Evance Fredrick

1.3K posts

Evance Fredrick banner
Evance Fredrick

Evance Fredrick

@evance_fredrick

Businessman /Veterinarian/ Preacher/Human right officer

Morogoro, Tanzania Katılım Mart 2022
554 Takip Edilen132 Takipçiler
Evance Fredrick
Evance Fredrick@evance_fredrick·
@YerickoNyerereT Kampaini za KIGAMBONI ZINAENDELEAJE? UNAISOMA NAMBA AU UNAWASOMESHA NAMBA? WAKO MBELE KWA MBELE AU WEWE NDO UKO MBELE KWA MBELE? 🤪😜
Indonesia
0
0
1
55
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Kigamboni Mpya inakuja, Tarehe 29 October 2025 usifanye makosa, kura zote ni kwa Yericko Nyerere.
Yericko Nyerere tweet media
Indonesia
114
3
62
42.6K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Kigamboni Mpya inakuja, Tarehe 29 October 2025 usifanye makosa, kura zote ni kwa Yericko Nyerere.
Yericko Nyerere tweet media
Indonesia
130
12
199
18.4K
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Wazee Taifa, Mzee David Lameck Sendo akizungumza kwa niaba ya wazee wote wakati wa mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 27 Agosti, 2025.
ikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
19
23
102
6.1K
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Leo katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Dodoma, nikiambatana na Mgombea Mwenza, Balozi Ndugu Emmanuel John Nchimbi, niliporejesha fomu za uteuzi wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Ninawashukuru sana wanachama wa chama chetu Chama cha Mapinduzi (CCM), waliowawakilisha mamilioni ya wanachama wenzetu kutoka kila mkoa nchini, kwa kuniunga mkono katika fomu za udhamini. Tunapoelekea kuzindua kampeni za uchaguzi, tuendelee kudumisha umoja huu ili kukihakikishia chama chetu ushindi, na kwa idhni ya Mwenyezi Mungu turejee kuendelea kuwatumikia wananchi kama yalivyo matarajio yao.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
114
128
492
62.2K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Naishukuru Kamati Kuu ya chama changu @ChaummaT kwakuniteua kuwa Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Kigamboni. Niko tayari kupeperusha Bendera ya Chama kwa Mapambano ya kuwakomboa Wanakigamboni!
Filipino
80
2
38
52K
Evance Fredrick
Evance Fredrick@evance_fredrick·
@Neypaul01 Daktari (SURGEON) aliyefanya hiyo surgery HAKUKUTENDEA HAKI KABISA NITAFTE NIKUPE DAWA YA HILO KOVU 😃😜🤪
Indonesia
1
0
2
621
Neypaul🤎
Neypaul🤎@Neypaul01·
Friday💕
Neypaul🤎 tweet media
English
164
78
1.9K
73.6K
Evance Fredrick
Evance Fredrick@evance_fredrick·
@millardayo Huyu si ndo akina LUVANDA, LEMUTUZZ(MAREHEMU) walikuwa wanamjaza upepo siku moja kwenye UKUMBI? Lemutuz:wagogo ambao ni wajanja tuko watatu tu;mimi (lemutuz), Ben paul na MC pilipili. Maisha bhana. Yaache tu 💕🙈😃😜
Indonesia
0
0
2
486
millardayo
millardayo@millardayo·
