James

7.4K posts

James banner
James

James

@j_kijeba

Katılım Nisan 2019
546 Takip Edilen207 Takipçiler
James retweetledi
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹
tanzania imefikia hatua ambapo “kila mtu anamuona mtu ambaye aliiba pesa [za umma], anaendelea na maisha yake, na anaonekana amefanikiwa, na inaonekana [hayo] ndiyo maisha,” kwa mujibu wa cag mstaafu, prof mussa assad (mei 19, 2023). 🎥: @kiratyofficial
Filipino
4
94
319
8K
James retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
TUME YA CHANDE INAONEWA Na Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza 1. Lipo kundi limeipinga tume ya Jaji Chande tangu kuundwa kwake. Sababu yao kuu ni muundo wake na jinsi ilivyopatikana. Hawa wana haki hata ya kukataa matokeo ya tume pale itakapotolewa hadharani. 2. Lipo kundi la pili linalokosoa uamuzi wa kuunda tume hii badala ya kuunda tume ya Kijaji au labda tume ya uchunguzi kutoka nje. Kundi hili lina haki zote mbili, yaani kuikataa au kuikubali ripoti ya tume ya Chande pale itakapotolewa hadharani. 3. Limeibuka kundi la tatu linaloipongeza tume ya Chande hata kabla ya ripoti kutolewa. Hili halizungumzii muundo, hadidu za rejea wala mazingira ya tume. Linaongea kana kwamba limeishaona maudhui ya ripoti na sasa linauandaa umma ukubaliane na ripoti hiyo ambayo haijawekwa hadharani. Kwa maoni yangu, kundi la tatu kwa nia njema, linaichafua tume ya Chande. Siamini kama limetumwa na tume lakini pia siamini kama limejituma. Siamini pia kwamba kundi hili limeonyeshwa ripoti hiyo kabla haijatolewa hadharani! Nijuavyo, Tume ya Chande ina uwezo wa kutosha kujichafua na kujiharibia. TUSIISAIDIE. Wajaluo wakiishalewa huwa wanapenda kusema, “Ukimhifadhi mama mkwe kwenye chumba chenye giza, usiwe na tabia ya kumulika mulika humo chumbani kwa tochi”. Mnaomulika mulika ilikofichwa tume ya Chande, acheni. Mtapofuka. ----------------- End -----------------------
Hilda Newton tweet media
Filipino
14
105
435
15.2K
Thomas-Josephat
Thomas-Josephat@ThomasJosephat3·
Welcome to Tabora Tabora ni mojawapo ya mikoa ya Tanzania inayojulikana kwa kilimo cha tumbaku, hasa aina ya “Virginia”. Kilimo hiki ni sehemu muhimu ya uchumi wa wakulima wadogo na pia uchumi wa mkoa.
Thomas-Josephat tweet mediaThomas-Josephat tweet media
Indonesia
7
5
36
1.3K
James retweetledi
Eng Octavian Lasway
Eng Octavian Lasway@Octavianlasway·
Welcome to my new venture — BASEPRO ENGINEERING LIMITED. We provide: Civil & building construction | Industrial real estate solutions | Industrial development & planning Motto: Your Industrial Vision, Engineered into Reality. Connect with us: info@baseprotz.com baseprotz.com
Eng Octavian Lasway tweet media
English
13
38
87
4.3K
James
James@j_kijeba·
@Kiganyi_ Nchi hii makamu mwenyekiti wa ccm ndo anakabidhi wapinzani😆
Indonesia
0
0
0
90
James retweetledi
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Tundu Lissu ambaye yupo ndani ya kuta za gereza Ukonga asingeweza kwa njia yoyote ile kumtafuta Dr. Chakwera Kwa hiyo hapa hoja ya nani alimtafuta mwenzake it’s obvious ni Chakwera ndiye aliyemtafuta Lissu ama kwa maelekezo, au utashi binafsi. Kauli ya Lissu “Nipo tayari kwa mazungumzo nikiwa huru” Kwa wasioelewa hii ni lugha yangu kisheria kuhusu makubaliano. Makubaliano yanayotambulika kuwa halali kisheria ni yale yanayofanyika under FREE and genuine consent. Neno FREE hapo linasimama likimaanisha FREE from COHESION or UNDUE INFLUENCE Lissu anaamaanisha kuwa, kwa yeyote anayetaka kuzungumza na yeye kuhusu lolote, asifanye hivyo wakati Lissu kwa kutumia ukosefu wa Uhuru wa Lissu kama UNDUE INFLUENCE kuchagiza maamuzi yake. Kwa hiyo kwa ambao hamjaelewa, Lissu bado amekaza kutuuza kwa mazungumzo yenye ushawishi wa kumpa Uhuru. Lissu anataka UHURU KWANZA ndipo umpelekee hoja mezani aamue kukubali au kutokubali akiwa HURU. Lissu hajataka akatokee Ikulu. Anataka atokee kwenye malango ya Ukonga. Sio kwa huruma, bali on merit either kwa serikali kufuta kesi yake yenyewe ambayo mpaka sasa wameipakisha basi kwa Pilato bila sababu, au hukumu ya NOT GUILTY. Nimeona mnajimu mmoja wa mizimu anatafsiri tofauti ikabidi niweke sawa. Yours, The Hoofman
