khamis

224 posts

khamis banner
khamis

khamis

@hintay2003

Katılım Eylül 2012
20 Takip Edilen20 Takipçiler
khamis
khamis@hintay2003·
@HecheJohn Ukitamka kujua msenge au shoga msome huyu heche, wewe ulikaa bungeni miaka kumi ulifanya nini kwenu ulibadilisha nini kijijini kwenu acha KATA. Acha ujinga wewe SI afadhali hata huyo Malaya wa marekani anaekutumia visenti vya kuleta vurugu
Indonesia
3
0
1
254
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Ukitaka kujua aina ya watu wanaojiita watawala na level ya fikra zao na uwezo wao, Msikilize huyu bwana Ulega!!!! Yaani una Nchi yenye kilometa za mraba 945,000. Nchi pekee yenye Tanzanite duniani, Nchi pekee yenye mbuga kubwa kuliko zote Duniani, Serengeti, Ngorongoro nk. Nchi ya tatu kwa wingi wa dhahabu duniani, Nchi yenye mlima Kilimanjaro, makaa ya mawe, almasi, Victoria gesi na kila kitu. Miaka 65 ya Uhuru una mtandao wa barabara zenye urefu wa kilometa 182,000 lakini kwa miaka 65 hiyo mmejenga barabara 16,000 tu! Yaani ni sawa na 9%. Tena barabara zenyewe hizi zimejaa mashimo kama ubao wa kuchezea bao!!! Hakuna barabara hata moja ambayo ni nzima … Anzia Tunduma Dar, Mwanza Dar , Kigoma Dar, Babati to Singida, Tabora Manyoni Yaani ni takataka… Barabara zenyewe finyu zisizowezesha hata kupishana wala kwenda km 120 kwa saa.. Barabara haina ubora inajengwa leo kabla hata mkandarasi kuondoka site imeishajaa mashimo.. Kama Imewachukua miaka 65 kujenga barabara za lami mbovu asimilia 9 ya Barabara zilizopo… maana yake wanahitaji miaka 130 kufikisha asimilia 18 ya Barabara zilizopo… achilia Mbali maeneo ambayo hayajaingizwa kwenye kanzi data ya Barabara zilizopo na zitakazofunguliwa …. Alafu bila aibu anajitokeza kusema uongo kwamba tuna mtandao mrefu wa barabara za lami kuliko Kenya!!! Hivi hawa watu hawaoni aibu? Kenya ina mtandao wa barabara za lami kilometa 25,411 sisi 16,700 kama alivyodai… Lakini factor ya pili ukubwa wa Nchi ya Kenya ni km za mraba 582,650 sisi 945,000. Kenya hawana dhahabu kama sisi, hawana tanzanite, hawana makaa ya mawe na chuma, hawana Serengeti is ala Ngorongoro kama sisi.. Yaani kwa hiki anachokisema Ulega, tukibaki chini ya huu Utawala dhalimu wa ccm tunahitaji miaka 600 ili kumaliza mtandao wote. Hapo kuna barabara kibao za mitaa na maeneo ambayo hayajapimwa mpaka sasa ambazo hazijajumlishwa hapo! Shame on you.
Indonesia
57
215
823
37.5K
khamis
khamis@hintay2003·
@swahilitimes Na yakukinukisha na kuzuia uchaguzi alisema nani na nani alifadhili vurugu Oct 29
0
0
0
1
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu amesema kesi ya uhaini inayomkabili inatokana na msimamo wake wa 'No Reforms, No Election' hivyo amesisitiza kufutwa kwa kesi zote zinazomkabili yeye na chama chake na kueleza utayari wake wa kushiriki mazungumzo akiwa huru. CHADEMA imesema Lissu ameeleza hayo alipokutana na Rais Mstaafu wa Malawi, Lazarus Chakwera aliyemtembelea gerezani.
