Adámu Mdimi

284 posts

Adámu Mdimi banner
Adámu Mdimi

Adámu Mdimi

@mdimiadam_

𝐌𝐔𝐍𝐆𝐔 𝐉𝐔𝐔 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔.

Tanzania Katılım Mayıs 2023
263 Takip Edilen71 Takipçiler
Adámu Mdimi retweetledi
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Hauwezi kubadilisha maisha yako ndani ya siku moja, LAKINI: Unaweza kubadilisha mtazamo wako juu ya maisha yako ndani ya siku moja. Na huu ndiyo UKUTA mgumu kwa wengi wetu katika safari ya KUTOBOA. Jipe challenge weekend hii, grab nakala ya E-book ya NITATOBOA kisha kisome na kuchukua hatua. Tuma neno NITATOBOA kwa SMS au Whatsapp kwenda namba 0764 191504 ili kupewa utaratibu. Uwe na usiku mwema!
Edwin F.M tweet media
Indonesia
0
5
13
352
Kante
Kante@MkulimaKante·
Wanaoipinga ndoa ni mawakala wa shetani. Ndoa ni kitu kitamu sana
Indonesia
9
3
21
253
Adámu Mdimi retweetledi
Veloria 🌊
Veloria 🌊@veloriahq·
“𝘗𝘦𝘰𝘱𝘭𝘦 𝘷𝘪𝘴𝘪𝘵 𝘵𝘩𝘦 𝘳𝘪𝘤𝘩 𝘸𝘪𝘵𝘩 𝘨𝘪𝘧𝘵𝘴, 𝘣𝘶𝘵 𝘵𝘩𝘦𝘺 𝘷𝘪𝘴𝘪𝘵 𝘵𝘩𝘦 𝘱𝘰𝘰𝘳 𝘸𝘪𝘵𝘩 𝘢𝘥𝘷𝘪𝘤𝘦.” — 𝘈𝘧𝘳𝘪𝘤𝘢𝘯 𝘗𝘳𝘰𝘷𝘦𝘳𝘣
Veloria 🌊 tweet media
English
52
2.6K
13.2K
236.7K
Adámu Mdimi retweetledi
Chelsea FC
Chelsea FC@ChelseaFC·
Malo Gusto has been named in the France World Cup squad. 🇫🇷
English
454
1.7K
26.4K
226.9K
Adámu Mdimi retweetledi
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Ulishawahi kusikia kitu kinaitwa Dark psychology? Kama hujawahi, basi hii ndiyo nafasi yako ya kuelewa mchezo ambao watu wengi wanachezewa bila wao kujua. Ni nini hiyo? Inafanyaje kazi? Na kwa nini matajiri na watu wenye influence huijua vizuri sana? Thread/Uzi🧵⤵️
MWANAHISABATI tweet media
Indonesia
4
19
39
4.7K
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Mungu ni mwema katupa leo tena, leo atukumbushe kuwa dhamani ya mtu haipimwi kwa mali. Goof morning🖐
Indonesia
74
112
203
2.2K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Ukiona umekosa followback ya @unkonfined inatakiwa ujitathmini. Huyu brother anafollowback kila mtu yupo peace sana📌 Welcome Tanzania🇹🇿
Kante tweet mediaKante tweet media
Indonesia
8
10
23
411
Adámu Mdimi retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Ukiachana na huo utani wa “Millennials” na “Gen Z”, kuna eneo moja nakubaliana na Gen Z 100%. Ni ukweli kwamba Millennials tumelifikisha Taifa letu matopeni. Hatuwezi kuiwajibisha Serikali hata inapokosea. Millennials ndiyo uti wa mgongo wa utumishi wa umma kwa sasa; sisi ndiyo injini ya nchi. Lakini injini hii ikikubali kufanya kazi kwenye matope bila kuhoji kwanini barabara haitengenezwi, nchi inabaki palepale. Kizazi chetu kwa sehemu kubwa ndiyo watumishi wa umma, hata tusipoongezwa mshahara na marupurupu kwa miaka 10, tunaona ni sawa tu. Tunaona ni kawaida na ndiyo kitu ambacho kama watumishi, tunastahili. Kizazi cha wasomi wengi kimegeuka kuwa kizazi cha “ndiyo mzee.” Millennials wamekuwa watulizaji (stabilizers) wa mfumo hata kama ni mbovu. Gen Z ni wavurugaji (disruptors) wa mfumo ili ukae sawa. Hofu ya kupoteza mshahara inayoweza