Filipino
73
271
1.2K
34.7K
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
“Ukioa wewe fahamu tu kuwa kesi ya kuchelewa kurudi home saa 5 usiku na saa 10 alfajiri zinafanana, utaamua wewe uwai kukimbiza gari upate ajali au usubiri pakuche kidogo”😂😂
Indonesia
35
56
694
22.5K
James retweetledi
𝐌𝐚𝐬𝐬 𝐤𝐢𝐝
Bro to bro;🗣️ kabla hujaoa, hakikisha unanunua nguo zako nyingi na viatu vya kutosha Wachache wataelewa
Filipino
32
71
536
17.8K
James
James@j_kijeba·
@EsirEid Mimi ntasema taasisi na mifumo dhaifu...cha pili kinachoshangaza ni chama kimoja kimeshika madaraka tangu uhuru lakini wao wenyewe maraisi wao hawasomani kwenye muendelezo alioacha mwenzake. Hata chama kimoja tu kimeshindwa kutoboa..we have a problem more than that..
Indonesia
0
0
0
22
James retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Kwa mawazo yangu Binafsi nadhani Demokrasia ya kupiga kura kila baada ya miaka 5 Afrika ina tatizo kubwa kuliko tunavyokiri. Inaua vision ya muda mrefu. Kiongozi anajua ana muda mfupi, hivyo anawaza: – Kujilimbikizia mali – Kuingia mikataba mibovu – Kukopa mikopo mikubwa Kwa sababu anajua akiondoka, mzigo unabaki kwa taifa. Matokeo? Madeni, miradi hewa, na sera zisizo na mwendelezo. Sasa tuwe wakweli… China haikujengwa kwa siasa za kila baada ya miaka 5. Chini ya Deng Xiaoping waliweka msingi wa uchumi kwa miongo bila presha ya uchaguzi. Kila siku tunasema Singapore miaka ya nyuma tulikua tunalingana kiuchumi ila sasa wametuacha vibaya mno… ni kwa kua chini ya Lee Kuan Yew,ilitoka kuwa nchi maskini hadi world-class economy. Rwanda chini ya Paul Kagame dira na sera vina consistency. Sasa angalia Afrika kwa uhalisia: Nchi nyingi zinazobadilisha viongozi kila baada ya muda mfupi: → Sera zinabadilika kila awamu → Miradi inasimama njiani → Kila kiongozi anaanza upya ili aonekane amefanya kitu Matokeo? Hakuna continuity. Hakuna vision ya taifa. Lakini pia ukweli mwingine: Kuna nchi Afrika zilizo na uthabiti wa uongozi kwa muda mrefu,zimeweza kusukuma agenda zao bila kuyumba sana (japo zina changamoto zake). Hii inaonesha kitu kimoja: Tatizo sio muda wa uongozi pekee… Tatizo ni mfumo mzima. Hata Ulaya na Marekani tunazozisifu: Ndio, wanapiga kura. Lakini wana: – Taasisi imara – “Permanent state” – Sera za taifa zisizochezewa kila awamu Ndiyo maana hata Rais akibadilika, nchi haishtuki. Afrika? Kila awamu ni “reset button”. Ukweli mchungu ni kwamba, Sio kila demokrasia inaleta maendeleo. Na sio kila kiongozi wa muda mrefu ni mbaya. Kinachohitajika ni: – Viongozi wazalendo – Taasisi imara – Dira ya taifa ya miaka 20–50 Kwa sababu… Ukipata kiongozi mzuri taifa linapaa. Ukipata mbovu miaka 5 tu inatosha kulirudisha nyuma kwa miaka 20.
Indonesia
71
35
220
9.9K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Ameandika CHRIS LUKOSI Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji wake na nilimpokea kwa heshima sana yeye na kamati ya Bunge aliyokua akiongoza Alipoteuliwa kua Waziri Wizara ya Afya mimi wakati huo nilikua namuuguza Mama Mkwe wangu aliekua akiumwa Ugonjwa wa Kansa. Kwa uchovu wangu nilikua nashindwa kupata kitanda pale Ocean road hivyo nikampigia simu kumuomba msaada nipate kitamda ili Mama Mkwe wangu ahamishiwe pale kutoka Muhimbili. Huwezi amini huo ndio ulikua mwisho wa mawasiliano yetu na akanipiga bloku. Iliniuma ila nikapotezea nikakomaa kigumu kuugua mgonjwa wangu Jamaa alipotumbuliwa mara ghafla akaanza kunitafuta. Mimi sijawahi mbloku ila hua sijibu simu wala meseji sababu naogopa nitampa ukweli wake Najua inamuuma sasa kwa sababu hajui na sasa anajua, ila hii ndio tabia ya Wanasiasa wengi wakiishateuliwa hua wanapotezea marafiki na kuwaona kama nuksi. Anyway. CHEO NI DHAMANA. What goes around comes around …