Swahili Times tweet media
Indonesia
8
12
140
7K
khamis
khamis@hintay2003·
@Mwabuk2Boniface Kule umepeleka umbea na kwenda kusema uongo, vurugu za Oct 29 hata wewe unaejiita msomi unasema kuwa yalikuwa maandamano. Nashangazwa na nyinyi ni wasomi kweli au usomi wa makaratasi? Unaweza kueleza maandamano yalikoanzia? Acha kubwabwaja hakuna HADHI hapo ni ulevi tu
Indonesia
0
0
0
132
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
NILIPATA NAFASI YA KUONANA NA KUZUNGUMZA NA Dr Lazarus McCarthy Chakwera . Nilipata nafasi ya Kuonana na Kuzungumza na Mheshimiwa Dr.Lazarus McCarthy Chakwera Muwakilishi wa Katibu Mkuu Commonwealth na kuzungumzia Kiini cha tukio baya kabisa la Mauwaji ya halaiki la Oktoba 29 /2025 na matukio mengine ambata ya kabla na baada ikowemo watu Kutekwa na kupotezwa. Hoja zetu zililenga namna bora ya kupata ufumbuzi kamili kwa msingi wa UKWELI(TRUTH), HAKI (JUSTICE) na Uwajibikaji (ACCOUNTABILITY). BAK MWABUKUSI.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
60
272
1.2K
30.2K
Tanganyika
Tanganyika@keneth_tan11760·
@godbless_lema HALAFU MTU KAMA HUYU ANATUMWA KWETU KUJAKUFQNYA UCHUNGUZI ANAPASWA KUONDOKA KABISA KUMBE NAYE NI CORRUPT.MARAIS WA AFRIKA SIJUI NANI KAWAROGA
Indonesia
1
0
3
833
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Habari zinazodai kuwa aliyekuwa rais wa Malawi, Lazarus Chakwera, anakabiliwa na uwezekano wa kukamatwa kwa tuhuma zinahusishwa na skandali za “Greenbelt” na “Fertilizergate,” ambazo zinadaiwa kuhusisha matumizi mabaya ya fedha za umma. Takribani K 39 Bilioni ambazo ni sawa na US $22.9 million USD.
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
31
51
378
31.8K
khamis
khamis@hintay2003·
@godbless_lema Kwa hiyo unaweza kwenda kumtetea kama wakili msomi
Filipino
0
0
0
22
khamis
khamis@hintay2003·
@godbless_lema Wivu unakusumbua wa kukosa madaraka wewe umesahau uchalii wako na mwenzio mpaka wa kufanya mazishi ya mbwa uliona wapi Duniani. Hapa Sasa umebaki na umbea tu kwenye mtandao Canada kumekushinda
Indonesia
0
0
0
40
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Nyie watu wabaya CCM. Leo CHADEMA imefunguliwa kufanya kazi zake za siasa na mahakama ya rufaa. Hili si jambo la furaha kwa CHADEMA tu, bali hata kwa CCM pia, maana CHADEMA kuwa kazini kutawafanya mfikiri kwa makini kila jambo. Sasa ili mpate faida zaidi, Mh. Lissu anapaswa kuwa huru mapema. Msingi huu utapunguza sana namna baadhi ya viongozi wenu wanavyofanya mambo, kwani kwa sasa wanaonekana kama wanafikiri kuna chama kimoja tu haswa kule Dodoma. Ndio maana hata akili, maarifa na ubunifu unakosekana kwa sababu hakuna accountability. Ndio maana mmeanza hata fujo za urais mapema sana. Kuna watu hawakupaswa hata kuwa madiwani lakini wameweza kufikia ofisi za juu za Nchi na wengine wakawa hata wabunge kwa sababu ya hila na fujo. Kwa mfano Arusha ikianza Operation “ CHAPA NYAMA CHOMA “mnafikiri huyo chalii wenu ataonekana barabarani kwa kisabengo na maigizo. CHADEMA huru ni fikra njema kwa taifa.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
27
63
510
22.4K
khamis
khamis@hintay2003·
@godbless_lema Mlikuwa mnamponda nyie leo mnampamba kwa maneno mazuri kinyonga nyie huyo anafanyakazi yake kwa weledi sio vile mnavyodhania.
