Edgar

180 posts

Edgar banner
Edgar

Edgar

@eddygotya

Far from Weak

On Twitter Katılım Mart 2021
62 Takip Edilen203 Takipçiler
Kijana Mpole
Kijana Mpole@_kijanampole·
Kufanya biashara na wachina sio lazima mpaka uende CHINA MAINLAND. 2023 nilianza kujifunza kuagiza China nikiwa chini ya @eddygotya na @gabyconscious sikuwa najua chochote kuhusu kuagiza China. Story inaanzia hapa👇🏼.
Kijana Mpole tweet media
Filipino
4
12
25
5K
Edgar
Edgar@eddygotya·
@EsirEid 😂😂😂😂😂Dah kama taifa nguv kazi inapungua sana
Indonesia
0
0
1
8
Edgar
Edgar@eddygotya·
@gabyconscious Tajiri ckuhz amekua kilaza sana😂😂😂
Indonesia
1
0
1
177
Edgar
Edgar@eddygotya·
@gabyconscious Hiyo picha ya kanzu ungeandika “Mbeya ikiwa Marina”😂
Filipino
1
0
0
729
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Nilienda Dubai na karibu milioni tano tu na plan ya kuuza laptops. Miezi michache baadaye nimepata 𝗨𝗔𝗘 𝗿𝗲𝘀𝗶𝗱𝗲𝗻𝗰𝘆 ya miaka miwili. Hii ndio reality ya Dubai ambayo watu wengi hawakwambii. Acha nishee hii story hapa baada ya hapa utakua na majibu ya kila kitu kuhusu DUBAI 𝙈𝙖𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙣𝙖 𝙢𝙖𝙯𝙪𝙧𝙞 𝙠𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝘿𝙪𝙗𝙖𝙞 𝙆𝙬𝙖 𝙀𝙭𝙥𝙚𝙧𝙞𝙚𝙣𝙘𝙚 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙪 -Utakuwa umefika Dubai -Umejua kila kona ya Dubai -sehemu za kulala, sehemu za kutalii,Biashara nk 𝗕𝗼𝗼𝗸𝗺𝗮𝗿𝗸, Chukua kahawa,Popcorn tuendelee👇 Kiukweli hayajawahi kuwa maamuzi ya siku moja ni RECIPE ya maamuzi na vitu vingi nimekua nikipitia Chachu ilitoka wapi? “𝙄 𝘼𝙡𝙬𝙖𝙮𝙨 𝙘𝙝𝙤𝙤𝙨𝙚 𝙧𝙞𝙨𝙠𝙮 𝙛𝙧𝙚𝙚𝙙𝙤𝙢 𝙤𝙫𝙚𝙧 𝙘𝙤𝙢𝙛𝙤𝙧𝙩𝙖𝙗𝙡𝙚 𝙨𝙡𝙖𝙫𝙚𝙧𝙮. 𝘼𝙡𝙬𝙖𝙮𝙨.” Mwaka 2022/2023 me whatsapp nilikutana na mwanangu @eddygotya akawa ananiambia ashawai agizia watu vitu kibao China na nini. Mimi nilikua Nairobi wakati huo. Kwa Nairobi ni kitu cha kawaida sana watu wajanja wa mtandao kuOrder aliexpress nk na logistics zimenyooka tu chaap unaletewa mzigo. Sasa fast forward nilivogeuka bongo tukaanzisha kampuni inaitwa 𝕞𝕟𝕦𝕟𝕦𝕫𝕚𝕠𝕟𝕝𝕚𝕟𝕖 tulikua na office SINZA afrika sana pale sokoni junction ya kwenda mabatini. Ilikua inakua ila challenge hazikosekani me nikamwambia mchizi nabwaga akaendelea ila me nikachana nayo Sasa yeye akaanza kwenda 𝘿𝙪𝙗𝙖𝙞 next ikawa China Kuna siku nikamuuliza kati ya Dubai na China wapi naweza enda nikiwa hata na 5m nikatoboa. Akanyoosha akasema Dubai. (Usije ukawa na 5m ukadhani pia utatoboa, kwangu ilikua rahisi maana tayari nina wateja plus najua kufanya marketing ONLINE) Me nikiwaza lifestyle ninaloona mtandaoni la Dubai nitaweza afford kweli nikaona uongo Mwaka juzi mwanangu @thisiscollins1 alikua Chuo Cyprus akahamia China basi tukaanza kupush tena ecommerce kama kawaida ila logistics ikawa mzozo sana. (Btw tushaiwafunza watu 1000+ jinsi ya kuOrder vitu china na kuuza👉🏾 youtu.be/lLfA4B5zQpg?si…) Mwanangu akanambia me niko shule omba VISA njoo hapa. Sasa me kama wewe na wengi mnaopenda uhakika nikaanza kumuuliza kila move oya usafiri, hotel ngapi bei nk Huku nauliza @eddygotya kuhusu Dubai pia NikiCompare hivi nikaona maisha ya China ndo kitonga nitamudu. Mimi huyo chaap kwenda kuApply VISA ya China Agent waliniletea miyeyusho ofcoz kama hujui hii sio mara zote watu wamenyooka. Me ni mkorofi niliumana nao haswa hadi nikapata VISA ya China. Hehe Sasa kubabake ikawa wakati wa Canton fair nauli ziko juu mlima. Yaani nikienda ni kuwa nimalize hela yote nauli afu nibet kupambana ama nisiende Nikabwaga nikamcheki mwanangu tena @eddygotya nataka kwenda Dubai Akanambia nenda Dubai focus sana lakini kuuza LAPTOPS. LAPTOPS