Jimmy Tejero
1.2K posts



TAARIFA KWA UMMA. #WenyeNchi #NguvuMoja





Nyie wenye dola kuanzia uhuru mpaka leo CAG anatoa report za ubadhirifu wa billions of money. Bora ata wao wamekula kichwa uyo muhuni, nyie hao wanaokula izo hela wanabadilishiwa majukumu tu au maeneo ya kazi. Hauna moral authority yakuwasema hao, upo kwenye chama cha cartels.

Wameanza kushtaki waandishi wa habari wanaosema hawatacheza derby 😄 Wanasema inawachanganya watu kusema hivyo





@Advocate_Jebra Binti anataka Ubunge kupitia Viti maalumu wakati huu.


Tunamuunga mkono Mh. Rais Dkt. @SuluhuSamia katika kuinua michezo kwa vijana. Goli la mama ni chachu ya maendeleo ya michezo. Vijana waachane na maandamano na vitendo vya uvunjifu wa amani na wawe tayari kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

CRDB GAWIO 🔥🔥 Mfano unahisa 5,000 unachukua 5,000x65 = 325,000 325,000 ndio hela utapokea kutoka kwenye umiliki wa hisa ya CRDB. Muda mahesabu huo. 2 juni mpuga unaiingia kwenye benk.