Indonesia
1
0
0
1.1K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Uamuzi wa Mahakama ya Rufaa kufuta zuio dhidi ya CHADEMA ni ukumbusho muhimu kwamba haki haiwezi kucheleweshwa bila madhara. Haki si matokeo tu, bali ni mchakato unaopaswa kuwa wa haraka, wazi na wa haki. Haki ikichelewa, hugeuka kuwa aina ya dhuluma. Jaji asiye na utu anaweza kusoma sheria vizuri, lakini akashindwa kusimamia haki. Hatua ya Mahakama ya Rufaa inaonyesha kuwa mfumo unaweza kujirekebisha, lakini pia ni onyo, kuchelewesha au kupotosha haki kunadhoofisha imani ya wananchi. Imani ya wananchi hujengwa na haki ya haraka, na hubomolewa na haki inayocheleweshwa.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
24
98
597
28K
khamis
khamis@hintay2003·
@godbless_lema Umemuona Lisu tu ndo Yuko gerezani hao wafungwa wengine waliojaa magerezani sio binadamu. Acha siasa zako za maji taka
2
1
1
339
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mama Samia , naomba kukupa taarifa kuwa, mazungumzo kati ya Marekani na Iran yamefeli huko Pakistan. Hii inaashiria hatari ya hali kurudi katika mvutano mkali zaidi, hata kuzidi ilivyokuwa mwanzo. Dalili zake zinaonekana wazi, ushindani mkubwa wa kununua mafuta utaongezeka, hasa katika nchi zenye mafuta ambazo bado zina utulivu. Katika hali kama hii, Afrika itaendelea kuathirika zaidi, ikiwemo Tanzania. Athari zake hazitaishia kwenye nishati pekee. Mfumuko wa bei , kuanguka kwa uchumi na sekta ya usafiri wa anga navyo vitapata pigo kubwa. Mashaka ya usalama yataongezeka, gharama za mafuta na bima zitapanda, na baadhi ya njia za ndege, hasa zile zinazopita Middle East, zitaanza kuepukwa. Hii itaathiri moja kwa moja utalii, biashara na uchumi kwa ujumla. Katika kipindi hiki cha misukosuko ya kiuchumi duniani, Tanzania inapaswa kuwa makini zaidi. Ni wakati wa kusafisha hali ya kisiasa na kurekebisha mwelekeo wa diplomasia yake. Dunia inapokuwa katika hali ya taharuki, nchi zinahitaji kuonyesha utulivu wa ndani ili kujenga imani ya nje. Kuendelea kumshikilia Tundu Lissu katika mazingira kama haya kunazidi kuongeza hali ya sintofahamu. Inachochea hisia za migogoro, inaongeza presha ya kisiasa, na inaleta picha ya nchi isiyo na uthabiti, hasa inapounganishwa na kumbukumbu za migogoro ya uchaguzi na matukio ya vurugu na mauaji Octoba 29. Ukizingatia kuwa ktk kila corridor za Kimataifa na ndani ya taasisi za kimataifa ni mjadala, anzia UN , ICC , COMMON WEALTH na Mataifa yote makubwa Duniani. Hili si suala la mtu mmoja tu, bali ni taswira ya taifa. Wakati huu unahitaji hekima, si kiburi. Kwa sababu historia inaonyesha wazi, mataifa yanayoendelea kufanya maamuzi kwa misingi ya ubabe wakati wa nyakati ngumu, huishia kukutana na anguko kubwa kuliko walivyotarajia. Naona downfall yenu kubwa sana na ya aibu kama mkiendelea kukaza fuvu.
