maestroo24

1.8K posts

maestroo24 banner
maestroo24

maestroo24

@maestrooo24

united fan.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Aralık 2021
302 Takip Edilen320 Takipçiler
maestroo24
maestroo24@maestrooo24·
@George_Ambangil lets say united gets tonali & this boy fans aren't ready for free mainoo tweets😁.
English
0
0
1
374
maestroo24 retweetledi
Sevilla FC
Sevilla FC@SevillaFC_ENG·
#OnThisDay in 2⃣0⃣1⃣9⃣ we visited Tanzania to face Simba SC in a friendly 🇹🇿 An unforgettable experience sharing football and friendship with our Tanzanian friends ❤️🤍
Sevilla FC tweet media
English
271
1.2K
9.8K
164.1K
maestroo24
maestroo24@maestrooo24·
@George_Ambangil what i like the most from him ni his ability to knock long passes accurately something kobbie lacks in his game
English
0
0
1
426
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Kuna hii kauli huwa inatolewa sana humu " EPL huwezi kupewa space kama hiyo hata kidogo " Nafikiria hii clip ingekuwa ya ligi nyingine na sio EPL narrative yake sijui ingekuwaje na hiyo space anapata M. Fernandes 😀😀 Good players mara nyingi wanajua kutafuta spaces na kupata time uwanjani bila kujali ligi gani
SIR AHMED@midopido21

Mateus Fernandes vs Sunderland (H)

