mng'anzagala
2.1K posts

mng'anzagala
@kitindisemitz
mjasiliamali fulan hiv yan,tupendane sote ni ndugu 👊👊👊 fan:young Africa &Chelsea
Iringa, Tanzania Katılım Mayıs 2014
257 Takip Edilen58 Takipçiler

Akihojiwa katika Kipindi cha Clouds360 cha Clouds TV, Mhandisi Aron Joseph, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma amesema kama Mtu amechimba kisima cha maji kwenye eneo la huduma ambalo tayari miundombinu yao ya maji ipo anasisitizwa atumie yeye na familia yake, asitoe huduma kwa wengine.
Anasema, "Sababu ni kwamba kama Wananchi wanaokuzunguka unataka uwapatie maji labda siku ambazo kuna mgao, huwa haturuhusu hilo kwa sababu walio wengi wenye visima huwa hawapimi ubora wa Maji na maji ya chini ya ardhi yanabadilika sifa zake kila siku."
Ameongeza, "Leo mazuri kesho yanabadilika au choo cha jirani kimetiririsha kwenye kisima, ukianza kusambaza kwa Watu unaweza kushangaa unaua Watu Mtaa mzima".
Aidha amesema mtu binafsi anaruhusiwa kwenda kutoa huduma ya maji kwenye eneo lao la huduma kwa makubaliano maalum, ambapo atapewa utaratibu wa kufuata.
Mjadala zaidi jamii.app/WenyeKisimaMsi…
#JamiiForums #JFHuduma #JFAccountability #PublicHealth
Filipino

@ShineTz_ Daa pole sana wanawake hasa mabinti mnateseka kiukweli.huwa nawaza mabinti zangu itakuwaje mdawao ukifika
Indonesia

@meamswahili Trump na putin ni marafiki wa mda mrefu alafu nikama wamejimegea dunia
Indonesia

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄
KUNA MCHEZO UNAENDELEA NYUMA YA VITA YA IRAN 🇮🇷 NA MAREKANI, KUNA MTIHANI WA MRUSI DHIDI YA CHINA 🇨🇳
JE MAREKANI ATAFANIKIWA…!?
Cc. @jr_farhanjr
#MeaMswahiliUPDATES
Indonesia

@sukununu01 Sio zamani juzi tu wakati vita haijaanza wachambuzi wanajua wenyewe tafiti walitoa wapi
Indonesia

@AlexSamoja Tatizo kubwa na tunapenda kusifia vya watu hili bara nikama limepata uhuru mwaka uliopita kwa mambo yake
Indonesia

Kwanini mabara mengine kama Asia, Europe na North America watu wanapenda sana nchi zao na wanasimama kuzilinda,
Huyu Mwaafrika roho ya upendo kwa bara lao na nchi zao nani aliwapora, ukiulizwa ni nchi gani Africa inaweza kusimama imara na kukataa kupangiwa cha kufanya utakosa jibu, saa hivi vijana wa Africa wako bize kuchambua Technologia ya mabomuya Iran na US, ukimuuliza Technology ya kwenye nchi yake ikoje anabaki kmya 😭👎,

Indonesia

@francismtey Hadi sasa Iran ni mbabe mpya.inashndana namataifa mengi na bado yupo vitani
Filipino

@mshambuliaji Hapa ndio tunaujua uhalisia wa kelele zote zile, mwamba ni Iran wengine wamebakiza midomo tu
Indonesia

Marekani imetangaza zawadi ya hadi dola milioni 10 (TZS bilioni 26) kwa yeyote atayayetoa taarifa kuhusu viongozi kadhaa wa Taifa la Iran, akiwemo kiongozi mpya wa juu wa nchi hiyo, Mojtaba Khamenei.
Sambamba na hilo, Marekani pia inatafuta taarifa kuhusu mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, Waziri wa Ujasusi, Esmail Khatib, Waziri wa Mambo ya Ndani, Eskandar Momeni, pamoja na maafisa wawili wanaohudumu katika ofisi ya Khamenei.
#KitengeUpdates

Indonesia

@___Aiman90 @mshambuliaji Hahahahaha hatari.bonge la aibu kukimbia wanashindwa wamebaki kukanyagana
Filipino

@mshambuliaji Taifa kubwa kipindi hiki wamekutana na panyarodi nchi ndogo ndio imekua tishio kwao
Filipino

@killo_killo11 Sana ndiyo maana biashara hazidumu bado bukura hahah
Filipino

Baada ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuongeza Mtoto mwingine katika Familia yake kwa kumuasili Mtoto Mchanga aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu Hassan, Wakili Juma Mwambo, amesema Kisheria Mtoto huyo anatambuliwa kama sehemu ya Familia na ana Haki ya kurithi mali.
Mwambo, ambaye ni Mbobezi wa Sheria za Uwekezaji wa Kimataifa kutoka Wintrust Attorneys and Consultants, amesema kuwa mara baada ya mchakato wa kuasili kukamilika kwa mujibu wa Sheria, Mtoto aliyeasiliwa hupata haki sawa na Mtoto wa damu katika masuala ya Familia, ikiwemo Haki ya urithi.
Amefafanua kuwa mchakato wa Kisheria wa kuasili Mtoto unahusisha hatua mbalimbali, zikiwemo uchunguzi wa ustawi wa Mtoto, tathmini ya mazingira ya Mlezi anayetarajiwa kumlea pamoja na idhini ya Mahakama ili kuhakikisha maslahi ya Mtoto yanapewa kipaumbele.
Hatua hizo, amesema, zinalenga kuhakikisha Mtoto anayelelewa anapata Ulinzi wa Kisheria na malezi salama, huku haki za Wazazi wa asili zikizingatiwa endapo watatokea baadaye.
#MilardAyoUPDATES

Indonesia

