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
58
165
989
51.2K
khamis
khamis@hintay2003·
@Royal_Tv_Tz Acha kuropoka huyo CAG aingie humo akague hizo sadaka kama utakuwa salama wewe unaota macho tu hapo
Indonesia
0
0
0
32
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Leo tarehe 13 Aprili 2026, ikiwa ni siku ya kumbukumbu ya miaka 104 tangu kuzaliwa kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, ametoa ujumbe mzito kupitia makala yake iitwayo "KAMBARAGE NA NCHI Vs VIONGOZI WETU NA WAKOSOAJI". Katika ujumbe huo uliosambaa kwenye mitandao ya kijamii na majukwaa ya habari, Askofu Bagonza amefanya tathmini ya kina kuhusu mwenendo wa uongozi wa sasa ukilinganishwa na misingi iliyoachwa na Mwalimu Nyerere. ​Askofu Bagonza anabainisha kuwa wakati Mwalimu alihangaika na wananchi na changamoto zao, viongozi wa sasa wamehamishia nguvu zao kwa wapigakura ambao thamani yao huisha mara tu baada ya uchaguzi. Anakosoa vikali mmomonyoko wa uadilifu akirejea ripoti za CAG zinazoonyesha kuongezeka kwa vibaka waliovaa tai wanaohondomola mali ya umma. Tofauti na Mwalimu aliyeliona taifa kama mali yake na kujiibia kuwa mwiko, viongozi wa sasa wanatuhumiwa kukumbatia utamaduni wa uchawa na utukuzaji wa watu badala ya kutoa huduma na sera zinazotukuza nchi na wananchi wake. ​Aidha, kiongozi huyo wa kiroho amekemea matumizi ya nguvu dhidi ya wakosoaji wa serikali. Anasisitiza kuwa silaha ya uhakika dhidi ya wenye kalamu ni hoja na si pingu, fedha, wala risasi. Askofu Bagonza anahitimisha kwa kutoa wito wa kurejea kwenye meza ya mduara na mazungumzo, huku akihoji ikiwa kuna ubaya kwa kiongozi kuliona taifa kama mali yake binafsi ikiwa hisia hiyo ndiyo itakayomzuia kuliibia. Ujumbe huu umepokelewa kama sauti ya kinabii inayotaka marekebisho ya haraka katika mfumo wa uongozi na uwajibikaji nchini.
ROYAL TELEVISION tweet media
Indonesia
5
22
141
4K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Kuna mambo YANACHEKESHA SANA. Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) ameomba WAANDISHI WA HABARI WAFUKUZWE Mahakamani kesi ya UGAIDI dhidi ya MASHEHE 11 wa MWANZA. Mahakama IMEKUBALI ombi hilo.😁😁
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
15
17
118
7.5K
khamis
khamis@hintay2003·
@HecheJohn Amka wewe ukisha lala siku nyingi wenzio wako hatua 1000 wewe Bado kazi kupiga kelele haisaidii Jenga Nchi
Indonesia
0
0
0
34
khamis
khamis@hintay2003·
@Royal_Tv_Tz Siku mbili tu ndo Kwanza Bei imeanza unaanza kulalamika kwa serkali ipi sasa au unataka uonekane WA kwanza kuongea
Indonesia
0
0
0
4
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake (Bara), John Wegesa Heche, kimetoa tamko zito kikiishutumu Serikali kwa kushindwa kuchukua hatua za makusudi kupunguza makali ya bei ya mafuta nchini. Katika taarifa hiyo iliyotolewa leo Aprili 6, 2026, CHADEMA imebainisha kuwa kupanda kwa bei ya petroli na dizeli kufikia zaidi ya Shilingi 4,000 kwa lita si suala la nishati pekee, bali ni mgogoro mpana wa gharama za maisha unaozitesa familia za Kitanzania kuanzia kwenye nauli hadi bei ya chakula mezani. Uchambuzi wa chama hicho umebaini kuwa ukaidi wa kisera ndio chanzo kikuu cha maumivu haya, ambapo takriban asilimia 31 ya bei ya mwisho ya mafuta inatokana na kodi, tozo na levy 16 za ndani. CHADEMA inahoji uhalali wa Serikali kuendelea kukusanya mapato makubwa kupitia kodi hizo huku mwananchi wa kawaida akiumia. Heche amesisitiza kuwa kwa sasa mwananchi anaadhibiwa mara mbili; kwanza na mshtuko wa soko la dunia, na pili na uzito wa sera za ndani zinazokataa kutoa ahueni ya kodi (tax relief) kwa muda ili kupoza makali ya bei. Aidha, tamko hilo limepiga picha ya ulinganifu wa kikanda inayouma, likionyesha kuwa nchi jirani kama Rwanda na Zambia zinauza mafuta kwa bei nafuu kuliko Tanzania, licha ya nchi hizo kutumia Bandari ya Dar es Salaam kusafirisha nishati hiyo. Hali hii inatajwa kuwa ni kielelezo cha sera mbovu na ukosefu wa uwajibikaji, kwani gharama za ndani nchini Tanzania zimebaki kuwa mzigo mkubwa kuliko ule wa usafirishaji kwenda nchi zisizo na bandari. Hii inathibitisha kuwa Serikali ina nafasi ya kushusha bei ikiwa itaamua kupunguza kodi zake. Kutokana na hali hiyo, CHADEMA imetoa wito wa haraka kwa mamlaka husika kuondoa tozo zote 16 zisizo na tija kwenye mlolongo wa bei na kutangaza mpango wa dharura wa ruzuku (targeted subsidy) kwa siku 60 hadi 90. Chama kimesisitiza kuwa kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya uzembe na sera kandamizi, na hivyo kinataka hatua za haraka zichukuliwe kulinda sekta ya usafirishaji na kilimo ili kuzuia mlipuko wa bei za vyakula ambao utawaumiza zaidi wananchi wa kipato cha chini na kati.