Indonesia
28
13
351
19.7K
maestroo24
maestroo24@maestrooo24·
@George_Ambangil @ThomasThom74127 lakini wao psg & barca wanasaidia na team ilivojengwa kuanzia wanavo press na wana defend as a unit sie ni kama kuna kuwaga na space kubwa balaa
Filipino
1
0
1
51
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
@ThomasThom74127 PSG nani ni namba 6 ? Au Barca ? 😀ukipata all actions midfielder ni bora sana kuliko specialist ( sio mbaya pia ukipata specialits namba 6 ila wapo wachache sana ambao wazuri )
Filipino
3
0
10
676
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Iraola kafanya kazi yake , sasa kocha mwingine yoyote mzuri akifanikiwa kumpata Alex Scott , na akaendeleza pale alipoishia Iraola .... Mama Mia 🙌🏻🙌🏻.! All phase midfielder
George Ambangile tweet media
Indonesia
35
41
1.1K
19.7K
maestroo24
maestroo24@maestrooo24·
@Geoffrey87Lea if mbekezeli stayed untill the end of this season he would have won it
English
0
0
0
13
maestroo24 retweetledi
MrBanks💰
MrBanks💰@Mrbankstips·
ZXX
134
420
2.1K
55.8K
maestroo24 retweetledi
Fodbold World
Fodbold World@fodboldword·
GOLAZO PUSKAS KARATE en Tanzania 🇹🇿😱
Euskara
138
3.2K
17.7K
404.3K
maestroo24 retweetledi
Total Football
Total Football@TotalFootball·
Puskas Contender from the Tanzanian Premier League
English
50
472
2.3K
43.7K
maestroo24
maestroo24@maestrooo24·
@TriciaAbou chukua bangi changanya na maji kidogo dondoshea
Indonesia
1
0
1
709
Trica Online Store
Trica Online Store@TriciaAbou·
Nina changaoto ya Sikio linauma mpaka kwenye taya za meno nazo zinauma, natumia dawa ile ya Maji naweka asubuhi na usiku ila bado haijasaidia 🥹 Kuna dawa nyingine ambayo inaweza saidia msaada 🙏🏻
Filipino
87
25
231
15.4K
maestroo24
maestroo24@maestrooo24·
@Geoffrey87Lea he was having a shocker of a first half apart from that tackle leading to sesko goal he was poor
English
1
0
0
426
Geoffrey Lea
Geoffrey Lea@Geoffrey87Lea·
is Amad injured or did something happen in the dressing room?
English
5
2
106
3.7K
maestroo24 retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Sababu ya ukatili wa Samia Suluhu, Tundu Lissu hajahudhuria hospitali mwaka mzima kwaajili ya check-up anazofanya kila baada ya miezi mitatu. Tunajua lengo ni kumdhoofisha kiafya na/au kukusudia kumuuwa. Endeleeni. Haitakuwa business as usual I promise!
Tito Magoti tweet media
Indonesia
8
158
638
7.9K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Ipo siku tutakuja KUTOMBWA kama taifa, ni suala la muda tuu. Mimi tayari nimenunua CHUPI YA CHUMA maandalizi yaendelee wanangu.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
203
164
1.7K
47.5K
BARÇAGUY
BARÇAGUY@blackculer·
Kwenye generation ya kina Xavi Espart, Pau Cubarsi, Lamine Yamal,Marc Bernal na Marc Casado amebakia Landry Farre tu kutoboa kutoka timu za vijana
BARÇAGUY tweet media
Indonesia
3
10
134
2.8K
kijana mpole
kijana mpole@BesteNicolas·
Biashar ya banda umiza ina hela san imagine game moja buku Watu 200 wakilipa bukubuk una laki 2 na hio ni mechi moja tu.jumamosi kunakuwaga na mechi 3 hadi 4 hapo unapiga kama laki 8 hivi jumapili pia mechi kiba Kwa mwezi hukosi milion 4 hadi 5 dstv unalipia elfu 60 Azam 30k tu✍️
Indonesia
57
27
451
34.6K
𝐟𝐞𝐝𝐞𝐯𝐚𝐥𝐯
I really loved how the whole team went over to encourage Thiago Pitarch after that mistake he made. Thins will give him much confidence going forward. He had a very great game against man city. x.com/baller_1908/st…
English
24
260
3.9K
132.3K
Done Somen
Done Somen@DoneSome18·
Mimi niwaombe tu, pamoja na hali ngumu tulionayo tutafute hata 5,000 tu tuiweke hapa. Hapa walau risky imepungua 5K3TCZ
Filipino
31
55
579
48.1K
PàChâ#1738 💫
PàChâ#1738 💫@Tweener003·
Hivi kwanini watu waliofunga ukiongea nao midomo yao inanuka 🤣🤣💔
Indonesia
36
23
203
20K
Mtetezi wa Mabonge
Mtetezi wa Mabonge@fellu__·
Naomba mungu niwe Tasa I'm too selfish to be a father
English
56
6
69
78.2K
