Research and Data analyst

3.1K posts

Research and Data analyst

Research and Data analyst

@hamisi_mikonzi

Manchester United and Young African fan

Arusha, Tanzania Katılım Mayıs 2017
264 Takip Edilen156 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
Kijana ukipata muda tembea ujifunze vitu vingi, umemaliza chuo na hauna ajira? kuna zile trip ndogo ndogo za Dar-Mikumi au Dar-Saadan, Dar- Bagamoyo, trip hazizidi laki, jitoe ufahamu tembelea kama tatu au nne halafu angalia gharama uliyolipia, chukua orodha ya chakula na vinywaj
Research and Data analyst tweet media
Indonesia
4
6
61
0
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@barackmtulo @TruthWatchDogTZ Sio wa kuboost tu, kuna wengine wapo waliomfollow na wamefariki na hizo account zinakuwa domant huyo ni mtu ambaye amehudumu Manchester United, Real Madrid na kwingineko na ana followers wengi ambao ni nonactive na ndio wanakuwa wanaondolewa baada ya muda.
Filipino
0
0
0
66
Truth WatchDog🇹🇿
Truth WatchDog🇹🇿@TruthWatchDogTZ·
RONALDO NAE TAPELI TU Baada ya kampuni ya Meta kuanzisha operesheni ya kufuta akaunti feki na followers wasio hai. Mchezaji Christiano Ronaldo amejikuta akipoteza followers takiriban Million 18. Ripoti zinaeleza kuwa Meta imeanzisha msako huo mkali dhidi ya account ambazo ....
Truth WatchDog🇹🇿 tweet media
Indonesia
15
13
195
33.1K
Research and Data analyst retweetledi
Rishabh
Rishabh@Rixhabh__·
INSTEAD OF WATCHING NETFLIX TONIGHT. Spend 1 hour with this. Claude AI FULL COURSE that teaches you how to BUILD and AUTOMATE anything. The people who watch this tonight will wake up tomorrow with a new skill. Watch it and Bookmark it now.
English
76
1.2K
6.5K
829.2K
Research and Data analyst retweetledi
Andrew Bolis
Andrew Bolis@AndrewBolis·
You can earn $7000 each month if you have ChatGPT, a laptop, and 60 mins a day. Usually, I'd charge $79 for this killer guide, but today it's yours 100% FREE. Like + comment "Hustle" and I’ll send you my step-by-step guide for FREE. Must follow me to get DM. FREE for 48 hrs only.
Andrew Bolis tweet media
English
12K
841
10.5K
1.8M
Research and Data analyst retweetledi
Jyoti Soni
Jyoti Soni@soni_jyoti_·
BREAKING: If you're not using Claude at your job, you're already behind. Copy these 7 prompts:
English
49
168
891
133K
MRENO_255🎧
MRENO_255🎧@mreno255·
Kwenye mshahara wako tukitoa laki 8 unabakiwa na shilingi ngapi?
Filipino
162
64
436
33.4K
Makorokocho!
Makorokocho!@MakorokochoE·
@MangiwaKwanza1 Nimeweka 20k Cashout inasoma 106k zikitema ni 1.6M haya niambie Mangi kama wewe uta cashout.? Au utasubiri.?
Indonesia
3
0
5
1.4K
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Mtu umeweka 150k cash out tayari imesoma 8M wewe unaleta ubishi unataka umpige muhindi 15M pesa yote, mwisho wa siku mechi moja inachana muhindi anakupiga. Nani aliwaloga nyinyi wakamalia 😂
Indonesia
31
41
536
16.1K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@gabyconscious @Dream_online_Tz Mimi naomba nikuulize swali moja tu mkuu. Unapata viewers wengi sana whatsapp. Ulifanyaje fanyaje hadi ukawa na so many viewers. Inaweza kuwa somo moja zuri sana. Kwangu na kwa baadhi ya followers wako wengine Mkuu.
Indonesia
0
0
0
18
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@gabyconscious Hayo mambo ni Normal tu kote duniani. Watu waliotoka sehemu ambayo hawakuwa na privilege kubwa wanakuwa na high ambition na mwishowe huwa wanatoboa sana. Nenda kaangalie mfano mzuri nchi kama US, utaelewa pia.
Filipino
1
0
0
92
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@maipambomteta Tatizo baadhi ya madereva wakipewa magari na wakalipenda hilo gari na kazi, huwa wanaroga sana hiyo chuma asinyang'anywe na bosi ili apewe dereva mwingine sana. 😀😀😀
Filipino
1
0
8
1.3K
MAIPAMBO JR
