MOI
2K posts

MOI
@kono_well
MUSICIAN FROM EAST AFRICA
TARIME MARA KENYAMANYORI Katılım Ocak 2024
40 Takip Edilen42 Takipçiler

#TajiriLaKihaya
Ukiachana na yote kitu ambacho huwa nakikubali…
Ni the fact kwamba …
Manzi ikiwa na UMEME tu… hata Nitumie Mbinu gani za kivita,HAWEZI NIKUBALI Abadan!💔
Anaweza akawa Jamvi la wageni… Kila mtu anajipigia…Ila nkimuApproach tu anakaza kishenzi!
Baada ya kugundua hili… mm huwa natongoza Mara moja tu- Manzi ikikataa tu sirudii au Kubembeleza 😅
Najua hii lazima iwe na Ngoma Au Mikosi 😅😂
Indonesia

@Abraha1Brighton Sitaki kuamin km hawajulikan kabisa, staki kuamini km Kuna mtanzania hata mmoja hakufaulu kupata picha ya nyuso zao
Indonesia

@dancho_2004 Decision making ovyo kinoma halafu pia anajipa mzigo mkubwa kwa kufanya mambo mengi
Filipino

@RevocatusMagum1 Hata akiwa uwanjan huwa anyamazi simba tunahitaj mchezaj wa kuongea sana uwanjan kama ilivyokuwa ngoma
Filipino

@FranklinFi53381 @Amonjoha @kouessy24 @RevocatusMagum1 Kila mtu ana njia yake ya kutafuta ushawish unahis kati msemaj wa timu na wakala nan anasir za wachezaj? Wachambuz asilimia 100 n mawakala so wachezaj wanawambia kila kitu chamsing kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Indonesia

@kono_well @Amonjoha @kouessy24 @RevocatusMagum1 Sas kma wanajua ukwel na wana nia Safi na mpira wa bongo si wapeleke kwa mamlaka husika kuliko kubwabwaja kwenye media
Filipino

🚨Haya ni maneno ya mchambuzi Wilson Oruma
“Nina ushahidi mwingi kwenye mechi za Yanga lakini naamua kunyamanza kimya na kwa namna hii tunayoenda nayo Mamlaka zisipokua makini mpira wetu unaenda kuangamizwa moja kwa moja”
🗣️ Wilson Oruma
Hivi mtu anapata wapi ujasiri wa kuongea kitu kama hicho?
Je? inawezekana ni kweli Yanga wananunua mechi hawezi kuongea tu bure✍️

Indonesia

@Amonjoha @kouessy24 @RevocatusMagum1 Unahis wachambuz hawajui ukweli angalikuwa wao n mawakala wa wachezaji wengi ndan ya hzo timu
Indonesia

@kouessy24 @RevocatusMagum1 Huyo mbeya city ndo tim ilyo ruhusu goli nying ligi kuu walipigwa tano mpka na singida
Filipino

@RevocatusMagum1 Ila bado makocha wa simba hawajamuamin huyu mchiz kwangu mm naona ndyo anafaa kuwa namba 10 chama atupishe
Indonesia

Imezoeleka miaka yote kuwa Mchezaji Kupewa Jezi Namba 10 Basi ujue huyo ndiye Uso wa Timu Uwanjani, Ndiye Taswira Halisi ya Performance ya Timu, Namba 10 ndiye mwenye udambwidambwi mwingi, Ndiye Mwenye Pasi za Maelekezo, Ndiye Mwenye Jicho la Wapi mpira Upite, ndiye burudani ya Mashabiki Jukwaani,
Kwa Mantiki hiyo, Jezi Namba 10 haivaliwi na mchezaji ambaye ni Butu uwanjani, Mchezaji akivaa jezi namba 10 tunatarajia 1st Touch yake imkune kila mmoja anayemtazama.
Timu zote hufanya hivyo✍️

HT

@GeraldLMasatu1 @tagatojtagato Walikuwa na agenda yao siku chache zilizopita
Polski

@tagatojtagato Wacha -MBUZI mlikuwa kazini kumshusha Gueye sasa kawaumbua.
Indonesia

@GeorgeN40513 @HildaNewton21 Ngumu sana bongo uwoga mwingi alafu watu wengi wameingizwa kwenye nafas kubwa na mtu mmoja yaan asilimia 95 ya serikar hii n conection ya mtu mmoja
Indonesia

@HildaNewton21 Natamani kuona kama ya William Ruto Na Rigathi Gachagua Kenya kwa Sasa Yakitokea Tanganyika 🥺
Indonesia

Leo Habari leo ambayo ni Media ya Serikali walipost video ya tatu za Emanuel Nchimbi ikiwemo ile ambayo imetembea sana ambayo alikuwa akimsifia Mwl. Nyerere kwamba Nyerere hakuwahi kuutumia Urais wake kujinufaisha wala maslai yake binafsi.
Nimeangalia sasa hivi kwenye social media platforms zao zote, nimekuta wamefuta hiyo video ya Nchimbi akimsifia Nyerere😂 yani kama chombo cha habari cha Serikali kinafuta taarifa ya Makam haram wa Rais hii ni wazi kwamba huko ndani kwao kuna mgogoro mkubwa sana.
Mind you kila siku Nduli Idd Amin Mama na machawa wale wanahangaika kusema kwamba CHADEMA kuna mgogoro mara sijui kimepanda kimeshuka kumbe kwake moto unawaka.😂😂😂
Halafu kwa level ya huu mgogoro wao ulipofika kuna siku tutakuja kusikia Nchimbi kapewa sumu maana Nduli Idd Amin Mama yeye kutoa roho ya mtu kwake ni kitu cha kawaida kabisa maana ni muuaji mzoefu.

Indonesia

@zizujo01 @FineBizz @Cluuzy_tz Kuwa machinga gonga mageti yao fanya nao urafiki wa wik kma nne unachapa kwa 50k kwao hapo hapo na unapikiwa chakula kitamu
Filipino

@FineBizz @Cluuzy_tz Kivipi kaka, kuwa nae friend unafanyajee fanyaje
Indonesia

@Mshubiy @shaffihdauda1 Shida siyo kufunga kila siku ulisha sikia haland akikaumiwa? Sababu akipata nafas anakuweka mwalimu mechi mbili ambazo simba katoka sare ya zero zero mwalimu alitakiwa kufanya kitu zaid ya anachofanya
Indonesia

@kono_well @shaffihdauda1 Haland hajafunga mechi ngapi za ligi..? Football ina form pia, nyie mnataka kila siku mtu afunge.
Indonesia

Masaa 30+ tu yamepita tangu Gomez aonekane sio mchezaji wa daraja la kucheza Simba SC
Baadhi ya kauli ninazozikumbuka baada ya kumalizika kwa ile mechi
❌Mchezaji hawezi kutoka Wydad akaja Simba
❌Gomez anasaidiwa tu
❌Simba watafute mshambuliaji Sele hamna kitu
NB: Siku mbaya kazini zipo, maoni yawe na mantiki na sio hisia ili kulinda vipaji ambavyo ni kwa ajili ya Taifa

Indonesia

@adrianijr Kapatia game 2 correct score japo zingine kakosea lkn yumo humohumo.😁🙌🏿
Huyo itakua hapigagi nyeto yuko na hisia kali.
Filipino




















