Master J

3.8K posts

Master J banner
Master J

Master J

@masterjtz

Dar Es Salaam, Tanzania Katılım Ocak 2011
496 Takip Edilen219.9K Takipçiler
Master J
Master J@masterjtz·
Nashukuru sana mdogo wangu @mwijaku for your apology. Apology accepted, ubarikiwe sana. 🙏🏾🤝🏾
Indonesia
3
0
6
1K
Josby 😏
Josby 😏@josby992·
@Julius_mlowe @masterjtz akiongea anaonekana Hater. Ila inshort wasanii wa bongo wengi hawajui mziki vifaa vinawabeba studio.
Indonesia
2
0
5
80
𝐉𝐮𝐥𝐢𝐮𝐬
𝐉𝐮𝐥𝐢𝐮𝐬@Julius_mlowe·
Track ni nairobi 🇰🇪 ila akiimba Bien safi , marioo out of key , asikiki vizuri (kama sio ngoma yake ) T.I. D once said wasanii wajifunze mziki 🚮
Indonesia
3
1
12
604
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
#Asno mtakuja kumuua huyu Amita Bhachan aisee 😆😀😀 mana dakika za jiooniii ndo mnamlaza na viatu😆😀 Sas imagine Asno walau wanjiweza kias hiki wanakoromewa ,ukute yule para wetu likifika linakaa tu kama zuzu na Para lake kama mcheza pilau 🚮,mapara wakati mwingine jau sana 😎
Indonesia
19
9
58
4.2K
Master J
Master J@masterjtz·
@sudmosha @Izzo_bizness Basi sawa, wewe unahisi ni cha nani? Maana kule UK secondary school hadi chuo kikuu walikua wanafundisha kwa lugha hiyo hiyo. 😅
Filipino
1
0
1
56
izzo Bizness MINDSET
izzo Bizness MINDSET@Izzo_bizness·
Boss Umenikumbusha Mbali Sana 😂. Miaka 13 Iliyopita Ghetto Moja Sinza Nalala Zangu Chini Sema Nakushukuru Sana Big Boss Sifa Na Utukufu Ziende Kwa MUNGU BABA 🙏🏽. Let’s Go 💪🏿
EastAfricaRadio@earadiofm

#BURUDANI "Kuna lugha za kutumia mfano unaikumbuka ngoma ya Ridhiwani ya Izzo Bizness? Alikua anaongelea changamoto zilizopo kwani uliwahi kupigwa stop? lakini si uli-Hit" - Producer @masterjtz #PlanetBongo #Jibooosti #AirtelMoneySuperBonus @airtel_tanzania

Indonesia
34
43
792
63.8K
Master J
Master J@masterjtz·
@iam__stewart @STREETTIES27 Studio kuna session musicians, beat makers, producers, sound engineers na mastering engineers. Ni muhimu sana kujadili hili swala ukiwa na mtu ambaye anajua tofauti ya hizo professions kwanza. Otherwise utakuta mtu anamuita a sound engineer au a beat maker a producer, asante. 🙏🏾
Indonesia
0
0
2
38
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
@masterjtz anasema Wakenya (esp wasanii) waache kujitamba kujua kiingereza mbele ya Wabongo kwa kua haisadii kujua lugha ya wakoloni wako hali ya kua mko kwenye ushindani,MJ anasema kimziki TZ Iko mbele ya Kenya sasa wakubali na wapiganie muziki wao pia usonge mbele👇🏾
Indonesia
6
5
23
8.2K
Kevkigosi
Kevkigosi@kevkigos·
@JabirSaleh @masterjtz Mzee kingunge tu tid aliwakimbizaa hatari hapo nairobi tukiwapelekea international artist diamond si tutawamaliza
Indonesia
2
1
3
316
LJB
LJB@Hussein__Jb·
@JabirSaleh @masterjtz Master kasahau kuwachana Gen Z they was probably conceived in one of his songs 😁
English
1
0
2
38
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
“SIKU HIZI SIJIBIZANI NA ‘GEN Z’ “- MASTER J @masterjtz amekua akipata upinzani mkali toka kwa baadhi ya vijana wa kisasa “Gen Z” mara kwa mara anapotoa maoni yake kuhusu game ya Bongo flava,baadhi ya wao wamekua wakiuliza yeye ni nani ikionesha hawajui yale makubwa aliofanya👇🏾
Indonesia
5
7
44
2.4K
Master J
Master J@masterjtz·
@Kennedypharmac3 @JabirSaleh Hapo ilikua an exaggeration kwaajili ya story tu. Ndio maana baadae nikasisitiza kua inawahusu zaidi watoto wa Buku Bee ambao ni part of Generation Z.
Indonesia
1
1
3
241
kidenda
kidenda@Kennedypharmac3·
@masterjtz @JabirSaleh Ssa kama unajua hvyo ssa mbn unasema ulianza kazi mda mma zao wako vidudu na unasema ilikuwa waka 93
Indonesia
1
0
0
43
Master J
Master J@masterjtz·
Sema marehemu producer Roy…. 🔥🔥🔥🔥 RIP 🙏🏾
Indonesia
5
0
35
3.1K