El Capitano
6.6K posts

El Capitano
@elcapitano23232
Fighting,&, art ,&, Graphics Design.
Zanzibar West, Tanzania Katılım Ekim 2022
1K Takip Edilen939 Takipçiler

1/4
#FearWomen
Sikuamini kama nitakuja kuumizwa na mapenzi hivi. Anyways mapenzi yanauma wanangu, niko dilemma sina cha kuamua nipo nipo tu kama msenge


Eesti
El Capitano retweetledi
El Capitano retweetledi
El Capitano retweetledi
El Capitano retweetledi
El Capitano retweetledi

@Sativa255 Acha ujinga upo zako kongowea huko eti sehem za kukutana ,,kukutana na nan kwendraaa
Filipino
El Capitano retweetledi

@Sativa255 Utekaji ukomeshwe,,
Watekaji wawajibishwe
Uhuru wa maoni uwepo,ni pamoja na kuikosoa serikali
,ANDAENI MABANGO WAZEE
Indonesia
El Capitano retweetledi

@GeorgeJob14 @bonifacejoseph_ Muacheni kijana wa watu afanye mambo yake kwa amani sio kisa unawasiliana na mambo mengine, basi unajipa mamlaka ya kumpangia cha kuongeaaaaa hapana bhana
Indonesia

Kwamba Watanzania zaidi ya 60M wangekosa huduma ya social media kwa sababu ya Accounts 3? Lol
Larry Madowo@LarryMadowo
Tanzania threatened to block Facebook, Instagram and WhatsApp in the country if Meta refused to block accounts of 3 activists. Meta removed two of them and restricted the third
Indonesia

@mangekimambi Tutoke tutoke,, tanzania ni yetu sote,, vijana tunataka Haki , -uwajibikaj
-uhuru wa kutoa maoni
-watu wote waliotekwa na kupotezwa warudishwe
- watekaji wakamatwe wote mara moja
Indonesia

@millardayo Kwenda huko,, et polisi wanasimdikiza,, jaijawahi kutokea chadema ikatangaza maandamano ya amani wakakubaliwa na polisi,, Sasa tarh 9 tutajuwa
Filipino

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo akizungumza na Wazee wa Dar es salaam, amesema kilichotokea October 29 2025 hakikuwa maandamano bali ni vurugu zilizoandaliwa kwa madhumuni maalum hivyo nguvu iliyotumika kuyadhibiti inaendana na tukio husika.
“Takwimu zinatolewa sasa hivi, kuna majengo kadhaa ya Serikali yameunguzwa, kuna miradi kadhaa iliyojengwa kwa maslahi ya Wananchi imeunguzwa, Vituo vya mafuta, biashara binafsi za Watu, magari ya Serikali, vituo vya Polisi vingi tu vimeunguzwa, sasa nataka tuwe na jina la hayo ni maandamano au vurugu? maandamano tuliyoyazoea na kuyakubali ndani ya Katiba ni yale Watu wameudhika na kitu tunaomba tuandamane tueleze tutatoka point moja hadi Mnazimmoja au popote pengine na mabango yanaeleza maudhi yetu na Polisi wanawasindikiza vizuri hadi wanapofika”
“Haya ya kuunguza miradi ya Serikali, vituo vya Polisi na kwenye kituo cha Polisi unakwenda kufanya nini? ni kwenda kuvamia na wapate silaha, madhumuni ya kuwa na silaha mkononi ni nini? haya hayakuwa maandamano zilikuwa vurugu zilizoandaliwa kwa madhumuni maalum”
“Serikali inawajibu tunaapa kuilinda mipaka ya Nchi hii na kulinda Raia na mali zao, katika hali hiyo nguvu inayotumika inaendana na tukio lililopo, sasa tunapoambiwa tulitumia nguvu kubwa sana kwenye tukio lile... nguvu ndogo ilikuwa ni ipi?, ilikuwa tuwangalie Waandamanaji waliojiandaa kufanya mapinduzi mpaka wafanikiwe? hapo patakuwa pana Dola kweli? Dola haipo hivyo"
"Na sio Tanzania tu hata Mataifa mengine Watu wakiandamana wanaweka nguvu kubwa, sasa wanapokuja kutulamu mlitumia nguvu kubwa wao walitaka nini?, tujiulize je hawa ndio Wafadhali wa kile kilichofanyika? walitaka tuangalie ile mob hadi ifanikiwe walichowapa fedha, walichowatuma? hapana” tuliapa kulinda Nchi hii na mipaka yake , usalama wa Raia na mali zao kwahiyo kama wanavyofanya wao na sisi tutafanya vilevile kuilindi Nchi yetu" - Rais Samia akiongea leo na Wazee wa Dar es salaam. #MillardAyoUPDATES

Filipino
El Capitano retweetledi

𝗣𝗮𝗶𝗱 𝗖𝗼𝘂𝗿𝘀𝗲 𝗙𝗥𝗘𝗘 (PART - 1 + 2 + 3 )
1. Artificial Intelligence + Data Analyst
2. Machine Learning + Data Science
3. Cloud Computing + Web Development
4. Ethical Hacking + Hacking
5. Data Analytics + DSA
6. AWS Certified + IBM COURSE
7. Data Science + Deep Learning
8. BIG DATA + SQL COMPLETE COURSE
9. Python + OTHERS
10 MBA + HANDWRITTEN NOTES
(72 Hours only ) Cost About - $500
To get: -
✅Follow @tech_crafters ( MUST)
✅Like & retweet
✅Reply " Send "

English
El Capitano retweetledi
El Capitano retweetledi

Degree unazoweza kusoma YouTube for FREE na zikakukomboa for a lifetime
-Artificial Intelligence & Machine Learning
-Digital Marketing, UX/UI & Creative Tech
-Financial Technology (FinTech) & Blockchain
-Cybersecurity & Ethical Hacking
-Biotechnology & Genetic Engineering
Msomi Khan@MsomiKhan18
Degree programs zilizotoa Best Students 2025 👊 1. Bachelor of Medicine (MUHAS) 2. Bachelor of Arts in Kiswahili (UDSM) 3. Bachelor of Science in Telecommunications Engineering (UDSM) 4. Bachelor of Environmental Management (Mzumbe)
English

















