
@kenxbil5424 @thinker24hr Sure? Mbona nimeenda nayo nikaambiwa milioni 1.7 ? Kwa official dealer wa samsung
Filipino
Michael Ng'oja
3.8K posts

@michaelingoja12
#realestatedealer #supplierofbuildingmaterials mchanga, kokoto, kifusi, cement, nondo, mawe,. #expertinaccountandfinance, #progressive, contact #0659726402.






📋✅ ¡Nuestro XI inicial! 🆚 @FCBayernES

Ko waislam Riba ni haramu, kitimoto ni haramu. Kwenu jema ni lipi wenetu.










Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali Nchini zimeendelea kuleta maafa kwa miundombinu na Watumiajiwa barabara ambapo kwa Upande wa Jiji la Dar es salaam Mvua kubwa iliyonyesha kwanzia majira ya usiku mpaka alfajiri ya leo imesababisha mafuriko ambapo magari yameshindwa kuendelea na safari na mengine yakisombwa na maji kutoka kwenye maegesho yalipokuwa yameegeshwa #MillardAyoUPDATES