kusababisha watoto wakose ada/familia ikose chakula imewafanya Millennials kuwa waoga (risk-averse). Hii imetengeneza kizazi kinachopendelea diplomasia ya unyenyekevu. Kwa sababu ya familia, tumekuwa kizazi cha viumbe wabinafsi sana. Hatujui kudai haki zetu, na tumezalisha machawa na wapambe wengi. Kizazi chetu kimeasisi mfumo wa kusifu na kuabudu (sycophancy). Tazama, hata machawa wakubwa na wazito (pro-max) wanaosifu na kuabudu Serikali hii ni kizazi cha Millennials. Wasanii wakubwa wa muziki wa kizazi kipya ambao ni wafuasi wa watawala ni Millennials. Gen Z wengi bado hawajazama kwenye majukumu mazito ya kifamilia, hivyo wana ujasiri wa kupaza sauti bila kuwaza “kesho nitalishaje watoto.” Hawalazimiki kuwa machawa ili waweze kuendesha maisha yao. Gen Z wanakuja na utamaduni tofauti: wako ‘connected’ na wanatumia teknolojia ipasavyo. Wanaona wenzao duniani wanavyowajibisha serikali zao, hawaamini katika uvumilivu wa miaka 10 bila ongezeko la maslahi. Hawahitaji mikutano ya siri; wanatumia simu kuanzisha mijadala, kuumbua ubadhirifu, na kuungana kwa kasi ya ajabu. Hii imepunguza nguvu ya machawa ambao walizoea kutawala simulizi za mtandaoni. Safi sana. Wakati Millennials walifundishwa kuwa na shukrani hata kwa kidogo (ile dhana ya bora mkono uende kinywani), Gen Z wanauliza: “Kwanini iwe kidogo wakati rasilimali zipo?” Hapa ndipo sasa nawakubali madogo hawa. Hawa Gen Z wana uwezo wa kuungana kama kizazi bila kujali itikadi za vyama, kitu ambacho Millennials wengi wameshindwa kwa sababu ya kuweka mbele maslahi ya ajira zao. Wamekataa mambo ya “Status Quo.” Gen Z wamevunja mwiko. Millennials wamefungwa na nidhamu ya uoga au hofu ya kupoteza walichonacho, sasa wanatazamana na kizazi kinachoongozwa na kanuni moja kuu: “Haki haiombwi, haki inadaiwa.” Labda shinikizo hili la Gen Z litatumika kama kioo cha kuwafanya Millennials wajione walivyojipoteza. Binafsi, wananikosha sana. Gen Z wanaupiga mwingi. Mimi nawatia moyo, wasiogope. Kaka zao tupo pamoja nao. Gen Z, take a bow, fellas.
Filipino
55
244
1.2K
38.7K
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Jamaa anayezidiwa kipato na mke wake leo kwa bahati mbaya sim yake ndogo aina ya OKING imeisha chaji akaomba betrii kwa mdada ili atoe hela ya nauli, kwa bahati mbaya akachanganya line akaweka ya mdada kwenye simu yake ikaingia meseji na kubaki kwenye sim yake inasema "babe umefurahia kwa chakula?" Ndio mkewe kaona hapa kamsimamia ampeleke wakapikiwe wote huko alikokula. Jamaa anaapa hapa mpaka na jembe kwenye shingo💔😥
Indonesia
19
40
227
17.6K
@FORD__TACTICS
@FORD__TACTICS@MkaraFrank·
Wakuu kama hupati lunch kama Mimi 😕 Time ndo hii hapa Njoo hapa✅️ Tukufollow Back 🫱🏻‍🫲🏾 Shusha Handle yako TUINUKE 👊🚀 Let's connect 🫱🏻‍🫲🏾 X family's 🫂
Filipino
13
8
16
281
Sky Sports Premier League
The Barclays Manager of the Season nominees are in! 🚨 Who gets your vote? 👇
Sky Sports Premier League tweet media
English
1.1K
808
6.9K
725.7K