mshua retweetledi
mshua
3.6K posts

mshua retweetledi

Mjomba wa msanii Temba AMETEKWA na kukatwa kichwa
Angangilia YouTube bonyeza Link hii youtu.be/vO3CtgjmdLA?si…

YouTube

Indonesia
mshua retweetledi

Mabadiliko hayajengwi na watu
wachache-yanajengwa na kila
anayetoa alichonacho.
Leo toa tone lako.
Kesho tutajivunia nguvu yetu
ya pamoja.
#ToneTone
Suomi
mshua retweetledi

Nduli Idd Amin Mama yeye kasoma degree ya mambo mbalimbali huko Pakistan.
Sasa angalieni CV ya huyu kilaza mwenzake aliyemteuwa kuwa Naibu Waziri haram wa ajira, hivi kweli huyu anastahili Uwaziri achilia mbali hata Udiwani?
Waziri haram anacertificate 3 na zote ni za online halafu vyuo vyote alivovitaja kwenye CV yake hata ukiingia google kuvitafuta havipo isipokuwa kimoja tu maana yake yuko na Certificate za kununua pale Karikakoo kwa Machinga wa vyeti vya Taalum.😂
Kwamba Waziri haram mwenye certificate za mchongo ndio ataongoza wizara ya ajira?
Mtu kama huyu atamsaidiaje kijana mwenye degree ambaye yuko mtaani hana ajira?
Waziri gani ana udaktari wa mchongo ule wa kununua kama ule wa Babu Tale?
Nduli Idd Amin Mama kaamua kujaza vilaza wenzake ndani ya Serikalini haram maana hapendi kabisa maana watu wenye akili maana anajua watamchallenge.
Anapenda vilaza wenye elimu mbalimbali kama yeye ili awaburuze halafu hapa mtegemee nchi itasonga mbele.🚮🚮🚮🚮

Indonesia
mshua retweetledi

INSECURITY TANZANIA
This young man James Temba from Tabata Dar es Salaam disappeared in suspicious circumstances
His body was discovered headless in a river - and we don’t expect any meaningful investigation!
Police have remained unhelpful while abductions continue under.
#EnforcedDisappearance #Tanzania @SuluhuSamia
Cc @WGEID @volker_turk @UN_HRC
English
mshua retweetledi

Many Americans today have mixed opinions about Barack Obama. Some admire him, others criticize him. But for those of us who come from outside, the reality is often different.
Believe it or not, no American president has ever left such a strong impression around the world as Barack Obama. He embodied hope, respect, intelligence, and dialogue. He represented a powerful image of America: open, inspiring, and close to the people.
For many of us, Obama was not just a president; he was a symbol. A symbol that everything is possible, that social background, skin color, or personal history should never be limits.
He restored confidence to millions of young people around the world. He spoke to the world with dignity, calm, and responsibility. He knew how to unite instead of divide.
No matter the internal political debates, internationally, Barack Obama will forever remain one of the most respected, loved, and admired American presidents.
His legacy goes beyond borders. And his name will remain engraved in history.
English
mshua retweetledi
mshua retweetledi
mshua retweetledi

Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe.
Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai ambaye ni mama mzazi wa Damour Nyakairo, ameeleza kuwa kijana wake amechukuliwa asubuhi ya leo na watu waliokataa kujitambulisha, na kumpeleka kusikofahamika.
“Wameondoka naye hatujui kapelekwa wapi. Wametoka huko watu saba wakaja,mimi nashangaa watu wanakimbia mvua au wanakimbia nini? Moja kwa moja wanamfuata Damur na mimi nimekuwa hapa. Wakamshika, wawili wanamshika na mmoja akatoa pingu mfukoni akamfunga. Nikauliza kuna nini [wakasema] tutajua huko huko, nyie nani? Wakasema tutajuana huko huko,” anaeleza Lilian Swai mama wa Damour.
“Kwa hiyo wakambeba watu watatu wakamshika, wakambeba wakamburuza mpaka kwenye gari. Mimi nikawa nataka kuingia na yeye huko, wananivuta wakanitoa nje.”
Indonesia
mshua retweetledi

