Heroes

13.1K posts

Heroes banner
Heroes

Heroes

@ejheroes

We need to change everything that makes us to be negative,

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Aralık 2019
1.7K Takip Edilen623 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Heroes
Heroes@ejheroes·
Nimekwenda kuweka mafuta Petrol station nilitaka aweke sh 90,000 yeye kaset 900,000 kwenye mashine bila kujua alafu kaondoka kuhudumia mwingine, mimi nikaendelea na mambo yangu, kushtuka mafuta yanamwagika chuma ishajaa na inasoma 205,000. Nimemuonea huruma huyo dada.
Filipino
41
20
635
67K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Goba kuna chimbo linaitwa Musu park kuna kande la nyama ya foil na parachichi balaa😄🙌🏿, kwenye mishe mishe zangu za viwanja nimejikuta nimetokea hapa.
Thom Mnkondya tweet mediaThom Mnkondya tweet media
Filipino
21
22
183
11K
Heroes
Heroes@ejheroes·
@Thommunkondya Kupata mshangazi ni kujiuza?? Siyo unaingia kwa vigezo vyote?? Au hujui vigezo vya kupata mshangazi
Indonesia
1
0
0
100
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
@ejheroes 😂😂😂 acha basi unafayaje fanyaje mzee kwamba uanenda kujiuza
Indonesia
1
0
0
287
Heroes
Heroes@ejheroes·
@Paulmeda1 Najiuliza kufika 2050 hii dunia sijui itakuwaje🙌
Indonesia
2
0
5
4.4K
Paul Meda
Paul Meda@Paulmeda1·
muwe mnaangalia watu wa kuwafanya role model wenu ,kumbe jamaa ni bwabwa daah
Indonesia
38
37
546
47.9K
Heroes
Heroes@ejheroes·
Unatoka na mwenzio mnaenda kuenjoy maisha, mnagombana alafu anajiua..!! Familia yake imekukaba koo, mitandaoni ndio usiseme mbaya zaidi uko Nchi za watu..!! Mwanetu anapitia magumu
Indonesia
0
0
1
9
𝑴𝒂𝒌𝒂𝒗𝒆𝒍𝒊 
Serikali inapiga kazi kimya kimya, kama unajishughulisha na human trafficking, madawa ya kulevya bora uache mapema maana watakufikia tu.
Indonesia
24
39
575
29.8K
fredy@mitumba🇹🇿🇰🇪🇺🇬
@AlfaCharles9 @Mudimabiriani Ndio kipindi cha kupimwa IMANI na mwenyenzi MUNGU. Huwa naamini maisha ya Ghafla nyingi sana haijalishi una utajiri kiasi gani kesho ni fumbo kubwa yenye siri kubwa anayeijua MUNGU. Huwa nasema kila mtu atapita jangwani kabla ya kuwa mtu mkuwa, wachache ndo hutoka hapo.LET PUSH👊
Filipino
2
0
11
921
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Life ndugu yangu Biashara nikafunga sema sikurudi nyuma nikapambana nimeanza maisha mapya Dubai Kuna kupanda na kushuka 🥹 nilipitia kipindi kigumu mpaka nakosa hela ya kula sema sikuacha kuwa karibu na mungu akafanikisha siunajua mungu sio mchoyo ❤️🤲🫶🏾
Nodumehlezi 🇿🇦@Zuluprince11

@Mudimabiriani Bro, uliweza vipi kuiacha brand yako kubwa na ilikua hit,? What happened?

Indonesia
4
13
117
4.4K
TricyLove🦁
TricyLove🦁@amprincess9·
Ni kama umaskini mara nyingi huja na package ya chuki Yani watu wenye hela ngumu kuwakuta na chuki, kwanza anatoa wapi huo muda! Mungu atufungulie milango tufanikiwe kwenye utafutaji wetu. Tuondokane na chuki bila sababu. Sema umaskini ni mbaya basi tu.
Indonesia
79
126
555
20.4K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Mmekubalianaje?
7
2
15
847
Heroes
Heroes@ejheroes·
@BarakaMaviatu Kuna vitu unaona haviwezekani lakini wenzetu wanafanya viwezekane, ndio maana naheshimu sana kitu kinaitwa Elimu🙌
Indonesia
1
0
1
70
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Hivi ndio vitu vinafanya niwaonee wivu waliosoma sayansi, uwezo wa kuunda kitu ambacho akili yako inafikiria na kikatokea. EEngineering👌
Indonesia
8
15
62
3K
Heroes
Heroes@ejheroes·
@BarakaMaviatu Lakini hiyo ni kwa wale ambao hawajawahi kuwa na hela
Filipino
1
0
0
84
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒@BarakaMaviatu·
Hela inaharibu watu, siku utayopishana na ndugu zako ni siku mmeanza kupata hela. Hamuwezi gombana mkiwa kwenye msoto. Watu hua wanaishi wote kipindi maisha yakiwa magumu kwa upendo sanaa, subiri siku hela ikianza kuonekana. Utashangaa kuona tabia ambazo hujawahi kuziona.
Assenga Jr@assengajrr

Wabongo we waambie tu waunde vikundi vya kufa na kuzikana kwa ajili ya rambi rambi. Ila vikundi vya maendeleo aah.. akati mkiamua tu mchange laki kila mwezi mkiwa 20 kwa mwaka mnakusanya milion 24. Milion 24 mkianzisha project ndani ya miaka 3 mnaweza tengeneza mamilioni.

Indonesia
6
9
49
3K
Heroes
Heroes@ejheroes·
Kila kitu duniani it's all about mind set, Niamini mimi
Indonesia
0
0
0
4
Heroes
Heroes@ejheroes·
@BarakaMaviatu Mo Dewji alikuwa mwanasiasa kwa nini anawekwa??
Indonesia
1
0
1
857
Heroes retweetledi
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@Sharb84 @ayubu_madenge Mwaka jana, Trump alisema walipeleka Ndege vita kwenda kushambulia vinu vya Nuclear vya Iran, akamaliza kazi. Leo anaulizwa, kwahiyo kwasasa mnashambulia nini, hana majibu.
Indonesia
1
1
1
192
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Jamaa kapata ajali wasamaria wema wakamkimbiza hospitali. Baada ya muda kazinduka: Jamaa: Simu yangu iko wapi? Muuguzi: Ipo tumekutunzia Jamaa: Mke wangu asiishike kabisa Muuguzi: Kicheko Wenge la jamaa lilifanya hata asimuone mkewe pembeni ya kitanda 😂😂😂🙌🏾🙌🏾
Indonesia
42
66
841
34K
𝑴𝒂𝒌𝒂𝒗𝒆𝒍𝒊 
Last week ilikua ni ya aibu tu, nimeambiwa niende Arusha nikaongeze nguvu ya uchangiaji damu kufika hata 10mls haijafika nikazima, nikaombwa nitoe msaada kwenda kupeleka posa mahali wakati wa iftari pilipili ikanipalia acha nikohoe ugenini😂
Indonesia
27
20
370
27K
N.Y
N.Y@masanja___·
@Tanganyikan Una upgrade nyingi kuliko iPhone 😃
Filipino
2
0
1
202