Kinyunyi Itabalary
15 posts


@kigogo2014 Mwamba anzisha lichama la wanaharakati tujiunge tuchukue nchi
Indonesia

😁😁😁😁 tuliwaonya sana hamkusikia!. Tukiwaambia sana hamkutaka kusikia!.. haya yote ni matokeo ya kuwa na katiba ya hovyo!.
Sasa tulieni dawa iingie sana yaaani..! Sisi tutaendelea kudai katiba na kuna siku mtakuja kutuelewa tulikuwa tuna maanisha nini
#KatibaMpyaMovement

Indonesia

@kigogo2014 @freemanmbowetz Pumbafu na katiba zenuuuu,, tumejua liloko nyuma ya pazia kuhusu Kariba mpya,,, mnataka kunuingiza ant Christ in Tanzania kwa njia iyooo,, hamtoweza Wala hamtafanikiwa,, ilimradi Mungu aliye muweka mwanamke juu ya taifa hili, nasema mipango ya Mungu juu ya Tanzania itatimia tu.
Indonesia

"Hatimaye madai ya Katiba Mpya yamenisababishia kesi ya Ugaidi. Nipo tayari kwa mashitaka ya kuchongwa. Siogopi.
Ninaamini dunia itajua ukweli kwa kile kinachoendelea na tunachopitia Watanzania.
Natoa wito kwa Watanzania kuendeleza mapambano. Haki hutafutwa." @freemanmbowetz

Filipino

@kigogo2014 Ccm mbele kwa mbele, hii kwanza haitatugusa sisi wananchi wanyonge maana hata hivyo hatuna pesa za kutuma😁
Indonesia

“Tumezoea kuwanukuu Wanafalsafa mbalimbali Duniani, lakini leo nataka nimnukuu Mtanzania mmoja anayeitwa Pierre Liquid niseme Mama Samia ni Konki Fire na Mama Samia yupo juu yupo Mawinguni, na ndio maana amefanikiwa kumteua Mpango kuwa Makamu wa Rais”-GWAJIMA
#MillardAyoBUNGENI


Indonesia

@IAMartin_ Kwa hiyo kila anayetaka kujua amfuate Kiongozi ili amuulize??,Sasa hayo nayo si yatakuwa maandamano yanayotishia usalama wa huyo Kiongozi 🤔🤔..Kwanini hao viongozi wasitolee ufafanuzi kupitia vyombo vya habari ????..
हिन्दी
Kinyunyi Itabalary retweetledi

@swahilitimes Sasa hata wasipotaka kushirikiana nasi kuna effect gani? Hawa waseme tu wanataka wapangiwe kazi, mtaani kugumu hawana lolote hawa😅😅
Filipino

Watanzania kweli ni Wanyonge hili hujakosea. Sisi tuendelee kuzaana tu na kulima mbaazi na mpunga. Hayo mambo ya demokrasia hatujafika huko bado
Donald kiza@donald_kiza
@millardayo Jembe... Jembe.. Hongera Raisi wa wanyonge
Indonesia

@Gbigeyo1 @darmpya_ @zittokabwe Daaah wewe #MATAGA hebu soma hlichokiandika *hasiyefaa ndio nini utumbe ndio nini
Indonesia

@SerengetiPost @MarekaMalili @MiriamMkanaka @KennedyMmari Wawe wanabadilishwa kila baada ya miaka miwili maana hata wakiwekwa leo walio flat mwaka mmoja tu watakuwa na matumbo.
Indonesia

#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchini, Geogre Simbachawene, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro, kuwaondoa askari wote wa Usalama Barabarani wenye vitambi na kuwapangia kazi nyingine kwani wamekosa sifa.

Indonesia

@swahilitimes Ulaya vyuo vinapewa pesa za reseach na serikali pamoja na kwamba ada yao ni kubwa sana. Africa vyuo vinatakiwa vipeleke gawio. Then tuna ndoto ya kuwa na mapinduzi ya viwanda hii inawezekana kwetu tu.
Polski