MAIPAMBO JR@maipambomteta·
Hapa kwetu ikitokea dereva kafariki iwe hospitali,ajali au kifo cha aina yoyote,ukitumwa ufuate gari ukamalize safari au ukashushe mzigo aliopakia,hiyo chuma hata leo iweimetoka dukani hotoboi,lita tokea lolote tu.🙌
Indonesia
15
19
301
21.5K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@kasesco_tz Kama hautumii bima na hauna pesa sikushauri uende vizahanati vya Uswahili ambao wanategemea wewe upimwe ili wapate Malipo. Nenda government hospital utapewa huduma nzuri. Changamoto huwa ni foleni tu Ila wapo real sana.
Filipino
0
0
7
607
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Ni mara chache sana unaweza kwenda Private Hospital na wakasema hauna tatizo. Mara chache sana. Unadhani ni kwanini
हिन्दी
54
38
347
14.3K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@denniehanda Nash MC hana mambo mengi sana kwenye Mziki wake. Hana kushunguza maneno na kuweka maneno magumu magumu. Mwanagu mwenyewe kila akitoa Album lazima ninunue.
Filipino
0
0
2
157
Dennie Handa
Dennie Handa@denniehanda·
Nash MC Swahili ambassador wa ukweli. Sijawahi kumsikia Nash akiimba kimombo hata kuweka neno tu. Misingi muhimu
Indonesia
8
2
43
1.6K
METRO🎭
METRO🎭@kishoka_·
Kuna jamaa tulipanga nae nyumba moja kitambo jamaa alikua na sabufa flani zile za 3000watts, alikua anafungulia sauti full hata usiku, akiiwasha mpaka vyombo kwenye kabati vinaanguka, ukimkataza mnagombana, nilipitaga nayo nikaenda kubadilishana na koti la leza na safari boots
Indonesia
39
52
495
66K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@Nindi_Jr Kwani hauji kuna watu Tanzania hajui kusoma kiswahili lakini anaweza kuongea kiswahili vizuri kabisa. Ndo hivyo hivyo kwa lugha zingine.
Indonesia
2
0
2
228
Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ
Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ@Nindi_Jr·
Yaani Mwarabu Anashindwa Kusoma (Hajui) Na Wakati Huo Huo Anawasiliana Na Mchina 'In English' Au Mimi Ndio Sielewi
Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ tweet mediaNindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ tweet mediaNindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ tweet mediaNindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ tweet media
Filipino
8
1
54
6.3K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@stiziistany @Mudimabiriani Ni kama bongo tu. Kuna beki 3 wanaofanya kazi kwa sisi maskini. Analipwa kwa masimango, anakuwa girlfriend wa watoto wetu na kadhalika. Lakini pia bongo hii hii wapo wanaofanya kazi kwa vibopa na wanaishi vizuri na hauwezi kujua kama ni beki 3. Hii ina apply nchi zinazoendelea.
Indonesia
0
1
1
34
Majira
Majira@stiziistany·
@Mudimabiriani Hizi taarifa na video watu wanateseka uko ni Uongo?
Filipino
2
0
2
552
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Dubai ukiskia mwanamke anaitwa BAHARIA ujue house girl maana wanakuwa ndani ya nyumba muda wote ni kazi ambayo inalipa sana na mishahara yao mikubwa sana ukishaaminika tu na waajiri wako wanakutolea mpaka leseni uende wewe sokoni wanawapa mpaka na magari waarabu wavivu
Indonesia
10
17
306
14.2K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@officialmtanga @chapo255 Biashara na Country mbele. Wakupe pesa ununua au wanunue kwao wakuletee bidhaa. Wakinunua kwao faida zake ni kuingiza pesa kwenye mzunguko wao wa kiuchumi kuliko kuchepusha hela.
Indonesia
0
1
1
88
Mtanga 🇹🇿🇺🇬
Mtanga 🇹🇿🇺🇬@officialmtanga·
@chapo255 kuna ng'ombe na mbuzi wanatoka uarabuni wanaletwa bongo km msaada wa vitoweo kwa kaya masikini
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
1
0
2
622
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Kuna michongo ipo ila ina wenyewe, mtu mpya utawekewa vikwazo utatamani kulia
Mchambuzi@Baraza_Kuu