ROYAL TELEVISION tweet media
Indonesia
5
5
32
1.3K
khamis
khamis@hintay2003·
@Royal_Tv_Tz Serkali ipi unayoijua wewe. Ulisema hakuna serkali Sasa kiwewe Cha nini
Indonesia
0
0
0
4
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka serikali kuchukua hatua za dharura kulinda wananchi dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta, kikidai kuwa watawala wameshindwa kuzuia athari za soko la kimataifa na mifumo mibovu ya ndani. Akizungumza leo Aprili 6, 2026, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amewasilisha mapendekezo ya chama hicho yenye lengo la kutoa ahueni ya haraka kwa Watanzania. CHADEMA imetoa wito wa kuondolewa kwa kodi na tozo zote takriban 18 zilizopo kwenye mlolongo wa bei ya lita moja ya mafuta ili kupunguza mzigo kwa mlaji. “Mamlaka lazima itangaze mpango wa ahueni kwa siku 60 mpaka 90 na kutoa ruzuku ya muda kulinda sekta nyeti kama kilimo na usafirishaji,” amesisitiza Heche wakati akihimiza uwajibikaji wa kisera kuzuia kupanda kwa bei za vyakula. Aidha, chama hicho kimehoji usimamizi wa akiba ya nchi kufuatia taarifa za awali za serikali kuwa Tanzania ina hifadhi ya mafuta ya kutosha kwa miezi mitatu. CHADEMA imetaka mamlaka kudhibiti bei kwa kipindi hicho cha miezi mitatu, ikidai kuwa mafuta yanayotumika sasa tayari yalikuwa nchini kabla ya mabadiliko ya bei ya soko la dunia. Katika hatua nyingine, Heche amewataka Watanzania kudai haki yao ya kupata ahueni ya nishati, akisisitiza kuwa serikali inapaswa kuleta mpango wa dharura wa kuzuia mfumuko wa bei. Mapendekezo haya yanakuja kama shinikizo kwa mamlaka kushughulikia tozo za ndani ambazo zimekuwa zikichangia sehemu kubwa ya bei ya mwisho ya mafuta nchini.
Indonesia
5
20
75
2K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Zamani tulizoea kuona PROFESA AKIOKOTWA JALALANI, hiyo ya KICHANGA KUOKOTWA JALALANI ni MPYA KABISA. Tafadhali sana naomba ENDELEENI NA PROFESA HUKO JALALANI, msikitese KICHANGA.
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
4
4
48
3.9K
khamis
khamis@hintay2003·
@Sisimizi3 Hawakukosea kukuita jina sisimizi majina yooote haya walikosa wakakuita Hilo, inaelekea hata umbile lako ni la ssmizi
Indonesia
0
0
0
10
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
BREAKING NEWS : Muda huu ninavyoongea Tundu Lissu yuko huru ameachiwa na amesema anaenda nje ya nchi kwanza kuiona familia yake, atarudi Tanzania kuanza kushughulika na waliomsaliti.