zina hela miezi nne tu gharama zako zitarudi Uzuri mambo ya kumarket kwangu sio issue nna watu 1200+ daily wanaangalia whatsapp yangu Kukosa mteja labda nirogwe. Siku hiyohiyo nikamuomba mtu wa VISA nikalipia. Hapo sikuwa na dusko nimetoka kupata mtoto costs kibao bima tu Kenya namlipia ka 2m, dogo mapassport nini mambo buku sielewi. Nikachek line zangu mbili wakanipa Dusko niAfford bills za hapa na pale. Mungu hatoki twitter aisee week ya kwanza mauzo bampa to bampa hapo ni whatsapp tu. Offcourse challenges hazikosekani kama hii niliibiwa hapa😂 (x.com/gabyconscious/…) Hadi leo me hizi X sijui insta napost tu for visibility ila nauzia 𝙬𝙝𝙖𝙩𝙨𝙖𝙥𝙥. (Learn Whatsapp marketing👉🏾 youtu.be/1ER2REhfhMM?si…) Mwezi wa kwanza nikaishi Nikarudi afu after few weeks nikarudi sasa nipambanie 𝙐𝘼𝙀 𝙄𝘿 ili nisisumbuke kuomba VISA kila mara Maana trip hii plan ni nipate ghetto(bedsitter) kwa ajili ya kukaa ila pia iwe office kwa maContent yangu. Hii haikuwa ngumu maana tayari watu wangu wa karibu washaona mzigo nnaopiga, sales nafanya. Wakatia mzigo. Bana Mungu sio Mark Zuckerberg😅. Round hii mambo ikajipa Process ikaanza 👇👇
YouTube video
YouTube
YouTube video
YouTube
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Indonesia
98
389
1.1K
167.3K
Kaya
Kaya@DanThaKaya·
If it works here, we replicate for M-Pesa Tanzania, EcoCash Zimbabwe, Airtel Money across Africa. We don't build local teams. We just flip a switch and suddenly Stripe works everywhere mobile money works.
English
3
0
11
1.9K
Kaya
Kaya@DanThaKaya·
Startup idea: Kilele A payment orchestration layer that lets Kenyan businesses accept global payments (via Stripe) and disburse locally via M-Pesa in one seamless flow while becoming Stripe's regulated on-ramp to African mobile money markets.
English
56
52
421
25.2K
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Huyu binti ni Single mother nilimuelekezaga awe anapost IG, akajiongeza kutengeneza page ya mtoto wake Dogo ana page na anajua kizungu fresh ila yupo nyumbani Nikamwambia afanye kutafuta international schools dogo akasome Bure Leo ananiambia kuna shule wamempigia AENDE🫡
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Filipino
39
46
335
25.2K
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Vile nilifanya nini Sharon screenshots zote sipo hapo nimalizie story gani ama unataka nini yaani? Mimi nna njaa ila sio ya 1m Kumamako ukilala, kumamako ukitweet, kumamako ukiswali, kumamako ukilambwa matako na shoga zako mamae.
Filipino
10
8
84
10.5K
Edgar
Edgar@eddygotya·
@gabyconscious Umejitahidi🤣😆😂nakwambiaga siku zote, unaendekeza wasng, mwisho wa siku waje kukupanda kichwani. Btw hiyo PC c ungenisanua nikuplug tule hela ndo atukanwe🥲
Indonesia
0
0
0
16
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Chura alinicheki anataka PC hiyo PC ni rare wauza PC hapa wanaelewa sikumjibu Eti leo ndo anaanza kusambaza chuki Afu hata isingekua hivo Me kutojibu ni kawaida sana Nna status viewers 1500+, numbers zaidi ya 10k na nimehire assistant wa kujibu Eti ndo anaanza kuniSub
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Indonesia
4
1
56
9K
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
OKAY issue ipo hivi 11/08/2025 nikiwa DAR @SharonMontana20 alinicheki Whatsapp Sinaga mazoea naw kihivyo so hata namba yake sikuwa nayo nikajua tu ni stranger baadae akajitambulisha Akanambia ana shida anataka kumfungulia mdogo wake biz ya ACCESSORIES Nimshauri.👇👇
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious

