MUSA

3.2K posts

MUSA banner
MUSA

MUSA

@kidiish

📊 Economics |📈 Stocks |💰Wealth building|Life🧘‍♂️

Katılım Ağustos 2020
828 Takip Edilen1.2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
MUSA
MUSA@kidiish·
Thread: Jana niliongelea biashara ya vifaa vya ujenzi… watu wengi hawakuamini jinsi inavyolipa mpaka nikaweka numbers. Sasa leo, nitakuonyesha kitu ambacho watu wengi wanaficha:👇🧵🔥🔥
MUSA tweet mediaMUSA tweet media
Indonesia
15
23
128
14K
FC Bayern
FC Bayern@FCBayernEN·
Screenshot and share your prediction for #RMAFCB 📲
English
1.7K
181
2.5K
156.2K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeishauri Serikali kuangalia mpango wa kutoa ruzuku ili kupunguza gharama za mafuta nchini.
Indonesia
39
6
77
7.1K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Account 500 zilizo active saivi Zishushe hendo tuzifolo chap hapa
HT
55
25
60
1.7K
MUSA
MUSA@kidiish·
@FKababaa @KibwanaEdgar Kibu aliishi Tanzania zaidi ya miaka mitano ambacho ni miongoni mwa vigezo vya kupewa uraia
Indonesia
0
0
0
20
edgar kibwana
edgar kibwana@KibwanaEdgar·
"Naona watu wanaihusisha sana Singida kwenye hili la Damaro lakini niwaulize kitu, ukiuziwa mali ya wizi utaachwa kukamatwa kama mwizi? - Crescentius Magori (Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba)
edgar kibwana tweet media
Indonesia
10
1
86
2.1K
🍂
🍂@Lovandfear·
Gun pointed at your head, name a wood.
English
82
5
56
10.7K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
TUONGEZE FOLLOWERS WETU MUDA HUU. ✍️ Reply handle yako hapa ✍️ Like handle zilizowekwa na watu ✍️ Mtu aki like handle yako mfollow ✍️ Mtu akikufollow follow back usimuunfollow usiku wa manane📌 Kwa pamoja tutafika 10K. ✍️Repost ili tupate followers wengi wapya🔥🔥 Anza na huyu anafolo baki saiv wakuu @firstborn260
Indonesia
66
24
67
1.2K
MUSA
MUSA@kidiish·
Mwisho kabisa: Kuna vitu vinaonekana vina pesa haraka… lakini vina gharama ambayo huioni leo. Usikimbilie hela… kimbilia maisha yenye thamani. USIUZE UTU WAKO⚠️‼️
Indonesia
0
0
3
148
MUSA
MUSA@kidiish·
TAHADHARI (HII NDIO MUHIMU): Hii si njia salama wala ya kuigwa. Ina madhara ya kiafya, kisaikolojia na hata kisheria. Kama unatafuta pesa tafuta njia ambayo: •Ina heshima ya muda mrefu •Ina usalama wa maisha yako •Ina future ya kukujenga, sio kukumaliza polepole
Indonesia
1
0
2
155
MUSA
MUSA@kidiish·
BIASHARA YA “KUDANGA/MADADA POA”: UKWELI AMBAO WATU HAWAPENDI KUUSEMA🚨😅🧵 Hii sio kuisapoti. Ni kuifungua macho mtaa unaijua ila watu wanaizunguka tu. Reality ya chini kwa chini:👇
MUSA tweet mediaMUSA tweet media
Indonesia
1
2
11
1.4K
MUSA
MUSA@kidiish·
Ukiona imekugusa kidogo… jua hii si post, ni hali halisi ya watu wengi mtaani.
Indonesia
0
0
0
3
MUSA
MUSA@kidiish·
Wale uliokuwa nao chini wakianza kukupima juu, ujue ulikuwa peke yako tangu mwanzo. Na ukipanda halafu ukaanza kusahau ulipotoka… Mtaa unakunyima heshima faster kuliko ulivyopata hela. Hii game sio pesa tu, ni kujua nani wa kubeba na nani wa kuacha.”
Indonesia
1
0
0
4
MUSA
MUSA@kidiish·
“Mtaa unakufundisha vitu viwili haraka sana…🚨 1.Ukikosa hela – unajua nani wa kweli 2.Ukipata hela – unajua nani alikuwa anajifanya wa kweli Mtaa haudanganyi.
Indonesia
1
0
0
14
Gorby William
Gorby William@GorbyW66033·
@kidiish Kadri nnavyokuwa nazidi kuamini sio lazima wote tuwe na mitazamo sawa kuhusu maisha.
Filipino
1
1
6
882
MUSA
MUSA@kidiish·
🚨🚨 “KAMA UNAPATA MSHAHARA KILA MWISHO WA MWEZI… KUNA MTU ANAKULIPA ILI USIWAZE SANA.”🚨🚨 Sio utani. Unakaa comfortable, bills zinalipwa kidogo kidogo… Lakini ukweli ni huu 👇
Filipino
2
6
70
13.8K