Dr. Sisimizi tweet media
Filipino
72
17
409
48.5K
khamis
khamis@hintay2003·
@TanzaniaLeaks Tayari mmesha Anza kutanguliza uongo kwa watu wajinga hada wale nyumbu waamini maneno yako, kwani wakikamatwa SI ndio sawa walianzisha vurugu
Indonesia
0
0
0
717
Tanzania Leaks
Tanzania Leaks@TanzaniaLeaks·
BREAKING: Tume ya kuchunguza mauaji ya Oktoba 29 chini ya Chande itatoa ripoti ambapo wapinzani, wanaharakati na baadhi ya watu wa vyombo watasingiziwa kusababisha maandamano. Hadi viongozi wa dini. Kuanzia Ijumaa Kuu wataanza kuwakamata watuhumiwa wote. #TanzaniaLeaks
Tanzania Leaks tweet media
Indonesia
49
108
824
63.3K
khamis
khamis@hintay2003·
@chiefsultan6 @TanzaniaLeaks Hakukuwa na maandamano we bwege kuchoma Mali za watu na kufanya vurugu wewe unapita maandamano bwege nini
Indonesia
1
0
0
23
Chief Sultan
Chief Sultan@chiefsultan6·
@TanzaniaLeaks Sawa. Vp waliouwa watu, waliotupa maiti, walio weka watu wazima muchwari, Waliobaka, waliofata watu majumbani, Vp na waliotoa order ya shoot to kill, walioipokea na kuisambaza. Kwahiyo kosa ilikua ni kuandamana na Sio kuuwa watu?
Indonesia
1
0
0
2.4K
khamis
khamis@hintay2003·
@millardayo Mbona hizo ni siku chache sana we unatakaje unataka aachiliwe kirahisi rahisi ili aje akinukishe?
हिन्दी
0
0
2
141
millardayo
millardayo@millardayo·
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, ameiomba Mahakama iitishe na kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu ili kesi iishe na Lissu akafanyiwe matibabu ambapo amesema kama Lissu atapatwa na lolote akiwa gerezani kuna Watu watalazimika kujibu ni nini kimempata. Akiongea Jijini Dodoma leo March 24, 2026, Heche amesema “Juzi Mwenyekiti wetu (Lissu) akiwa gerezani ameandikia Mahakama wa Rufani kwa hati ya dharura kusikiliza kesi dhidi yake ya Uhaini na kuifanyia maamuzi, sote tunajua Lissu alishambuliwa kwa risasi hapa Dodoma kwahiyo kila baada ya muda amekuwa akienda kwenye matibabu na check up” “Suala la afya yake ni concern ya Chama na Watanzania leo ni siku 350 bado siku 15 Mwenyekiti wetu atakuwa ametimiza mwaka mzima gerezani kwa kesi ya uongo na ya kutunga, Watu wanataka wamtishe apige magoti, tunalizungumza kwasababu ya afya yake angekuwa mzima hata wakiendelea na kesi miaka mitatu tusingepiga magoti” “Hii naileta kwenu Watanzania, lolote litakalompata Tundu Lissu akiwa chini ya hawa Watu watakuwa na sababu ya kueleza Watanzania nini kimetokea, haitakubalika, Chama chetu hakitokubali, Duniani haitokubali, hii kesi isikilizwe haraka iishe Mwenyekiti wetu akapate matibabu, kitendo cha kuendelea kumshikilia kama madhara yatatokea kuna Watu watalazimika kujibu” #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
20
47
549
13.7K
khamis
khamis@hintay2003·
@PMadeleka Huyo marehem hujui tu, hiyo alikuwa ni kiongozi mwenye nidhamu aliheshimu viongozi wenzake hakuna na lugha mbaya sio hao wa Sasa angekufa huyu askofu au kitima ndio ingejua serkali itashiriki kupanga au la. Pengine angetumwa Katibu Kata awakilishe. Sio unasema kilichokufurahisha
Indonesia
0
0
0
367
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Kilichonifurahisha ni kwamba kwenye URATIBU wa Mazishi ya Kardinali PENGO, Serikali ITASHIRIKIANA na PADRI CHARLES KITIMA ambaye ni MTENDAJI MKUU wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC). Na “WAKATOLIKI WA YOMBO” watakuwepo.😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
57
63
708
36K