Sabitlenmiş Tweet
Baba Eddie
4.7K posts

Baba Eddie
@mashamba_d
Media personality, Entrepreneur, Farmer @esokonitz, #Simba #ManU R.I.P MAMA💔
Tanzania Katılım Ağustos 2019
371 Takip Edilen316 Takipçiler

@Adv_innocent Ukibahatika kupata mtu sahihi moyo wako ukakubali na huyo akakubali oa kwa umri wowote ule kuanzia 20's ila kama haujapata tulia kula uzee kwa furaha baada ya kusomesha ni raha kuliko kula ujana ukiwa hujui feature yako. Sijawa mzee ila wazee wamenishauri.
Indonesia

Leo nlifanikiwa kukutana na mke wa pasta nikiwa kwenye kufanya interview kama sehemu ya research yangu, akaniona na pete hizi za kununua akajua ni ya ndoa! Akaniuliza umeoa kijana nikasema bado, akasema nikajua umeoa maaana nimeona pete, akaendelea kuniambia usije ukaoa mapema enjoy life ukiwa kijana 35 utaoa! Nikamuuliza kwanini,,, akanijibu aliyetangulia usimbishie ubovu wa njia...nikasema ahsante nikaondoka.
Indonesia

@EsirEid Uncles mbona hamna vibaka na panawaka sana unakuta saa 9 ndio watu wanaingia
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Ukienda Club ambayo wanasubiri Hadi saa nane-Tisa huko ndio waanze kupiga ngoma za maaana…Amapiano na latest Songs…
Jua tu hakuna kitu humo 😅 vibaka,machokoraa na Milaya yenye Gono Sugu wachafu ndio wamejaa huko…
Club za watu wanaojielewa kuanzia saa tatu tu … wanaanza kukiwasha!
Indonesia

@JayUmeme @iamthatfemale Naneiwe nu! Unapenda kujiamulia mambo kijana.
Indonesia

@iamthatfemale Sema mpenzi wangu we ni mzuri sana, hakika nina mwanamke chuma kweli, Nakupenda ❤️
Filipino

@chapo255 Ila believe mi kuna maneno ukiyasikia huwazi kama ni wanaume.....mfano mtto wa kitanga 😂😂😂
Filipino

@EngMapundajr @kasesco_tz Nyie wakaka sijui wababa mnaoendesha magari ya Subaru, crown, forester Hapana kweli nawaogopa Kama ukoma
Indonesia

@mashamba_d @Sativa255 @SusuErnest Mimi ilikua 140-150 ila saivi mzee nimeweka ya 180 ila bado aisee 😂😂
Filipino

Nimemuuliza mwanangu VINA anamiliki Crown na anauzoefu wa safari za mbeya-Dar na CROWN yake.
Ameniambia kwenda MBEYA alikuwa anatumia 350K maximum hiyoya mafuta tuu, saizi kwa hizi bei mpya atahitaji 500K+ afike MBEYA.
My TAKE.
Oya hili gape la 150K wazee ni mziki. Hao wafanyabiashara za MABASI ya mikoani wanawezaje hii biashara mamae?
Bado kuna wapumbavu wachache wamebebesha vitambi matumbo kama mimba za PANYA huko maofisini wanapangia watu wasipandishe bei za nauli.
Li nchi limeozeana kila kona kama TAKAPELA.
Filipino

@Isdory66 @Sativa255 @SusuErnest Inaongelewa Crown Athlete mzee baba, huko kwengine hatujagusa ni balaa
Filipino


@Bigbettz @SportsarenatzTz Adhabu iwe kukatwa na point ambazo kamati itaamua yenyewe kulingana na kosa walivyoliona
Indonesia

@SportsarenatzTz Faini milion 1 watabadilisha sana, weka fine kuanzia milion 50 mpka 100 ukae pembenj
Indonesia

💬 Edo Kumwembe:
“Yanga walizua kituko cha mwaka kwa kwenda kubadilishia nguo zao katika nyumba ya mtu. Umewahi kuisikia duniani hii? Zamani mechi za uswahilini zilikuwa hizi. Mechi za mtaani. Mnakutana kwa tajiri yenu kwenda kubadilisha nguo.
Yanga waliamua kwenda kubadilishia nguo huko. Wakati wa mapumziko wakaenda huko. Mpira ulipoisha wakaondokea huko. Wanajua haifai. Wanajua wataadhibiwa. Lakini nani anajali?


Indonesia

























