Gerald John
669 posts

Gerald John
@gerryjn_
#Jobless. John 8:58. Catholic @LFC | @SimbaSCTanzania

@gerryjn_ @AdroitMatovolwa @kasesco_tz Kipi ni sahihi mkuu






Unakuta mtu miaka 40 ya kuajiriwa, mshahara wake uliweza kujenga nyumba tu ya room 3 na gari 1 tena kibakuli Maisha yote ya utumwa. Hakuna Kula vizuri, hakuna Uhuru.


Miaka 64 ya Uhuru kila siku tunajenga shule, NI kama AKILI zetu zimeganda.





Karibu sana kaka, 0756084459/0621877523. #TheTraveller ipo kwaajili yako, humu legroom dunia,siti sofa na kila siti ina tablet yake 🔥

@AlexSamoja Kuna Hotel (×) pale njombe ndio mambo yao! Pale ukibook room wanakuletea automatic heater.. ila wakiona ni mgeni kabisa(Sio mwenyeji kwenye mazingira ya baridi) huwa wanasema kabisa ukishindwa kulala mwenyewe tujulishe tutakuletea mtu akupe kampani!




Miongoni mwa mazuri ya Uislamu hatuna KODI Moja ya chanzo cha Umaskini ni Kodi ni mfumo wa Mabepari wa ukandamizaji na Unyonyaji Hakuna nchi duniani imekuwa kiuchumi na kuwa na maisha bora raia wake kupitia Kodi Kodi sio chanzo cha Uchumi Kisheria ni dharura tu.