Katika kile kinachoonekana kama ushindi wa diplomasia ya kiuchumi na ubora wa bidhaa za Tanzania, nchi ya Qatar imetangaza rasmi kufungua soko la nyama ya mbuzi na kondoo kutoka Tanzania. Hatua hiyo iliyopokelewa kwa shangwe na wadau wa mifugo, imekuja baada ya nchi hiyo kujiridhisha na hatua madhubuti zilizochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kudhibiti magonjwa ya mifugo na kuimarisha viwango vya usalama wa chakula vinavyokubalika kimataifa. Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Benezeth Lutege, amethibitisha kuwa Qatar imetoa ruhusa hiyo Machi 17, 2026, baada ya kuridhishwa na ujenzi wa karantini za kisasa pamoja na kampeni kabambe ya chanjo ya mifugo nchini. Awali, soko hilo lilifungwa tangu Agosti 25 mwaka jana kutokana na hofu ya ugonjwa wa midomo na miguu, lakini jitihada za serikali kueleza ukweli wa kitaalamu na kuimarisha maabara za TVLA zimesaidia kurejesha imani ya soko hilo muhimu duniani. Kurejea kwa soko la Qatar kuna maana kubwa kiuchumi kwani nchi hiyo imekuwa ikipokea wastani wa tani 3,000 za nyama kutoka Tanzania. Kwa kuzingatia kuwa nyama ya mbuzi pekee inachangia asilimia 64.69 ya mauzo yote ya nyama nje ya nchi, kufunguliwa huku ni kichocheo kikubwa cha kuongeza mapato ya fedha za kigeni. Takwimu zinaonyesha kuwa hadi kufikia Aprili mwaka jana, Tanzania ilikuwa imevuna dola za Marekani milioni 44.07 kutokana na mauzo ya nyama nje, na sasa kurejea kwa Qatar kutaongeza kasi ya kufikia malengo makubwa zaidi ya kibiashara. Kijamii na kiajira, hatua hii ni neema ya moja kwa moja kwa mfugaji wa vijijini. Kuongezeka kwa mahitaji ya nyama ya mbuzi na kondoo katika nchi 11 ambazo Tanzania inauza sasa, ikiwemo Saudi Arabia, UAE, na Vietnam, kunamaanisha kuwa bei ya mifugo itaimarika na soko litakuwa la uhakika. Hii inatoa motisha kwa vijana kuwekeza katika ufugaji wa kisasa na machinjio kufuata vigezo vya kimataifa, jambo ambalo linaendana na dira ya serikali ya kubadili sekta ya mifugo kuwa biashara yenye tija badala ya sifa pekee. Aidha, sharti la Qatar la kutaka kila mzigo uthibitishwe na Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) ni fursa ya kuonyesha ulimwengu kuwa bidhaa za Tanzania ni salama na zenye ubora. Kwa kufanya hivi, serikali haitafuti tu masoko, bali inajenga chapa (brand) ya nyama ya Tanzania inayoweza kushindana na mataifa mengine makubwa. Ni wazi kuwa sasa mpira upo kwa wafugaji na wasindikaji wa nyama kuhakikisha wanatunza sifa hii ili kutanua wigo wa soko letu kote ulimwenguni.

