jmoon
69 posts


@TBoundBuses Katika eneo ambalo serikali imefeli vibaya sana ni kuwadhibiti wafanyabiashara wa mabasi. Haiwezekeni kwa akili za kistarabu tumejenga stand kubwa ya Magufuli leo tunaikimbia na kuja kujibana pembezoni mwa barabara urafiki, manzese, agentina, kagera, magomeni etc
Indonesia

@Sawyergalox They can leave it as dammy to maintain current design view, looks good
English

@kudrajr89 @YerickoNyerereT Wrong thinking. Akili na busara hazitegemei kimo cha mtu
Filipino

Mwambieni Hilda na wanachadomo wengine kwamba;
Ikitokea Lissu kaachiwa leo wakati kesi haijafika mwisho, basi watambue hayo ni makubaliano aliyoingia na dola baada ya kutepeta,
Na hili ni automatic anakuwa amewasaliti wanachadomo wote na sisi watu wema nchi hii tutahubiri nchi nzima tukieleza usaliti wake!
Indonesia

@theonecid Looks like samsung never found a sticky design that uniquely identifies its phone brands like iphone. Why change every few releases? I personally like the 'P' shaped rear camera design, it somehow distinguishes samsung from other brands
English

@Sawyergalox Do any design way but maintain current design, P shaped camera compartment, for ultra versions
English

@PMadeleka Ujaji ni cheo au ni level fulani ya elimu mtu anakuwa amefikia kwa kusoma? Kama ni elimu itakuwa haina msaada kwa jamii, kama ni cheo basi kitakuwa cha kulipa fadhila kutoka kwa wateule
Indonesia

@MsigwaGerson Uh, nguchiro! Tutafikia maridhiano kweli kwa style hii!? Uvumilivu ni muhimu sana ukiwa kiongozi. Tumia maneno ya busara na hekima ili washindwe kuendelea na matusi. Kwa njia hii ni kama umeyakaribisha watakutukana sana. Kumbuka watu wana hasira za kupotelewa na wapendwa wao.
Indonesia

Kuna nguchiro wamechapisha namba yangu binafsi ya simu mitandaoni na kuanza kuhamasisha watu wanishambulie. Nataka kuwaambia huo ni upuuzi na ni uvunjaji wa Sheria.
Ukiondoa watu wachache sana wanatuma meseji za hovyo, asilimia 99 wananitumia meseji za kunitia moyo na kueleza utayari wao wa kuilinda nchi yao dhidi wenye nia ovu. Wale wanaoeleza changamoto za ajira na mitaji ninawapa majibu na nafikisha kwa wahusika zifanyiwe kazi.
Nguchiro na chawa wa nguchiro acheni kupoteza muda na rasilimali mkiporomosha matusi, tulieni na tuungane kujenga na kulinda nchi yetu.
Indonesia

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile amesema ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuundwa kwa Tume ya maridhiano na Tume ya Upelelezi wa makosa ya Jinai yaliyotokea Wakati na baada ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 kutaponya na kuwaleta tena Watanzania pamoja kama ilivyo tamanio la Watanzania wengi.
Balile ametoa kauli hiyo punde baada ya Rais Samia kupokea ripoti ya Tume huru aliyoiunda kuchunguza matukio ya Uvunjifu wa amani wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 leo Alhamisi Aprili 23, 2025 ambapo pia Rais Samia aliahidi kuunda Tume hizo ili kushughulikia mapendekezo yaliyotolewa leo na Tume ya Jaji Mohamed Othman Chande.
"Nchi ya Afrika Kusini iliunda tume ya maridhiano chini ya Askofu Desmond Tutu na kwakweli ilimaliza changamoto zao. Kubwa kuliko yote hapa tulipo tumeshafika, tuna wajibu wa kutoka na nimekuwa nikisema sisi kama Watanzania tukiharibu amani tutapigana na tukishapigana tutaitana kwenye meza ya mazungumzo kujadili namna ya kuleta amani, amani ambayo tulikuwa tumeishika mkononi, kwahiyo hatuna fursa nyingine zaidi ya hii kwamba imeshatokea, tufanye kazi kama Watanzania na waliohusika wawajibike binafsi." Ameongeza kusema Bw. Balile.
Indonesia

@HarryGodfirst Hawa ukiwafanyia forensic investigation, wote wanatiwa ndani na ripoti yao inachomwa moto.
Indonesia

@kirigitim Hiyo barabara maeneo yote karibu na daraja yamewekewa vibao vya tahadhari, kwamba daraji ni jembamba na limeondolewa kingo. Ni jukumu la dereva kuzingatia maonyo ya barabarani, lakini kwa sababu ya mazoea au kutokuzingatia hayo maonyo madereva wamekuwa wakita kwa kasi
Indonesia

@YerickoNyerereT Kama kwa bahati hukukumbwa na yaliyotokea 29/10 bora ukae kimya kuliko kujifanya mjuaji wakati watu wamepoteza wapendwa wao. Ni busara kunyamaza kuliko hiki unachojifanya unakitetea au kukisemea, ni kama vile unashangilia kilichofanywa na dola dhidi ya wananchi wake
Indonesia

Liko swali moja linauzwali sana na watu hasa wanaharakati uchwara kwamba,
Nani aliyetoa amri ya kuua wafanyamapinduzi/wahaini (ambao wanaitwa waandamanaji wa amani) tarehe 29 oktoba 2025. Swali hili halijajibiwa na mamlaka yoyote nchini, Labda tume itatuambia vizuri.
Lakini liko swali la msingi pia linaachwa na pande zote.
Nalo ni; Hivi ni nani aliyetoa amri 29 Oktoba 2025 Kuuawa kwa polisi, kuchomwa kwa Petro Stations, kuharibu Miundo mbinu ya Mwendo Kasi, Kuchoma Mabus ya Mwendo Kasi, Kuchoma Mabus ya wafanyabiashara nk, Amri ilitoka kwa nani?
Nafikikiri maswali haya mawili tusubiri Tume ya uchunguzi itatuambia kinagaubaga.
Indonesia

@TheGalox_ S ultra
S pro
S standard
These 3 are enough on the S product line. Whether they are edged or not but should stick to only these variants
English

Galaxy S Plus is not lasting another generation. Might not even last this one.
Production breakdown:
S26 Ultra: 1.5 Million
S26 Plus: 200K
S26: 1.3 Million
S26 Plus is getting dangerously close to S25 Edge level production. At this point I'd just launch the S26 Edge and get rid of the S26 Plus

English

@munyamambogo Kwa watu wanaofanya kazi kwa weledi hakuna sababu ya kutishiana. Hii ni biashara siyo huduma, ukiona hailipi una park. Gari siyo mafuta tu, kuna spea nazo zitapanda, mtawafutia leseni wenye maduka!?
Filipino

@Kidimilo_23 @SAMALI13666931 Hapo sasa ujipange kwa 'finishing'. Nimeandika kiingereza maana ndiyo lugha utakuwa unaitumia kuanzia hapo hadi kukamilisha mjengo!
Filipino

@ayubu_madenge Yaani malengo ya vita yalikuwa kwenda kufungua mlango ambao ulikuwa wazi kabla ya vita!?
Indonesia


