Kale ka-CIRCLE kalimtuma boss wao wa majuu anaewafuga aje kujidai anataka BIDHAA halafu aombe Refund hapo ni wayback kabla sijaja DUBAI I refunded in NO-TIME Sasa kinachowauma ile MISSION yao ya kutaka kuja kunichafua X kuwa nimeMTAPELI shoga yao imefeli kila siku CHUKI.😅

Filipino
204
134
446
177.6K
mwalimu wa diploma
mwalimu wa diploma@DizoFx·
Skia we injinia boyaa nina familia na binti mkubwa tu siwez kufanya utapeli kwakua najua naeza kuishia gerezani na familia yangu ikabaki inateseka Mimi kazinzangu ni za forex na sikawai kumfata mtu kumshawishi au kumwambia ajiunge na mimi kufanyaa Watu wakivutiwa wanakuja
mwalimu wa diploma tweet mediamwalimu wa diploma tweet media
Maximillian Ngoiya@Madari1929

@DizoFx @Maisha_Pro Kama hauna kwanini umewakataa hawa watu kwa sababu hawafiki 100k usd. Humu runataka tuwatoe wajinga wabaki wenye high IQ.

Indonesia
8
0
25
2.8K
Edgar
Edgar@eddygotya·
@gabyconscious @Thommunkondya Speed humps wameweka kwa residential areas na karibu na mashule, huku kiumeni wameweka zile rumble strips...huwez ona hizi bumps sana.....ñ kuna areas zina temporary ones, zinaeza move JVC huko.
Filipino
0
0
0
23
Umaro Sissoco Embaló
Umaro Sissoco Embaló@USEmbalo·
Je tiens à exprimer mes plus sincères félicitations à la présidente @SuluhuSamia pour sa réélection. Cette victoire témoigne de la confiance que le peuple tanzanien lui accorde et de son engagement indéfectible envers le développement et la prospérité de la Tanzanie.
Umaro Sissoco Embaló tweet mediaUmaro Sissoco Embaló tweet mediaUmaro Sissoco Embaló tweet mediaUmaro Sissoco Embaló tweet media
Guinea Bissau 🇬🇼 Français
327
85
577
184.3K