Sabitlenmiş Tweet
LAST BORN🇹🇿
29.5K posts

LAST BORN🇹🇿
@Last_born97
@YoungAfricansSc | @manutd | POLITICAL ANIMAL | DON'T TRUST MY SMILE | A WOUNDED BUFFALO | AM NOT LUCKY, AM BLESSED | I LOVE MYSELF | SELECTIVE SOCIAL #WANAZIHQ
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2016
6K Takip Edilen31.5K Takipçiler

@kibaha_finest Mtu ana IQ kubwa alafu akae gereza la keko acha kutupanga mzee😬
Filipino

@YoungAfricansSC Kwenye usajili msimu huu nna wasiwasi injinia alipewa ushauri na Mangungu🚮
Indonesia
LAST BORN🇹🇿 retweetledi

Ukiwa peke yako, Chunga mawazo yako.
Ukiwa na marafiki, Chunga ulimi wako.
Ukiwa na hasira, Chunga maneno yako.
Ukiwa kwenye kundi la watu, Chunga tabia yako.
Ukiwa kwenye changamoto, Chunga hisia zako.
Mungu akianza kukubariki, Chunga nafsi yako dhidi ya kiburi.
Nyakati zote, Linda sana moyo wako
Indonesia

Mchezo tangu mwanzo umeshaitwa ni wa kubashiri. Yaani unabashiri matokeo ya mchezo kabla haujachezwa.
Matokeo yake huwa hayajifichi i.e mtu unajua nani kapatia kwenye ubashiri baada ya mchezo (kushindwa, kushinda, draw n.k)
Sioni sababu ya kumchukia mtu anayetoa codes za utabiri kwa wengine.
Endapo mtu huyu anasababisha wengine washinde, lazima watu watamuamini zaidi. Endapo atakuwa anasababisha wanaliwa madau yao kwa kupuyanga kwenye ubashiri watamkimbia.
It is very natural na haiitaji rocket science.
So nahitimisha kwa kumuomba @Sativa255 aniwekee DM code ya mkeka walau nipate pesa ya sisal juice
Filipino

@Last_born97 😂🤣🤣 Tunatofautiana. Baba zetu walivyokuwa bize kuhonga, kunawenzetu baba zao walikuwa bize kuwawekea ngazi za mazingira yao yajayo.
Tunamalizw, wewe huna hata pakulala, mwenzako anapewa pesa ya kuanzia maisha au anaanzia kuishi kwa baba yake na shughuli yakufanya ipo.
Filipino


