Msanii wa uchekeshaji Emmanuel Mathias maarufu MC Pilipili amefunguka kwa mara ya kwanza namna alivyokata tamaa ya maisha na kurudi nyumbani Dodoma huku akitaja kuwa washindani wake kwenye tasnia ndio sababu ya kumuangusha na kupoteza mwelekeo. MC Pilipili amefunguka hayo leo Agosti 21, 2025 wakati akizungumza na Waandishi wa Habari alipokuwa anasaini dili la Ubalozi wa Shule ya Spring Hill siku chache baada ya kuibuka upya mitandaoni akionekana na mavazi ambayo baadhi ya ma MC na watu maarufu waliamua kumchangia nguo na mavazi “Nilikata tamaa na ndio sababu ya kurudi Dodoma nilikuwa nisha-give up na sanaa na kwa mara nyingine unadogoishwa na aina ya watu ambao ni wapinzani wako na wanakuaminisha kwamba haujapiga hatua yoyote nilikuwa naona habari yangu na sanaa imefikia mwisho kwahiyo nilikuwa naishi maisha ya kawaida nilikuwa silindi brand nilikuwa nakula popote na nilikuwa sichani nywele lakini nilitokea kwenye maisha ya ajabu” MC Pilipili #MillardAyoUPDATEA
Filipino
20
5
202
33.6K
Enock Kiswaga
Enock Kiswaga@TheRealEkiswaga·
Taifa hili kuna watu wamejimilikisha Harakati na kuteteaa watu😁😁😁 Ukiingilia tu wewe ni mamluki. Yani mnasema kesi ina maslahi ya public hayaa mnatoaa wito public kujitokeza wanajitokeza mnawafukuza?😁🤷🏿‍♂️
Indonesia
33
0
58
16.7K
Evance Fredrick
Evance Fredrick@evance_fredrick·
@TheRealEkiswaga Wapiga debe kama hawa, mama akitoka akaja mwingine wanaanza kumponda. Kama kazingua lazima asemwe, !!!!!!
Filipino
0
0
4
643
Enock Kiswaga
Enock Kiswaga@TheRealEkiswaga·
Mtu na Kundi linalomtuma Gwajima na Polepole ni wamojaa na mwandiko unafanana... Sasa sikieni Hizo siku 10 mlizotoa mje na wanao watuma vinginevyo tutawatajaa... kwa Majina na malengo yenu ya kishetani... Mwacheni huyu Mama wawatu najua mlisema ni house girl wenu na mmeshindwa kumwendesha. Sasa mnampangia mambo mabayaa hamtafanikiwa.
Indonesia
66
8
68
22.5K
Mohammed Kawaida
Mohammed Kawaida@ComradeKawaida·
Hivi hawa wenzetu bado ni Chama Cha Siasa au Gazeti la Udaku, maana vyama vyote vya Siasa vina agenda wanaisimamia, ila hawa wenzetu hatuwaelewi wanataka nini mara Katiba Mpya, NoRNoE, Lissu atolewe au Milion 100 za Yanga ??? .. #SautiYaVijana #OktobaTunatiki
Mohammed Kawaida tweet media
Indonesia
43
4
65
3.2K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Tunapambana lakini tunaishia kupata pesa za kodi na kula tu, Wanangu tatizo litakuwa ni nini hasa? 😢
The mandevu tweet media
Indonesia
85
60
920
32.4K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia United Democratic Party (UDP), Saumu Rashid amesema akichaguliwa atainua maisha ya Watanzania na kuwajaza fedha kama sera ya chama hicho inavyosema.
Indonesia
28
9
135
6.5K
Evance Fredrick
Evance Fredrick@evance_fredrick·
@zittokabwe Kwa namna mlivyoona kwenye harambee ya juzi ya MBOGA MBOGA Kuna namna rasilimali hizi zinaweza kutoka mikononi mwa hawa watu ambao 90% wanaofiwa kujimilikisha? Je, wanaweza kukubali watu kuwapindua kwenye sanduku la kura? Je, wanaweza kuachia madaraka? #NRNE only can!!!
Indonesia
7
0
1
61
Evance Fredrick
Evance Fredrick@evance_fredrick·
@YerickoNyerereT @rungwesr Karoho kanakuumaaaaa!!!! Kelele zote zile na post zote zile tangu mwakajana, umeruka kiunzi. TUNAMSUBULI UCHAGUZI UISHE MTAFTE NJIA YA KWENDEA
Indonesia
0
0
0
26