fga_tv

220 posts

fga_tv banner
fga_tv

fga_tv

@fga_tv

Fountain Gate Media House

Dodoma, Tanzania Katılım Nisan 2023
0 Takip Edilen309 Takipçiler
fga_tv retweetledi
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
33’ | Bravos do Maquis 1-0 Simba SC. Jiunge na Simba Bando kwa kupiga *149*01# > 8> 1 ili upate dakika za kupiga, sms, data na taarifa za kila punde wakati wa mchezo. #TotalEnergiesCAFCC #WenyeNchi #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet media
Filipino
46
16
519
28.5K
fga_tv
fga_tv@fga_tv·
Dili la Bernard Morrison na KenGold limejaa kimkakati. Mghana huyo amepewa mkataba wa miezi Sita huku akionywa mapema juu ya Tabia ya utakutu. ✅ Done #CHIMBOJIPYA
fga_tv tweet media
Indonesia
0
0
1
18
fga_tv
fga_tv@fga_tv·
Kocha wa viungo wa Klabu ya soka ya Wanawake ya JKT Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania bara, Esau Sanu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Machi 16, 2024. @JKT_Queens #RIP
fga_tv tweet media
Indonesia
0
0
2
39
fga_tv
fga_tv@fga_tv·
Waziri Junior tayari amefunga magoli 11 akiwa na KMC Msimu huu. Amemfikia Aziz Ki huku akiwa anazidiwa na Feisal Salum mwenye magoli 12. Kazi kubwa. @tplboard @Tanfootball #Ramadan
fga_tv tweet media
Indonesia
0
0
1
29
fga_tv
fga_tv@fga_tv·
Jafary Mwanyemba (Kushoto) na Raheem Saleh (Kulia) ni vijana kutoka Fountain Gate Sports ambao Kwa Sasa wapo nchini Mali kwenye Academy ya ABM Sports. Hii ni hazina kubwa sana Kwa Taifa Kwa siku za usoni. @Tanfootball
fga_tv tweet media
Filipino
0
0
2
31
fga_tv
fga_tv@fga_tv·
Niyonkuru Samantha na Suzan Adam wote wanakipiga katika Klabu ya TUT ya nchini Misri (zamani @FGatePrincess katika ligi Kuu ya Wanawake nchini Humo. TUT Ndani msimu huu imecheza Michezo 15, kushinda 14, sare 1, Clean sheet 13 huku wakifunga magoli 99. What a record!!. 🔥🔥
fga_tv tweet media
Filipino
0
0
2
31
fga_tv retweetledi
TFF TANZANIA
TFF TANZANIA@Tanfootball·
Meneja Mashindano TFF, Baraka Kizuguto ameteuliwa na CAF kuwa Mratibu (General Coordinator) wa mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Jwaneng Galaxy (Botswana) vs Wydad AC (Morocco) utakaochezwa Februari 24, 2024 @tplboard @cafclcc @BarakaKizuguto
TFF TANZANIA tweet media
Indonesia
3
18
672
15.4K
fga_tv
fga_tv@fga_tv·
Ilikuwa Disemba 20, 2023 Fountain Gate Princess ilipangwa na Amani Queens katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma lakini haukufanyiwa. Leo Februari 12, 2024 mchezo huo utapigwa katika uwanja wa Jamhuri Dodoma Fountain Gate Princess wakiwa nyumbani. @FGatePrincess @Tanfootball
fga_tv tweet media
Filipino
0
0
4
56
fga_tv
fga_tv@fga_tv·
Kwanza aandaliwe kisaikolojia na aambiwe ukweli kwamba Kuna Nyota wengi makinda walijiunga na Simba lakini wakaishia benchi na kukosa nafasi kuanza pengine hata kucheza. Wawatumie kina Jimmyson Mwanuke, Israel Mwenda, David Kameta "Duchu" kama mfano. @mtibwaofficial @Tanfootball
fga_tv tweet media
Filipino
0
1
5
61