Philbert Mweyendezi Philemon

1.2K posts

Philbert Mweyendezi Philemon banner
Philbert Mweyendezi Philemon

Philbert Mweyendezi Philemon

@mweyende

Male

Tanzania Katılım Şubat 2014
478 Takip Edilen206 Takipçiler
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Mna hakika Rais anaelewa majukumu ya Mbunge?🤔🤔🤔🤔
(---) Onesmo Mushi tweet media(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
115
147
2.2K
113.9K
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
"Kwa upande wa uhimilivu wa deni la serikali, hadi Aprili 2025 deni la serikali lilikuwa ni Trilioni 107.70 na kati ya kiasi hicho deni la nje lilikuwa shilingi Trilioni 72.94 na deni la shilingi Trilioni 34.76, na tathmini inaonesha kuwa deni letu bado ni himilivu ikiwa ni kipindi cha muda mfu, wa kati pamoja na muda mrefu," - Waziri Wa Fedha "Viashiria vinaonesha kuwa kwa mwaka 2024/2025 tathmini ya sasa ya deni la serikali kwa pato la taifa ni asilimia 40.3 ikilinganishwa na ukomo ambao ni asilimia 55, hatupaswi kuwa na hofu kabisa kuhusu jambo hili," - Waziri wa Fedha Dkt @mwigulunchemba1 #MawasilishoBajetiKuu2025 #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
206
25
322
32.9K
Sheila Mchamba
Sheila Mchamba@SheilaMchamba·
Naipenda CHADEMA kwa moyo wangu wote. Imani yangu iko kwenye mabadiliko ya kweli. CHADEMA ni tumaini la kizazi chetu.
Indonesia
43
250
1.3K
24.8K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Tuna Bahati sana ya kuwa na Rais ambaye ameweka historia ya Kipekee Sana ya Kuongeza Pato la Taifa 🙌🙌
MR BEN tweet media
Indonesia
186
16
226
26.7K
Ms Amyrah🤎
Ms Amyrah🤎@Miss_amyrah11·
kwa miaka ya sasa hivi kipi ni bora ?
Ms Amyrah🤎 tweet media
Indonesia
80
35
485
47.4K
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Ulishawahi kusex na mwanamke anavuta bangi?
Malkia Nyuki 👑 tweet media
Indonesia
126
29
762
119.1K
Philbert Mweyendezi Philemon
@earadiofm Kazi ya,mahakama ni kutenda haki kwa kutatua migogoro katika Jamie bila upendeleo kitu ambacho Tanzania hatukioni kwenye mahakama zetu
Indonesia
0
0
0
13
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
“Tathmini inaonesha kuwa wananchi walio wengi wanaridhishwa na utendaji wa serikali katika kutekeleza programu na miradi ya maendeleo. Kwa mfano, utafiti uliofanywa na Taasisi ya Afrobarometer mwezi Juni – Julai 2024 ulionesha kuwa asilimia 71 ya wananchi waliohojiwa walisema wanaridhishwa na utendaji wa serikali, na asilimia 70 walisema nchi ipo katika mwelekeo sahihi. Hii inaonesha kuwa wananchi walio wengi wanaridhishwa na utendaji wa serikali yao” - Prof. Kitila. Sehemu ya hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander Mkumbo akiwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa Mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26, bungeni jijini Dodoma, Alhamisi Juni 12, 2025
Jambo TV tweet media
Indonesia
499
34
462
69.2K
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚
Maestro — Aziz amempeleka mke wake Hamisa Mobeto kwenye aridhi ya Captain Ibrahim Traoré, simba wa Afrika huko Burkina Faso, kwa mara ya kwanza! Hamisa akaona familia yake na historia ya asili yao. Ni tukio zuri sana kwa wote wawili, Hamisa amevaa kwa heshima na adabu!
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 tweet media
Filipino
24
8
357
14.5K
EastAfricaRadio
EastAfricaRadio@earadiofm·
#HABARI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China zimetia Saini mikataba miwili ya msaada wa jumla ya Yuan za China milioni 500, sawa na shilingi bilioni 185 kwa ajili ya mradi wa upanuzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pamoja na kusaidia program ya ushirikiano wa kiuchumi na kitaalamu. Mikataba hiyo imesainiwa Ofisi za Wizara ya Fedha (Treasury Square) na Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian. Akizungumza baada ya kusainiwa kwa mikataba hiyo, Dkt. Nchemba, alisema kuwa Mkataba wa kwanza ni wa Ushirikiano wa Kiuchumi na Kitaalam wenye thamani ya Yuan za China milioni 200 sawa na shilingi bilioni 74.2 na Mkataba wa pili kwa ajili ya mradi wa Upanuzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete kuwa Kituo cha Umahiri cha matibabu na upasuaji wa moyo Afrika Mashariki na Kati wenye thamani ya Yuan za China milioni 300, sawa na shilingi bilioni 111.2. #EastAfricaRadio
EastAfricaRadio tweet media
Indonesia
299
27
950
130.7K
໊
@addictionbaddie·
shenseea, what a woman.
໊ tweet media
English
57
435
13.8K
304.3K
KIRIKUU✏️
KIRIKUU✏️@Kirikuu20·
Watu wenye CPA tu ndio wa jibu hii😂. Vipi hapa uchumi umepanda au uchumi umetuchumu?
KIRIKUU✏️ tweet media
Indonesia
223
64
1.9K
230.2K
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
DODOMA: Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Bajeti Wizara ya Uchukuzi 2025/2026, Mei 15, 2025, Mbunge Livingstone Lusinde amesema “Watu waheshimu miundombinu na utaratibu ili Taifa lisonge mbele lakini mambo madogo yasiwaumize kichwa mfano Mtu akisema No Reforms No Election, geuza kidogo na mwambie No Election No Reforms.” Aidha, amesisitiza elimu itolewe kuhusu huduma ya usafiri wa Treni ya SGR na Treni ya Reli ya Kati kwa Wananchi ili watambue umuhimu wake na ili walinde miundombinu inayotumika Soma jamii.app/LusindeMei15 #JamiiForums #Democracy #Kuelekea2025
Indonesia
50
12
142
17.7K