Polycarp The Bibliophile tweet media
Indonesia
93
85
637
86.5K
James retweetledi
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Leo tumekuwa blessed na mahojiano mazuri sana: 1. Mh. Kigwangalla na Mwananchi 2. Mh. Heche na Wasafi FM 3. Mh. Prof. Kitila na The Chanzo Lakini msikose kabisa mahojiano ya The Chanzo na Prof. Kitila ni constructive na yanaelimisha sana 💪🏿. Maswali yaliyoulizwa ni ya kiwango cha juu kweli 🙌🏿. Kama kiongozi kijana, haya ndiyo niliyoyachukua: •Kutoka kwa Mh. Kigwangalla: Jifunze kutofautisha marafiki zako binafsi na marafiki wa nafasi/cheo chako: •Kutoka kwa Prof Kitila na Mh. Heche: Umuhimu wa composure lakini zaidi, kiongozi lazima uwe na uelewa mpana wa mambo, hata yale yasiyo taaluma yako, na uweze kuyaelezea kwa lugha rahisi ili wananchi wakuelewe Kwa ujumla, haya ndiyo mafunzo niliyoyapata kutoka kwenye mahojiano yote. Shoutout kwa brother @ThatBoyKhalifax bonge la interview! 🔥 Pia, humu ndani kuna jamaa anaitwa Dr. Baruani Mshale kutoka twaweza🙌🏿🙌🏿 imenibidi nitafute machapisho yake, anajua sana! Mwisho, Prof. ameonesha kwa nini anaitwa “Prof.” unamsikiliza kama uko lecture room. 😁kama Kiongozi kijana nimejifunza sana. Ngoja nilale sasa
Filipino
23
12
109
14.7K
James retweetledi
mhd
mhd@mhdhamad·
Behind every clean aerial shot is compliance, discipline, and paperwork. Certification secured. Now we create. 🎥
mhd tweet mediamhd tweet media
English
15
20
170
9.1K
Heroes
Heroes@ejheroes·
@Thommunkondya Kupata mshangazi ni kujiuza?? Siyo unaingia kwa vigezo vyote?? Au hujui vigezo vya kupata mshangazi
Indonesia
1
0
0
100
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Goba kuna chimbo linaitwa Musu park kuna kande la nyama ya foil na parachichi balaa😄🙌🏿, kwenye mishe mishe zangu za viwanja nimejikuta nimetokea hapa.
Thom Mnkondya tweet mediaThom Mnkondya tweet media
Filipino
21
22
183
11K
James
James@j_kijeba·
@KennedyMmari Zile programs za uhalifu na uraia mwema... psychology programmes zirudishwe...na ndo zipewe kipaumbele..na kuna makosa tulipitisha ni ya kifungo cha nje ila hawapewi watu mpaka wahangaikie sana
0
0
0
82
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Magereza siyo suluhisho la crime. Kwenye baadhi ya nchi zilizoendelea magereza yamekosa wafungwa sana hadi yamegeuzwa kuwa majengo yenye matumizi mengine. Tunaweza kuwekeza kwenye maeneo mengine zaidi; 1. Elimu ya ufundi zaidi. Hizi bilioni nane kila wilaya zingejenga vituo atamizi vya kilimo na mifugo, viwanda vidogo (micro-factories) na kadhalika. Kisha tukafanya community, hasa youth incubation program itakayoongeza watu wenye ujuzi wa kujitegemea katika uzalishaji. 2. Tunaweza kuchukua bilioni 8 kwenye kila wilaya na kuwekeza kwenye ventures ambazo zina high potential. Hii itasaidia kushusha fedha kwenye ngazi za chini, kutengeneza ajira zaidi na kadhalika. Hizi fedha za kujenga magereza zaidi, zielekezwe kwenye shughuli za kiuchumi zaidi kwenye ngazi za chini. Bilioni 8 kwa magereza 50 ingeweza kuwa kabisa bilioni 8 kwa viwanda vidogo 50 vya kuongeza thamani kwenye wilaya zetu. Mwisho, the idea kwamba inabidi tufunge watu wengi zaidi kwa sababu kuna crime is bad. We need another idea ambayo tunapaswa kujibu, tufanyeje ili tusifunge watu wengi zaidi ambao wanakwenda kuhudumiwa na rasilimali zetu wenyewe huko magerezani na pili, tunaondoa nguvu kazi mtaani na kuifungia pahala. Huu unapaswa kuwa mkakati wa taifa wa muda mfupi na muda mrefu. Gereza siyo suluhisho pekee la uhalifu.
Swahili Times@swahilitimes