Police in #Tanzania arrest three for insulting Chande and his commission
This of course just attracts more insults from Gen Z
Sasa mnawachokoza alafu waki react mnawakamata! Yaani hao wazee ndo wanafurahi vijana wakikamatwa alafu baadaye watateswa mahabusu eh? Acha waendelee kutukanwa! Kama matusi yamekuuma fungua kesi ya madai ila si kutuma polisi wakamate watu! Mfyuuu 🚮
Ila #TutaelewanaTu
@volker_turk this is your Chair of the fact finding mission to Sudan - who complains to police in his country about being insulted and they get detained! These detained youth are tortured in these cells adding to human rights abuses that Chande claimed to be investigating! If he feels insulted he can open a personal case for damages but not use the police to torture people! Ludicrous!
Why is he still on this Mission to Sudan!?
@UN_HRC

Filipino
mshua retweetledi

mambo ya Chande na Bimsumi ndio hayooooo nafikiri kila mtu anajionea tu hapo
kwanini Chande atuletee Ripoti ambayo haieleweki, kumbee sababu ni hii!
#Tutakuwepo

Indonesia

@MariaSTsehai Ukweli huyu bi msumi alishasemaga mwenyewe hakusoma sana na hilo pia ni tatizo na kibaya amejizungushia wasaidizi wenye akili Kama zake ( akili ya kutaka kuchota maji kwenye tenga la nyanya)
Indonesia

Msikilizeni Polepole aliwaonya akina Mafwele hadi Abdul na Samia kuhusu utekaji - wakaamua wamteke! Hawa ndo wapumbavu leo wanahaha kutaka kutuliza umma!
Wanatusukuma kubaya! Oktoba 29 ilijaa hasira za wananchi maana tumechoka kutekwa!
Sasa wamejaa kiburi wameanza tena kuteka na kuleta ubabe!
Mnachokitafuta mtakipata! Haya!
And #FreePolepole nyie washenzi 🚮
#FreeAllPoliticalPrisoners
Indonesia
mshua retweetledi

Opposition politicians are behind bars. The media remain muzzled. Outsiders are unlikely to help. A pall of fear hangs over Tanzania. Samia Suluhu Hassan is taking her country down a ruinous road econ.st/42GOzD3
Photo: Xinhua News Agency/Eyevine

English
mshua retweetledi
mshua retweetledi

‼️#EnforcedDisappearance #Tanzania ‼️
This young man called Damuru has just been abducted in a white Landcruiser with fake plate numbers 1257DFPA, and additional number 28957
@tanpol has to be hold responsible for this!
Abductions continue under @SuluhuSamia
Cc @WGEID @volker_turk @UN_HRC



English
mshua retweetledi

Polepole bado yupo mikononi mwa watekaji, wao ndio wanaamua nani aishi, Nani afe, Nani awe uraiani Nani awe Gerezani, ujinga huu hatuwezi kukubali uendelee.
Bonyeza #Repost tupate repost 500.

Indonesia
mshua retweetledi

Tundu Lissu will be free! The issue is not that but the time and circumstances that this will take place!
Mnaomshauri Mwuaji in Chief Samia mnafikiri kuna busara imebaki hapo? Sijuu mganga wake ndo kamshauri aendelee kumshikilia Lissu ila akitajiwa tu #FreeTunduLissu anang’aka sana! Alafu sababu hana - mara sijui heshima, mara kanitukana!
Ukweli ni kwamba ANAMWOGOPA maana kwa sasa Lissu ni level ya Nyerere ktk kupendwa na umaarufu nje na ndani ya nchi! Na atamwachia tu hakuna namna 👊🏽🔥
Tutaendelea kukaba hadi penalti
Tuseme kwa pamoja #FreeTunduLissu

Indonesia
mshua retweetledi
mshua retweetledi

@lifeofmshaba @yohana52618868 Inauma kuona watu wako pale kunsikiliza huyu muuaji
Suomi

Yaani sasa hivi wananchi wamekabia juu ndio anatoa hii milio
Lakini chini kwa chini anateka watu kwa kasi sana,
Lissu yuko rumande kwa amri za Samia
Hivi uwa anatuchukulia je huyu? yeye anatumia tofauti za Hoja kuteka watu, kufunga watu , kuua kupitia wasiojulikana na mwanae Abdul
Kama kuna mtu anasikilia huyu mtu ajipange, huyu hakuna kitu anamaanisha akitoka hapo anakiwasha upya,
Tukiachia hapa tuliposhikia akapata nafuu kidogo tu atakuja kushambulia tena kwa kasi mbaya sana
Hizo tofauti za hoja na SIASA zimeondoa HAKI nchini, watu wanafanyiwa mambo ya ovyo sana

Indonesia






