HekiMa
24.6K posts


@baraka_asege Jamani mbona Magwaya yeye anafungisha za wazi na bado anacheza kwetu tunashindwa nn kujifunza tujifunze mambo yote siyo nusunusu
Filipino

@Sativa255 Hata Man City ikibeba ubingwa itakuwa ni ainana ya udharilishaji kwa timu zingina hapa Uingereza
Indonesia

@master_plan9 Dar hawapimi wakiumwa wanakimbilia Njombe na Dawa wanakuja kuchukua Njombe
Indonesia

@Legend_Mtikila Hakika kinachomuumiza ni vile alikuwa anajiaminisha kwamba chama ni cha familia
Filipino

@Tweener003 Ndani ndani wapi? Mbeya hakunaga mashamba ya ndani ndani acha uwongo mashamba yapo Uyole hapo igawilo ni katikati ya mji kabisa hapo unapata matunda aina zote caroti aina zote mboga majani aina zote
Indonesia

@TBoundBuses Na hizi huwa zinapataga ajali au zenyewe zinakinga maalumu??
Indonesia

@BlackSingapore2 Madhani hayo ya upande wa kulia ni yale ya Shetani ni ufahari wake
Indonesia

@therealrigoh Nimeona kocha wake ni mzee hana shida amezoea hali zote ila wale vijana wa japani wanakocha wao kijana amechangamka amefurahi kupita maelezo
HT

@chapanombombwi Jamaa ni kama bado anaogopa kufa kifua amejaza machuma lakini ajue siku ikifika wanakula kichwa
Indonesia
































