Mick mollel

813 posts

Mick mollel

Mick mollel

@micky4817

Arusha, Tanzania Katılım Ocak 2025
264 Takip Edilen29 Takipçiler
Toto la kishua
Toto la kishua@MswatiKing_01·
Penalty decision haikupaswa ku stand ni Pacôme ndio alicheza faulo kwa Camara, kulikuwa na High boot that cause dangerous play. But the Referee was right bcoz some of us has to review the replay more than 3 times, Referee had to decide on spot. Fair to say utopolo walibebwa 🚮
English
93
24
311
40.2K
Mick mollel
Mick mollel@micky4817·
@tutla7 mbona juzi kati alikuja huku kwetu kupiga show kiingilio elfu 5 akapata watu 15
Indonesia
0
0
0
129
tutla Cholo
tutla Cholo@tutla7·
Msanii AT kawa mganga
Filipino
9
0
14
3.4K
Storms
Storms@sabelostormz·
Scenes yesterday
Storms tweet media
English
17
47
592
19.3K
Decosta
Decosta@Decosta1805·
@ClinTravellah07 @millardayo 😂 ungetulia tu bro narudia Rais wa urusi hawezi kukamatwa na yyte duniani isipokua warusi wenyewe hata akienda unguarded. Unless atekwe na watu wasiojulikana ambayo still itakua bado ni kasheshe kwa dunia nzima. Kama ulikua hujui nikujize kua hiyo mahakama ni kwa nchi masikini.
Indonesia
1
0
0
101
millardayo
millardayo@millardayo·
Rais wa Urusi Vladimir Putin, hatohudhuria mkutano wa kilele wa mataifa ya BRICS utakaofanyika Julai 6–7 nchini Brazil, kutokana na hati ya kimataifa ya kukamatwa iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) na taarifa hiyo imethibitishwa na mshauri wa sera za kigeni wa Kremlin, Yuri Ushakov, aliyesema kuwa Putin atashiriki mkutano huo kwa njia ya mtandao (video link). Mahakama ya ICC ilitoa hati hiyo mwaka 2023 ikiwa ni mwaka mmoja baada ya Urusi kuanzisha uvamizi wake wa kijeshi dhidi ya Ukraine vilevile Putin anatuhumiwa na mahakama hiyo kwa kosa la kivita la kuwahamisha mamia ya Watoto kutoka Ukraine kwenda Urusi hata hivyo Urusi imekanusha tuhuma hizo na kueleza kuwa haitambui mamlaka ya ICC kwani haijasaini mkataba wa kuanzishwa kwa mahakama hiyo. Licha ya msimamo huo wa Urusi, hati hiyo ya kukamatwa imekuwa kikwazo kwa Putin kuhudhuria mikutano ya kimataifa inayofanyika katika nchi wanachama wa ICC n mwaka 2023 alijiondoa kuhudhuria mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini kwa sababu hiyo hiyo. Kwa mujibu wa Ushakov, kutoshiriki kwa Putin moja kwa moja katika mkutano wa Brazil kunatokana na changamoto fulani zinazohusiana na masharti ya ICC ambapo serikali ya Brazil haikuweza kutoa msimamo wa wazi wa kumhakikishia usalama wake endapo angesafiri hivyo kwa mara nyingine Urusi imechagua njia ya mtandao kama mbadala wa ushiriki wake. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
46
17
827
58.5K
11:11
11:11@444holywitch·
Wangapi siku tatu hizi wanahisi kuwa overwhelmed? Kufeel kulia bila sababu? Huzuni ama wasiwasi bila sababu za msingi. Kuamka usiku mnene gafla mara kwa mara?
Indonesia
64
32
420
28.9K
Moshi Jnr
Moshi Jnr@moshijnr·
✍🏻Mimi naamini Kocha Miloud Hamdi anastahili kubaki Yanga kuelekea msimu ujao , ni kocha mzuri kiufundi plus kiongozi bora ✍🏻Hana hata pre season lakini unaona timu imejengeka .. akipata wachezaji bora zaidi nafikiri ataitengeneza Yanga hatari mno Bonge la Coach aisee .! 🧠
Moshi Jnr tweet media
Indonesia
10
12
371
5K
Africa Soccer Zone
Africa Soccer Zone@AfricaSoccer_zn·
🚨 OFFICIAL (Just for laughs 😃)! Wydad Casablanca have extended “congratulations” to Simba SC for finishing the season without a trophy - and proudly offered them a seat as PATRONS of the 2024/25 Trophyless Clubs Association.
Africa Soccer Zone tweet media
English
25
42
600
30.5K
Temidayo
Temidayo@thisistemidayo·
Ratiba ya Wakeraji hadi Ligi Ianze. Remija atakua roving Lubasha atakua anatokea Pembeni Madenge atakua anapiga kushoto kulia Humphrey atakua anaenda kama Mchambuzi Johnbest atakua anapita kati kati Temidayo yeye atapiga namba zote Hans Rafael atatulia Dimbani Ali Kamwe ni muda wote Priva atakua anakabia Juuu Ndembo atakua Anakabia chini Uvunguni pale Mwansansu anaenda kama Djugui Diarra
Indonesia
12
16
197
9.1K
Temidayo
Temidayo@thisistemidayo·
@micky4817 Hao watakua wanaingia kipindi cha pili kama SUPER SUBS😂
Filipino
2
0
6
626
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Mabingwa wa msimu wa 2024/25 Simba Sports Club 🦁
Farhan Kihamu Jr tweet media
Filipino
103
61
1.1K
57.7K
fifi_catering_service
fifi_catering_service@FamWorld2025·
@mullokozi hapa wanaume wa 1.kinyakyusa 2.kisukuma 3.kihaya 4.kichaga nishajua majibu yao😆😆 i love the paterinial in them🤝
Indonesia
2
0
1
107
Mullo
Mullo@mullokozi·
Unaweza kuishi na mkeo kwenye nyumba mliyopewa kama zawadi na wazazi wake siku yenu ya harusi ?
Indonesia
14
11
82
1.4K