Sabitlenmiş Tweet
Ibrahim Waziri Kiobya
3.9K posts

Ibrahim Waziri Kiobya
@enigmaticDady
Optimistic/Pessimistic 🕋🕋... Entrepreneur aspiring /Accountant/ Professional Clearing and freight forwarder
Tanzania, East Africa Katılım Mart 2020
507 Takip Edilen165 Takipçiler

@Buberwa_ Naam Mkubwa ilikuwa flight moja na Dar city
Filipino

Msanii fulani kaenda radio kufanya interview ya kutambulisha na kupromote wimbo wake maskini ya Mungu anajipambania.
Anafika radio mtangazaji anamuuliza kati ya finale na happy ipi ngoma kali na kwanini😁😁😁
Wanabishana hiyo topic dakika 10 nzima, then anaambiwa haya cha mwisho cha kumalizia kwa fans wako
muda umetutupa mkono!!
Dogo anaishia kusema tu wimbo wangu unapatikana kwenye digital platform zote subscribe!
Tuna industry katili sana😁
Indonesia
Ibrahim Waziri Kiobya retweetledi

Uko sahihi kaka, fungua comments sasa tukupongeze
Ray Asel@rayasel94
Honestly sijaona sababu ya watu kumtukana yule jamaa sababu hajakataza watu kubeti yeye alichofanya ni kawapa precautions kwenye issue ya stake tu Sema humu ikifika siku ya kupikwa utapikwa tu
Filipino
Ibrahim Waziri Kiobya retweetledi

Nilikuwa namiliki Brand well known "MUDI MABIRIANI" ikafikia level nauza jina langu kwa wawekezaji nna wafanyakazi zaidi ya 30 nalipa mshahara 500,000 kwa mwezi migahawa 5 Tanzania nilipitia changamoto nikafunga biashara kuna kipindi nilikosa hela ya kula lakini sikuwaza kujiua
Mwacha@Mwacha5
Hizi changamoto ninazo zipitia wakati huu nisipokaza kiume naweza kukuta nimejinyonga au nimejiua kwa njia nyingine Mungu tu anisaidie.
Indonesia

@Mwacha5 Masta usiwaze , jitahidi kukubali kuanzia ulipo mzee … Sometimes mambo yanakuwa magumu sana mwaka 2019 We had partnership na mwanangu alikuwa Beijing kila week 2 we bought space Qatar airline arround $2000.Faida FNB pale Karibu na Serena but we lost everything..Allah anajaalia
Filipino

@Thommunkondya Amina kaka … Niko holiday home nitakuja ofisini atleast kujifunza pia
Suomi
Ibrahim Waziri Kiobya retweetledi

@chapo255 Chapo alafu wale players wenyewe ukisikiliza acsent zao baadhi unagundua wengi wa mamtoni kwa trump…
Filipino
Ibrahim Waziri Kiobya retweetledi

Hofu yatanda kwa wafanyabiashara wa Coco Beach: Wadai kupewa mwezi mmoja kuondoka kumpisha mwekezaji
Wakizungumza na The Chanzo leo, wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo kwenye fukwe za Coco wamesema baadhi ya viongozi na watendaji wa Halmashauri ya Kinondoni waliwaita na kuwapa taarifa ya kutakiwa kuondoka ndani ya siku 30 kupisha uwekezaji.
Katika malalamiko ya wafanyabiashara hao, wameeleza pia kusikitishwa na kauli za watendaji hao kwa mfanyabiashara wa kike, kauli zenye viashiria ya kutaka rushwa ya ngono.
Kufuatia malalamiko haya ya wafanyabiashara wadogo, The Chanzo inaendelea na jitihada za kuwapata halmashauri ya Manispaa ya kinondoni kutoa ufafanuzi juu ya madai ya wafanyabiashara hawa.
Indonesia
Ibrahim Waziri Kiobya retweetledi

Ibrahim Waziri Kiobya retweetledi

@MariaSTsehai 😂😂😂hapa Shangazi umeongea kichuga saaana
Filipino

























