kampuchea
3.1K posts


@kampuchea39 @TheChanzo Sio Mama, ukiona familia yako haiwezi kukupa kitu fulani usidisa wanaopewa au unataka tuzo ya shida kwamba umeteseka sana au sio mwanetu.
Indonesia

Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe.
Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai ambaye ni mama mzazi wa Damour Nyakairo, ameeleza kuwa kijana wake amechukuliwa asubuhi ya leo na watu waliokataa kujitambulisha, na kumpeleka kusikofahamika.
“Wameondoka naye hatujui kapelekwa wapi. Wametoka huko watu saba wakaja,mimi nashangaa watu wanakimbia mvua au wanakimbia nini? Moja kwa moja wanamfuata Damur na mimi nimekuwa hapa. Wakamshika, wawili wanamshika na mmoja akatoa pingu mfukoni akamfunga. Nikauliza kuna nini [wakasema] tutajua huko huko, nyie nani? Wakasema tutajuana huko huko,” anaeleza Lilian Swai mama wa Damour.
“Kwa hiyo wakambeba watu watatu wakamshika, wakambeba wakamburuza mpaka kwenye gari. Mimi nikawa nataka kuingia na yeye huko, wananivuta wakanitoa nje.”
Indonesia

@fredkavishe Kuna manzi anafanya kazi kwenye SU moja iv,,mwaka jana alichaguliwa kwenda kwenye maonesho ya sababa kutangaza service zao na posho ilikuwa mlima,,manzi aliugua ghafla adi akashindwa kwenda na chaajabu ile nafasi alivyopewa mtu mwengine yeye akapona😂
Filipino

@Mwinshehe07 Unaulizwa umesomea Nini, unaujuzi Gani unajibu huna ujuzi wowote so unataka ushikwe Tako au
हिन्दी

@Adventure_36 Hii gari ibebe nguzo, hii gari ibebe pipa mbili za mafuta ipandishe mlimani hii gari ibebe dram mmoja ya fiber anyway Wacha wapambane
Filipino

@kampuchea39 😂 brow unatafuta kijiwe bush unakuw unakusany mzigo kidogo kidogo usipasulishe kitakulamba
Indonesia

@mTusiOriginal Siku zote fanya kitu acha watu wakupe marks achana na yule boya wa eatv anayejisifia Kila siku mshamba mmoja yule
Indonesia

@TayanahTibs Endelea kuamsha mashetani Leo lazima umeze Panadol kabla ya kulala
Indonesia

@baraka_asege Unalipia 2.5 million alafu zaidi ya masaa4 Kuna chawa eti ana hype kmmke ilibidi ni chukue vinywaji nijiondokee sasaivi najipooza hom

Eesti

@Maestrowafact Nimeingia kusoma comment hapo nimekutana na matusi mapya mapya tu😂😂😂
Filipino

Hana ustaarabu wowote tena yeye ndo mshauri mkubwa wa Denge na huenda hata ile tweet yeye ndo alidraft
Svetlana (Tayanah) Tibenda@TayanahTibs
Kama kuna hasira na Denge basi malizane nae tafadhali. Familia naomba msiijumuoshe. Coco has been here, supported a lot. Embu tujitahidi sana na tuwe na akili ya kutambua kama kuna kosa ama ala, why attack coco? Deal na huyo denge! Ni mke mwema, mstaarabu. Dont cross the line!
Filipino

@TayanahTibs Kutaka kujionyesha kama wewe ni rafiki wa familia na kubeba mzigo wao ili waku appreciate ni kujivua nguo wewe na familia yako kwa vitu ambavyo sio vya msingi rafiki wa familia wenyewe wamekaa pembeni na wanakuona wewe ni snitch 💩
Indonesia

@fintanjr_ Huyu ni mtu wa masjala maana muda wote anakimbiza file kwa boss
Indonesia




