maestroo24 retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 211 Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia Cross examination Shahidi wa kificho P9 Mhe. Lissu: Waambie majaji kama tutafanya vurugu na kuuvuruga uchaguzi huo kama yapo kwenye maelezo yako…nasubiri jibu shahidi! Shahidi wa kificho P9: Hayapo Mhe. Lissu: Uliendelea kusema, alisema lazima tukichafue, kweli si kweli? Shahidi wa kificho P9 : kweli. Mhe. Lissu: hayo maneno yapo au hapo. Shahidi wa kificho P9 : sasa mbona unarudia maswali. hayapo. Mhe. Lissu: Twende kwa yaliyotokea 22 April 2025, ulisema siku hiyo ulipigiwa simu na polisi kwenda Kituo cha Polisi Mwanjelwa. Shahidi wa kificho P9 : Kweli Mhe. Lissu: Sasa soma pale palipoanzia na leo Tarehe 22 April 2025 mpaka nitakapokwambia basi… Shahidi wa kificho P9 Anasoma… Mhe. Lissu: Kwenye hiyo sehemu kuna sehemu kumeandikwa kituo cha polisi Mwanjelwa.? Shahidi wa kificho P9 : Kweli haijaandikwa Mhe. Lissu: Na ukasema ulipofika walisema wanataka kukuhoji tena kwa matukio yaliyokuleta hapa. Shahidi wa kificho P9: Kweli. Mhe.Lissu : Waambie kama hayo maneno yapo kwa tukio lililokuleta hapa. Shahidi wa kificho P9 : Hayapo. Mhe. Lissu: Kwenye ushahidi wako jana, ulisema nilihojiwa na mtu mmoja na mwingine alichangia kwa kuniuliza maswali mbalimbali, waeleze majaji kama hayo maneno yapo katika maelezo yako? Shahidi wa kificho P9 : Hayapo. Mhe. Lissu: Niliona clip ya Tundu Lissu ndio nikaanza, waeleze hayo maneno kama yapo katika maelezo yako. Shahidi wa kificho P9 : hayapo. Mhe. Lissu: Sijamalizana na wewe, nataka ukitoka hapa ukawaeleze Mapolisi kwamba kule hakufai! Watu wanacheka: 😂😂😂😁 Mhe. Lissu: Ulisema mimi kama mwananchama wa CHADEMA nilishawishika na kwamba nitafanya uasi, hayo maneno yapo au hayapo? Shahidi wa kificho P9: Yapo. Mhe. Lissu: Sasa nataka uwaambie majaji kwamba wewe ni Mwanachama wa CHADEMA au sio? Shahidi wa kificho P9 : Mimi sio mwanachama wa CHADEMA. Mhe. Lissu: Kwenye maelezo yako na ushahidi wako wa jana, ulisema mwaka 2024 ulivutiwa na sera na kuamua kuwa mwanachama wa CHADEMA, kweli au sio kweli? Shahidi wa kificho P9 :Kweli. Mhe. Lissu: waambie majaji wafuasi wa CHADEMA huwa wanaandikishwa wapi. Shahidi wa kificho P9: sifahamu. Mhe. Lissu: Waeleze majaji kama wafuasi huwa wanatambulishwa wapi. Shahidi wa kificho P9: Sijui Mhe. Lissu: Waeleze kama huwa wanaalama usoni? Shahidi wa kificho P9: Hapana Mhe. Lissu: Na ulisema baada ya kuwa mfuasi ulishiriki katika matembezi ya amani, kweli au sio kweli? Shahidi wa kificho P9 : Kweli Mhe. Lissu: Waambie waheshimiwa kama ulijiandikisha sehemu yoyote? Shahidi wa kificho P9 : Hapana Mhe. Lissu: Sasa shahidi hukuwahi kujiandikisha popote, huna alama yoyote kuwa ni mfuasi wa CHADEMA, waeleze majaji wataamini vipi kwamba wewe ni mfuasi wa CHADEMA? Shahidi wa kificho P9 : Mimi sijui hilo ni suala la amani. Mhe. Lissu: Unasema tulihamasishwa kushiriki kongamano la vijana lililopangwa kufanyika Mbeya, waambie kama uliwahi kupewa mualiko wowote hata wa simu? Shahidi wa kificho P9 ; hapana sikupewa mualiko wowote. Mhe. Lissu: kama kiongozi wa chama aliwahi kukufata ili kukupa taarifa ya kongamano. Shahidi wa kificho P9 : hawakunifata. Mhe. Lissu: Kama hawakukufata inamaana hawakujui. Shahidi wa kificho P9 : Sio lazima wanijue wote. Mhe. Lissu: Kwa maelezo yako ya ushahidi ya jana, umesema ulisoma VETA Mbeya kati ya 2008-2010 ulipohitimu, kweli au sio kweli? Shahidi wa kificho P9 : Kweli. Mhe. Lissu: waeleze majaji kama umewasilisha cheti cha kuhitimu? Shahidi wa kificho P9 : sijawasilisha kwasababu hakina umuhimu. Mhe. Lissu: wataaminije? Kwasababu maneno matupu hayavunji mfupa. Mhe. Lissu: Umesajiliwa kama fundi umeme wa majumbani na viwandani. Shahidi wa kificho P9 : Ndio nimesjiliwa. Mhe. Lissu: Waeleze majaji kama umeleta hati ya kusajiliwa? Shahidi wa kificho P9: Hapana. Part 212 itaendelea kwenye post inayofuata, Naomba Repost yako.
Indonesia
22
399
1.1K
33.3K