Serikali imesema takribani wilaya 50 hazina magereza, na kwamba ujenzi wa kila moja utagharimu takribani bilioni 8.

Indonesia
10
7
27
3.3K
James
James@j_kijeba·
@fbuyobe Hii mgurusi polisi wetu washatibua ushahidi...pesa itakua imetembea sana hapo..FBI waje na vipande vipya kwenye loop holes
Indonesia
0
0
1
151
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Kisa hiki kimenivutia kufungua dawati langu la uchunguzi jinai ambalo nililipa kisogo kwa muda mrefu kidogo. In fact, niliuona mkasa huu, kama mikasa mingine ya kijinai isiyo na uzito wowote. Maelezo ya kujikanganya, yakanitoa pangoni Uzi👇 THE BROCKCHAIN
Fortunatus Buyobe tweet media
Indonesia
23
65
614
74.2K
James
James@j_kijeba·
@kikomasta Venezuela mbona marekani alitandika ya mrusi na ya mchina na hakuna kitu walifanya
Indonesia
0
0
0
128
Jack upepo
Jack upepo@kikomasta·
Hivi ikitokea Meli za mafuta za China na Urusi zinasindikizwa na meli zao za kivita unadhani Marekani anauwezo wa kuzizuia? Tuliza kichwa kujibu usikurupuke kama umeshikwa bega. #BilaGanzi
Jack upepo tweet mediaJack upepo tweet media
Indonesia
25
8
175
10.3K
James
James@j_kijeba·
@Thommunkondya Wanaleta laana tu...wanaapa kwa Quran na biblia alafu unaenda kufanya vinginevyo bora watoe tu
Indonesia
0
0
0
35
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Leo siku nzima nimejikuta nikitafakari na kuchunguza sababu halisi inayowasukuma viongozi kula kiapo huku wakishika Biblia au Qur’an. Je, lengo kuu la utaratibu huu ni nini? Unaleta faida gani katika uongozi na uwajibikaji? Je, unasaidia kuzuia nini katika utendaji wa viongozi? Na katika zama hizi za sasa, bado kuna umuhimu wa kuendelea na utaratibu huu?
Indonesia
22
6
29
4.8K