Poleni sana Watanzania kwa hiyo ripoti ya kishetani mliyopewa na tume ya kishetani iliyoundwa na shetani mwenyewe
Wale mnaotaka Maridhiano, hivi ndio hawa mashetani waliotoa ripoti hii mnataka kufanya nao Maridhiano????
Ripoti inafanyiwa promotion na serikali na machawa wake mmewahi kuona wapi? Kama sio uhuni na ushetani na kukosa utu?
After spending £2 billion in less than three years, the only thing we’ve improved at is being jealous and criticising Arsenal a team leading the league and in the UCL semi-finals. Embarrassing. Shame on you, Chelsea fans.
The biggest branding winner in the @ChampionsLeague this year isn’t a club.
It’s @visitrwanda_now.
Atleti. PSG. Arsenal.
All in the semifinals. All wearing the same sponsor.
That’s a masterclass in global brand placement. 🇷🇼
Ukiacha nguvu, fursa, heshima na wingi wa marafiki unaokuwa nao ukiwa na cheo, waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla, amesema mambo huwa kinyume chake mamlaka yanapokutoka, akisimulia hata uliowaona wa karibu wamepotea.
Katika simulizi yake aliyoihusianisha na maisha yake ya sasa akiwa si waziri wala mbunge, amesema hata huduma ambazo awali alizipata kwa rahisi na haraka, kwa sasa zinahusisha milolongo na nyingine wahusika hawapokei simu wala kujibu baruapepe.
#mwananchiupdates#tunawezeshataifa
Arteta says the players decided that Rice should be captain for these past two games. "They made a decision because I think Declan has earned the role, the way he is taking ownership in difficult moments."
There are men who don’t care to be seen. No spotlight, no noise. Just staying busy, collecting their paycheck, moving in silence, and being almost impossible to find.