maestroo24 retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 210 Anaendelea Mhe. Lissu na Cross Examination. Mhe. Lissu: Waheshimiwa Majaji naomba shahidi apewe kielelezo D13 Mhe Lissu: Jana kwenye ushahidi wako uliulizwa unaishi wapi na ukasema unaishi katika Halmashauri ya Mbeya, kweli si kweli? Shahidi wa kificho P9 : Kweli. Mhe. Lissu: Naomba uangalie maelezo yako, nenda palipo andikwa makazi usome pameandikwa makazi yako wapi? Shahidi wa kificho P9: Pameandiwa Mwakibete. Mhe. Lissu: Kwenye mstari wa kwanza kabisa sema palivoandikwa hapo? Kwamba unaishi? Shahidi wa kificho P9 : Pameandikwa Mwakibete lakin nilihojiwa Mbeya. Mhe. Lissu: Waeleze majaji kama unafahamu kwamba haya maeneo huwa yanatangazwa kwenye gazeti la serikali na waziri wa TAMISEMI Shahidi wa kificho P9 : sifahamu Mhe. Lissu: Umeonyesha gazeti la Serikali linaloonyesha Mwakibete ni Mbeya,? Shahidi wa kificho P9; Hapana. Mhe. Lissu: unafikri unaandika andika tu unaingizwa chaka na mapolisi na wewe unaandika tu. Mhe. Lissu: Uliulizwa unafanya shughuli gani na ulisema unafanya kazi ya fundi umeme na kazi zako unafanya katika Halmashauri ya Mbeya, kweli si kweli? Shahidi wa kificho P9 : Kweli Mhe. Lissu: Angalia maelezo yako unafanya kazi gani? Shahidi wa kificho P9 : Mkulima Mhe. Lissu: Kazi ni mkulima hapa unajifanya fundi umeme, lugha gongana. Watu wanacheka: 😂😂😂😂 Mhe. Lissu: nyie Waha wa kigoma wajanja sana nyie na mimi napenda watu wajanja kama wewe. Mhe. Lissu: Uliulizwa unakumbuka kitu gani kilikukuta 2024, ukasema nilivutiwa na sera za CHADEMA na nikawanafatilia matangazo, mikutano n.k haya sasa soma maelezo yako mjanja wa Jiji la Mbeya…😁 Mhe. Lissu: Waeleze waheshimiwa majaji hayo maelezo uliyosoma hapo kama yapo na ulivyosema jana Shahidi wa kificho P9 : Hayapo Mhe. Lissu : Uliandika kwa mapolisi wakakupuuza wakaandika ya kwao. Mhe. Lissu: Katika matukio mengi uliyofatilia ulitaja matembezi ya yaliyoongozwa na Lissu yalianzia Uyole, na Heche Isanga, mwambie jaji kama Mhe. Heche yupo katika maelezo kayo Shahidi wa kificho P9: Nilieleza ni Mnyika sio Heche. Mhe. Lissu: Jana ulisema Heche alianzia Isanga, unataka niwasumbue majaji wakusomee ulichokisema?? Shahidi wa kificho P9: inawezekana nilikosea Mhe. Lissu: Kazi yangu ni kukamata watu waongo kama wewe. Shahidi wa kificho P9 : Hiyo unasema ww Mhe. Lissu: ndio nasema. Mhe. Lissu: Ulisema mnamo tarehe 3 April 2025 ukiwa nyumbani kwako wakati unaperuzi mitandao kupitia simu yako aina ya Samsung 8 pro, kweli au si kweli? Shahidi wa kificho P9 : kweli Mhe. Lissu: Angalia maelezo yako waeleze majaji kama kuna mahala popote ulikua unaangalia mitandao kupitia aina ya Samsung 8 pro. Shahidi wa kificho P9: hayajaandikwa. Mhe. Lissu: Asante, mmeuzwa na mapolisi. Mhe. Lissu: Ulisema kwamba uliingia kwenye mtandao wa instagram na ili uweze kuimgia instagram lazima uwe na simu janja, account na bundle, hayo maneno yapo au hayapo. Shahidi wa kificho P9 : hayapo. Mhe. Lissu: Kwenye ushahidi wako jana ulisema wakati unaingia kwenye instagram uliona video ya Tundu lissu na ukasema huo mtandao umeusahau. Shahidi wa kificho P9 : Ndio nimeusahau. Mhe. Lissu: Kama umesahau inamaana, kwenye maelezo yako utakua umeandika. Shahidi wa kificho P9: Sasa wewe unaniuliza mambo waliyoniuliza mawakili. Mhe. Lissu: Jibu swali langu. Unanifundisha namna ya kukuhoji? Shahidi wa kificho P9 : Ndio hakuna Mhe. Lissu: Uliulizwa muonekano wa Tundu Lissu, ukasema alikua ukumbini alivaa kombati za kaki za chadema na tshirt nyeusi na bendera ya taifa na rangi za CHADEMA, kweli si kwei? Shahidi wa kificho P9 : Kweli Mhe. Lissu: Sasa waeleze waheshimiwa majaji kama yapo katika maelezo yako. Shahidi wa kificho P9 : Hakuna Mhe. Lissu: Kwenye ushahidi wako jana uliulizwa alisema atauzuiaje ukasema tutafanya vurugu na kuuvuruga uchaguzi huo. Shahidi wa kificho P9: Kweli Part 211 itaendelea kwenye post inayofuata, Naomba repost yako.
Filipino
22
403
1.1K
34.3K