Indonesia
21
8
246
18.9K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@Baraza_Kuu Kuna kiwanda kimoja kikubwa sana Kipo Namanga-Longido kinaitwa Elia Food ni exporter wwzuri sana wa hizo bidhaa. Fursa zipo ila zinahitaji mitaji na ujue kulitafuta soko. Wengi wanaokuja kuwekeza unakuta ameshatengeneza network yake ya masoko yeye anatafuta eneo la kupata bidhaa.
Filipino
0
0
0
331
Mchambuzi
Mchambuzi@Baraza_Kuu·
Katika kile kinachoonekana kama ushindi wa diplomasia ya kiuchumi na ubora wa bidhaa za Tanzania, nchi ya Qatar imetangaza rasmi kufungua soko la nyama ya mbuzi na kondoo kutoka Tanzania. Hatua hiyo iliyopokelewa kwa shangwe na wadau wa mifugo, imekuja baada ya nchi hiyo kujiridhisha na hatua madhubuti zilizochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kudhibiti magonjwa ya mifugo na kuimarisha viwango vya usalama wa chakula vinavyokubalika kimataifa. Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Benezeth Lutege, amethibitisha kuwa Qatar imetoa ruhusa hiyo Machi 17, 2026, baada ya kuridhishwa na ujenzi wa karantini za kisasa pamoja na kampeni kabambe ya chanjo ya mifugo nchini. Awali, soko hilo lilifungwa tangu Agosti 25 mwaka jana kutokana na hofu ya ugonjwa wa midomo na miguu, lakini jitihada za serikali kueleza ukweli wa kitaalamu na kuimarisha maabara za TVLA zimesaidia kurejesha imani ya soko hilo muhimu duniani. Kurejea kwa soko la Qatar kuna maana kubwa kiuchumi kwani nchi hiyo imekuwa ikipokea wastani wa tani 3,000 za nyama kutoka Tanzania. Kwa kuzingatia kuwa nyama ya mbuzi pekee inachangia asilimia 64.69 ya mauzo yote ya nyama nje ya nchi, kufunguliwa huku ni kichocheo kikubwa cha kuongeza mapato ya fedha za kigeni. Takwimu zinaonyesha kuwa hadi kufikia Aprili mwaka jana, Tanzania ilikuwa imevuna dola za Marekani milioni 44.07 kutokana na mauzo ya nyama nje, na sasa kurejea kwa Qatar kutaongeza kasi ya kufikia malengo makubwa zaidi ya kibiashara. Kijamii na kiajira, hatua hii ni neema ya moja kwa moja kwa mfugaji wa vijijini. Kuongezeka kwa mahitaji ya nyama ya mbuzi na kondoo katika nchi 11 ambazo Tanzania inauza sasa, ikiwemo Saudi Arabia, UAE, na Vietnam, kunamaanisha kuwa bei ya mifugo itaimarika na soko litakuwa la uhakika. Hii inatoa motisha kwa vijana kuwekeza katika ufugaji wa kisasa na machinjio kufuata vigezo vya kimataifa, jambo ambalo linaendana na dira ya serikali ya kubadili sekta ya mifugo kuwa biashara yenye tija badala ya sifa pekee. Aidha, sharti la Qatar la kutaka kila mzigo uthibitishwe na Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) ni fursa ya kuonyesha ulimwengu kuwa bidhaa za Tanzania ni salama na zenye ubora. Kwa kufanya hivi, serikali haitafuti tu masoko, bali inajenga chapa (brand) ya nyama ya Tanzania inayoweza kushindana na mataifa mengine makubwa. Ni wazi kuwa sasa mpira upo kwa wafugaji na wasindikaji wa nyama kuhakikisha wanatunza sifa hii ili kutanua wigo wa soko letu kote ulimwenguni.
Mchambuzi tweet media
Indonesia
9
11
23
21.7K
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Hivi Manara ana Leseni Bodi ya Ithibati??
Indonesia
18
1
112
8.7K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@Hon_KibayasiF Tulimpata binti wa namna hii pia. Ila alikuwa tuna watoto mmoja mkubwa kidogo wakawa awapatani dogo akafunguka. Binti kesho yake asubuhi tulimsafirisha kurudi kwao. Mabibi wa vijijini wanawaaribu sana wajukuu zao.
Indonesia
1
0
5
2.7K
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
Ladies: Mnapoishi na Wadada wenu wa kazi kuweni nao makini. Jirani leo naona anamsafirisha Binti wake wa kazi. Binti tangu kaja ana wiki 1 tuu. Jirani kanisimulia kuwa kila siku asubuhi anatumia dakika 15-30 kumgongea ili kumuamsha Binti wake wa kazi. 👇
Filipino
45
40
560
59.4K
Research and Data analyst
Research and Data analyst@hamisi_mikonzi·
@RKishaija81715 Sasa wewe unavyofikiria treasure bond ni nini. Ule ni mkopo ambao unamkopa mtu au taasisi na utamlipa baada ndani ya mda fulani. Mfano ni ile ya BOT na ndio tunauita mikopo ya ndani au ukisikia deni la ndani ya nchi bssi jua na hilo limo ndani yake.
Indonesia
0
0
0
399
Agnostic
Agnostic@RKishaija81715·
Watu wakisikia US inadaiwa karibu $750B na China wanadhani ni US kaenda kuchukua mkopo China . Hapana , ni China ameenda kununua treasury bonds US ambazo ni one of the most liquid and safest investments . China analazimika kununua treasury bonds kwa sababu wanapo export goods..
Filipino
11
21
330
17.7K