Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi
Emmanuel Nyembe🇹🇿
3.2K posts

Emmanuel Nyembe🇹🇿
@emanyembe24
UPENDO WA KWELI HUIMARISHA AMANI
Katılım Nisan 2023
52 Takip Edilen58 Takipçiler
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

@PMadeleka Uongo mtupu ,lisu yuko wapi haki unaijua wewe?✌️✌️
Filipino
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

Wajinga walikuwa wanatupima AKILI walifikiria tutaanza JADILI kwamba NCCR ni CCM B kwa sababu ya kupewa unaibu Waziri
Kwamba mjadala ungekaa kwa mpinzani kupewa cheo
Hongera sana Wananchi, kwa sasa tumeshavuka kwenye haya mambo tuko mbele sana DRAMA zao zote hazifanyikazi
Mambo yao tuachane nayo kama leo safi sana
Indonesia
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

Hongera sana DCI Ramadhan Kingai kwa kufiwa na Mama yako Mzazi, hayo maumivu ambayo unapitia ndo familia nyingi tulipitia Oktoba 29 baada nyinyi kuuwa kwa risasi Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi.
Tena wewe unaafadhali maana umeweza kumzika Mama ako kwa heshima huko Bumbuli Tanga, sasa wenzako tulizika nguo kwasababu nyinyi mliiba maelefu ya miili ya ndugu zetu, mkaenda kuzika kwenye makaburi ya Halaiki.
DJ niwekee ile nyimbo ya Hakuna Mungu kama wewe Baba 😂😂😂

Indonesia
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

#BREAKING: HECHE AVUNJA UKIMYA - AZUNGUMZA MAGUMU kwa VIJANA wa VYUO VIK... youtube.com/live/O9I_Z6gJW… via @YouTube

YouTube
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

Katibu Mkuu wa Chama Mhe. @jjmnyika akizungumza katika kongamano la Chaso Dar es salaam leo Mei 2, 2026.




Indonesia
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Mhe. @ExMayorUbungo akizungumza katika kongamano la Chaso Dar es salaam leo Mei 2, 2026.




Indonesia
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

#Pichani anaitwa Damuru ni mkazi wa Mburahati, ametekwa mida hii na watu wasiojulikana, watekaji walikuwa wamevaa musk nyeusi usoni.
Walikuwa na gari ambalo mbele lilikuwa na plate number 125 DFPA na nyuma namba 28957

Indonesia

@zoetjesheeftX Huyu mama katika ukuaji wake alifundishwa namna ya kuchukia madeni makubwa yasiyo na tija ,,,,hatimaye kamaliza deni la taifa .
Indonesia

Rais wa Namibia mwanamama Netumbo Nandi-Ndaitwah ameiongoza nchi hiyo kufikia hatua muhimu ya kiuchumi kwa kukamilisha malipo ya deni la Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Namibia imelipa jumla ya dola za Kimarekani milioni 23.9, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa madeni ya nje na kuimarisha uchumi wa taifa hilo.
Kukamilika kwa deni hili kunatajwa kuongeza uhuru wa kifedha wa Namibia, na kuipa serikali nafasi pana zaidi ya kuelekeza rasilimali zake katika miradi ya maendeleo ya ndani. Hatua hii imepokelewa kama ushindi mkubwa katika usimamizi wa fedha za umma chini ya uongozi uliopo, ikionyesha uthabiti wa kiuchumi wa nchi hiyo katika ukanda wa Kusini mwa Afrika.
Ukisikia nani kama mama ndo huyu sio alieua

Indonesia
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

Polepole bado yupo mikononi mwa watekaji, wao ndio wanaamua nani aishi, Nani afe, Nani awe uraiani Nani awe Gerezani, ujinga huu hatuwezi kukubali uendelee.
Bonyeza #Repost tupate repost 500.

Indonesia
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

@mwenyenchii Watu wanatoa report ya uongo kulinda maslai Yao ,wanashindwa kusimama kwenye haki wanaendeleza kuongeza maumivu wa wahanga waliopatwa na matatizo .Mungu atajibu maombi Yao🙏🙏
Indonesia
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi
Emmanuel Nyembe🇹🇿 retweetledi

@meamswahili Kajitoa kafala huyu ili yakitimia aseme alitabili,watu tutafute hela halali🙏
Filipino

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄
Ndoto zangu kubwa ni mbili duniani, ya kwanza nifanye muziki mkubwa nije kuwa Boss ambaye naweza kuona vijana wengi wanaajiriwa kupitia mimi.
Ndoto yangu ya pili, nilishaga muomba sana Mungu sipendi kuishi umri mrefu hapa Duniani. Mungu anijalie nisiishi umri mrefu sana, nisizidi hata 35 au 40.
Yaani sipendi tu kuishi umri mrefu ni miongoni mwa ndoto zangu na katika sala zangu.”
-Amesema Msanii D-voice katika mahojiano yake WasafiFM
#MeaMswahiliUPDATES

Indonesia















