MJUKUU WA TRUMP

12K posts

MJUKUU WA TRUMP banner
MJUKUU WA TRUMP

MJUKUU WA TRUMP

@jhonsmallya

Concerned citizen of URT || Environmental Engineer || @YoungAfricansSC & @ManCity fan || I can, I must, I will

Everywhere Katılım Kasım 2020
384 Takip Edilen2.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
MJUKUU WA TRUMP
MJUKUU WA TRUMP@jhonsmallya·
Eeeh Mungu usinipe utajiri mkubwa nikakufuru, Wala usinipe umaskini nikakutenda dhambi, Nipe kulingana na kipimo changu. Nami Nitashukuru. 🌿.................🌿
Indonesia
8
24
101
0
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Nitajie kanisa lenye jina la Kiswahili Tanzania..?
kasesco☆ tweet media
Indonesia
129
34
485
40.5K
CryptoCash
CryptoCash@pi_tanzania·
@kasesco_tz Kanisa Halisi la Mungu Baba. Wanavaa nguo nyeupe juu mpaka chini.
Indonesia
3
0
11
2.5K
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
KWA WAKATOLIKI au yeyete mwenye kusoma mambo ya kale. Je! mnafahamu kwanini picha za Mtakatifu Yosefu zinachorwa akiwa ameshikilia uwa jeupe?
joseph_selasini tweet media
Indonesia
4
3
55
2.9K
Hilary Mbowe
Hilary Mbowe@hilarymbowe_·
@jhonsmallya @joeselasini @Godwinmbogo1 @grok Sema unakichwa kigumu na akili nzito janja? Umeambiwa lilikuwa sio jambo la kawaida fimbo kuota maua iliyo kavu kama vile mkongojo wa wanaume ,kwa kifupi ni muujiza ulifanyika kwa mama Maria kujua mtu sahihi zaidi.
Indonesia
2
1
1
117
MJUKUU WA TRUMP
MJUKUU WA TRUMP@jhonsmallya·
@joeselasini @Godwinmbogo1 @grok Naelewa huwaga kuna maelekezo mbalimbali ya wazee haswa zamani hizo, ila nimeshindwa kuelewa hiyo fimbo ya Joseph aliiotesha au aliifikisha kwa kina Maria ikiwa kavu then ikaanza kumea kutoa maua?
Indonesia
1
0
0
24
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
@jhonsmallya @Godwinmbogo1 @grok We! mjukuu Bwana. Vijana wanapokwenda kuchumbia si wanapewa maelezo na wazee? Sasa waliokwenda kumchumbia Mama Maria waliokuwa wengi. Mungu akaamua kutumia njia hiyo kuonyesha ni yupi aliyestahili.
Indonesia
1
1
1
118
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
@Godwinmbogo1 @grok Enzi za uchumba ktk mila za Wayahudi wavulana walikwenda na fimbo. Maria alikuwa mteule aliyeandaliwa na Mungu na alihitaji mtu mwenye sifa za kumlinda; uaminifu, utii na unyenyekevu. Hivyo vijana walipoweka fimbo zao Ile ya Yosefu ikamea mauwa kama ishara ya kuteuliwa na Mungu.
Indonesia
10
1
6
345
MJUKUU WA TRUMP
MJUKUU WA TRUMP@jhonsmallya·
@mgwadila1 @ayubu_madenge Unafikiri Bandari yetu ina huo uwezo wa ku handle hizo chombo? Na ukiritimba uliopo tz?? Watu wanapeleka vitu kwenye sehemu zilizonyooka
Indonesia
0
0
4
175
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Idadi ya Magari zaidi ya 4000 yakiwepo ya kifahari, yaliyokuwa yakipelekwa Dubai, yameshushwa bandari ya Lamu nchini Kenya sababu ya vita inayoendelea mashariki ya kati.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
28
27
501
33.2K
millardayo
millardayo@millardayo·
Msanii Gigy Money ambaye kwa sasa amebadili Dini na kuitwa Rawya amefunga ndoa na mpenzi wake Tarick. Gigy (Rawya) amefunga ndoa na Tarick iliyoambatana na Sherehe fupi iliyofanyika Viwanja vya Golf Lugalo, Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo Wasanii kama Shilole, Hamisa Mobetto, Queen Darling, Jaymelody, Wachekeshaji na watu wengine maarufu. Katika Sherehe hiyo, Gigy ameahidi Kuwa ‘atamtunza Mumewe, kwani hayuko tayari kwa ndoa ya pili wala hayuko tayari ndoa yake hii kuvunjika’ #millardayoENT
millardayo tweet media
Indonesia
81
19
629
56.9K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Leo Rais William Ruto amevaa Uniform za shule aliyosoma Sekondari wakati wa maadhimisho ya miaka 100 ya shule hiyo inayoitwa Kapsabet Boys High School. Shule hiyo ina sifa ya kuzalisha viongozi wengi wa Kenya kama ilivyokuwa Tabora Boys hapa Tanzania miaka ya zamani.
Ayubu Madenge tweet media
Filipino
15
30
792
31.4K
Habari Digital
Habari Digital@HabariDigital_·
Kaimu Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Reza Arafi amesema: "muda wa mazungumzo umekwisha. Marekani wamechagua kwa makusudi kuvuka mstari mwekundu - ule usioweza kurekebishika. Kwa kuanzisha vita hivi, wamesaini hukumu yao ya kifo wenyewe: hawajui lini wala vipi upanga utawashukia, lakini ni sisi ndio tunaoshikilia uzi wake. Wanatutisha kwa kivuli cha nyuklia, wakiwa wamepofushwa na kiburi chao. Hawana hata fununu ya upeo halisi wa nguvu zetu wala kile tulicho nacho tayari. Kuhusu Israeli, hatima yake tayari imeamuliwa. Kila shambulio, kila uhalifu, kila mateso waliyosababisha vitawarejea kama dhoruba. Watabaki ndani ya shabaha yetu, wakiwa wazi, dhaifu, wakifuatiliwa. Tunatembea katika kivuli cha Kiongozi, na kila hatua ni radi. Iran haitopinda. Iran itashinda Daima." Ayatollah Ali Reza Arafi
Habari Digital tweet media
Indonesia
23
25
340
22.3K
Kenyans.co.ke
Kenyans.co.ke@Kenyans·
Iran will not target Kenya - Iranian Ambassador to Kenya Ali Gholampour
Kenyans.co.ke tweet media
Indonesia
232
527
6.8K
299K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Rais William Ruto amesema Kenya inalaani vikali mashambulizi dhidi ya UAE, Qatar, Saudi Arabia, Iraq, Oman, Kuwait, Jordan na Bahrain katika mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati. Hapa unapata picha gani kuhusu kauli hii ya Ruto?
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
114
24
557
27.8K
Kaiser
Kaiser@Kaiser_degoat·
@anuskills3 Hai sehem gan hapa Boma au machame ? 😄
Indonesia
1
0
0
157