Hitboy🥇𝕏
842 posts


Kalilie mbali huko mzee
Watu tulishawekeza

Kaka mkubwa@sapro_phyticus4
@ema_fundi_nguo mnakatwa wewe na kocha wako
Tanzania 🇹🇿 Indonesia

@ChrissDady120 @Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @DullahTheking2 @MissChelsea1221 @Balyx_ Ndiyo watu wawili tofauta yule wa manyonya mashalove
Filipino

@DullahTheking2 @Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @Balyx_ @MissChelsea1221 Kwani kila ukiview ina count?
Indonesia

Leo umetumia mwezi tangu itoke EP ya Mbosso
Room no 3.
Mapokezi ni makubwa sana, kwa sasa Ep hii imesikilizwa na Watu millioni 50 kwenye Digital Platforms zote,
Ambapo wimbo kama Pawa ukishika nafasi ya kwanza kwa kupata wasikilizaji Million 20.2
2. Aviola Millioni 7.3
3. Nusu saa Million 6.7
4. Merijah Million 4.8
5. Siko Single Million 4.8
6. Asumani Million 3.1
7. Tena Million 3.8
Video kwa Comments 👇

HT

4 games
205 odds KAAAABOOOMMMMMMMMMMMMMMMMMMM🤜🤛⚡️⚡️⚡️⚡️♨️♨️♨️♨️♨️

MR. SOLESOLAR TIPS 🥇 ⚽️ 🏆🧘♂️@Solesolar__
English

@KingPablotz @Cargo_1911 @kaji_sijo @Mrsiyengo @Kingvannytz_ Kitu kikubwa alichofanikiwa ni kuwekeza kwenye michezo na team yake
Indonesia

"Sometimes you have to fake it until you make it.”
Ndio tunaweza kusema
Leo hii Red Bull ni moja ya vinywaji vinavyotawala dunia — nembo inayojulikana kila kona ya ardhi.
Lakini mafanikio haya hayakuja kwa bahati.
Hayakutokea kwa kampeni za kawaida.
Yalikuja kwa njama ya kipekee na ya kiustadi iliyopangwa kabla hata ya bidhaa kuuzwa rasmi.
Yani Red Bull kabla haipo madukani ilikuwa maarufu
Simulizi ya Red Bull na ujanja wa kibiashara usio na mfano.
Thread 🧵

Indonesia

@tety_steve @eastafricatv Namba zote ulizosajilia namba ya nida yako sms zinatumwa kwa namba zote
Filipino

@eastafricatv Wana uhakika gani hizo sms zimewafikia wahusika? Je no za simu walizotoa wakati wanajisajili wanazitumia hadi leo? Kama tulivyo vumilia kuvisubiri hivyo vitambulisho na NIDA muwe na subira, wengine walishafariki mkumbuke hili!
Indonesia

#HABARI Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, NIDA inatarajia kusitisha matumizi ya namba za vitambulisho vya NIDA kunanzia Mei 1, mwaka huu, kwa wananchi wote waliotumiwa ujumbe mfupi (SMS), kwenda kuchukua vitambulisho vyao na hawajafanya hivyo.
Akizungumza mapema leo ofisini kwake, Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji amesema NIDA imesikitishwa na idadi ndogo ya wananchi wanaojitokeza kuchukua vitambulisho vyao.
"Inasikitisha sana, tumekuwa tukituma ujumbe mfupi kwa wananchi kuwaelekeza ni mahali gani waende kuchukua vitambulisho vyao lakini idadi ni ndogo sana.
"NIDA tumeamua kuwa tutasitisha matumizi ya namba za vitambulisho, kwa wale wote ambao wameshatukiwa vitambulisho lakini hawajachukua," amesema Kaji.
Katika hatua nyingine, Kaji amesema NIDA ipo katika hatua za mwisho katika kuja na mfumo mpya wa kusajili kuanzia watoto wadogo. #EastAfricaTV

Indonesia

@JayleenRickie @Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @Balyx_ @DullahTheking2 @MissChelsea1221 kazi yao ni kukagua ufanyaji kazi wa Sectors za Serikali na systems zao.

@Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @Balyx_ @DullahTheking2 @MissChelsea1221 Doge ndo nn Tuanzie hapo mnieleweshe polepole
Polski

Habari zilizokuwa zinatreand Marekani siku ya Jana,
Ni Maandamano ya amani yanayoendelea ambapo maelfu ya watu kutoka miji mbalimbali Marekani,
Wameandamana kupinga uongozi wa Trump na Elon Musk ikiwemo na Tarrifs walizoziweka, ambazo zimechangia kupanda kwa bei za vitu na hali ngumu ya Maisha.
Pia wanapinga na DOGE (Department of Government Eficiency) iliyoanzishwa na Trump, na kuongozwa na Elon Musk, ambapo kazi yao ni kukagua ufanyaji kazi wa Sectors za Serikali na systems zao.
Ambapo Tangu DOGE ianze kufanya kazi wafanyakazi 100,000 na zaidi wamepoteza kazi zao.
Endelea....👇

Indonesia

@fumbokhanJr Kwani unamsaidi mkeo kujifungua kwa zamu zamu.
Indonesia

@HajiMtogol25860 @DullahTheking2 Hii ilikuwa true story ya mwanae
Filipino

























