes Oyaaaa ni mahelaaaaaaaaa....hatuez teseka milele😅
Indonesia





