Sabitlenmiş Tweet
Gololo
48.8K posts

Gololo
@ndandavale
Shadow Deputy Minister of Livestocks and Fisheries #ACTWazalendo ACT-Regional Chairman-Mtwara. Former Shadow Deputy Minister of Water-ACT [email protected]
Mtwara, Tanzania Katılım Eylül 2017
593 Takip Edilen1.2K Takipçiler
Gololo retweetledi

Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Bw. Isihaka Mchinjita, amesema chama hicho kinataka kuchukuliwa kwa hatua za dharura na za muda wa kati ili kuhakikisha matukio yaliyojitokeza Oktoba 2025 hayajirudii tena nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Mei 4, 2026 jijini Dar es Salaam, Mchinjita amesisitiza kuwa kunahitajika nia ya dhati katika utekelezaji wa hatua hizo badala ya kile alichokiita hadaa za kisiasa na juhudi za kujenga taswira nzuri ya serikali ndani na nje ya nchi bila kushughulikia kiini cha tatizo.
Amekosoa namna taarifa ya Jaji Othman Chande ilivyopokelewa, akidai kuwa wakati taarifa hiyo iliyohusisha mauaji makubwa ikiwasilishwa, baadhi ya watu walikuwa wanapiga makofi jambo alilosema linaonesha ukosefu wa uzito katika kushughulikia tatizo hilo.
“Hatua za haraka tunazopendekeza ni kuanzishwa kwa uchunguzi huru wa kimataifa chini ya jumuiya kama Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika au SADC,” alisema Mchinjita.
Akifafanua zaidi amesema, ushirikishwaji wa jumuiya za kimataifa hauondoi mamlaka ya nchi (sovereignty), kwani Tanzania ni mwanachama wa jumuiya hizo na imewahi kushiriki katika juhudi za kimataifa za kutatua migogoro katika nchi nyingine.
Mchinjita ametolea mfano mchango wa aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Hayati Benjamin Mkapa ambaye alishirikiana na Kofi Annan kusuluhisha mgogoro wa Kenya baada ya machafuko ya mwaka 2007, hatua iliyosaidia nchi hiyo kupata katiba mpya na kuimarisha heshima ya haki za raia.
Aidha, amebainisha kuwa hata Jaji Chande mwenyewe ni mjumbe wa tume mbalimbali za kimataifa zinazoshughulikia uchunguzi katika maeneo tofauti duniani, huku Tanzania ikiendelea kutoa mchango wake katika juhudi za amani katika nchi kama DR Congo, Kenya na Zimbabwe.
Katika hatua nyingine, Mchinjita ametaka kuachiwa huru kwa watu wote wanaoshikiliwa na jeshi la polisi au wanaokabiliwa na kesi kwa sababu za kisiasa, akimtaja Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Tundu Lissu, kuwa miongoni mwao.
Amesema kuendelea kushikiliwa kwa viongozi wa kisiasa kunachochea hasira miongoni mwa wananchi na kuongeza mpasuko katika taifa.
“Matukio ya kisiasa yanajenga hasira na kuimarisha mgawanyiko. Kama tunataka kulitoa taifa hapa lilipo, haya ndiyo mambo yanapaswa kufanyiwa kazi,” alisisitiza.
Indonesia
Gololo retweetledi

📍Bungeni, Dodoma
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda akiwa pamojana mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Klabu ya Chelsea, Didier Drogba wakiwasili katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, tayari kwa kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2026/27, leo Mei 04, 2026

Indonesia

"Tume ya Jaji ya Chande imeshindwa kabisa kuona kuwa vyombo vya usalama vimetumia nguvu kubwa na nguvu hiyo ndio iliyosababisha mauaji. Sasa wauaji wasipotajwa. Je! Kutakuwa ba hatua za uwajibikaji?"
Makamu Mwenyekiti wa @ACTwazalendo Bara
@MchinjitaIR
#UkweliHakiUwajibikaji

Indonesia

"Mnasema Tundu Lissu alikuwa mhaini, halafu tarehe 29 yeye akiwa ndani Serikali inakwenda kuua raia."
Makamu Mwenyekiti @ACTwazalendo
Bara
@MchinjitaIR
#ACT2026
#UkweliHakiUwajibikaji

Indonesia

"Kufuatia yaliyotokea Oktoba 29, tunataka Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na Mkuu wa Jeshi la Polisi waondolewe kazini kwa sababu wameshindwa kulinda nchi hii na watu wake."
Makamu Mwenyekiti wa @ACTwazalendo Bara
@MchinjitaIR
#ACT2026
#UkweliHakiUwajibikaji

Indonesia
Gololo retweetledi

@rizikishahari @Ester_Thomas1 @salimbimani2 Naibu Mwanasheria Mkuu wa @ACTwazalendo, Ndugu Bonifasia Mapunda ameshiriki kikao cha Kamati Kuu kinachoendelea muda huu katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema.
#TukutaneKilwa
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote


Indonesia
Gololo retweetledi
Gololo retweetledi
Gololo retweetledi

Mwanachama wa @ACTwazalendo, Ndugu Luhaga Mpina akichangia mada kwenye kikao cha Kamati Kuu kinachoendelea muda huu kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema; Makao Makuu ya Chama Magomeni Jijini Dar es salaam.
#TukutaneKilwa
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote




Indonesia
Gololo retweetledi

Mjumbe wa Kamati Kuu, Ndugu @rizikishahari akisoma nyaraka za kikao katika Kamati Kuu inayoendelea muda huu kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema.
#TukutaneKilwa
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Indonesia
Gololo retweetledi

@rizikishahari @Ester_Thomas1 @salimbimani2 Naibu Katibu wa Haki za Binadamu na Vyombo vya Uwakilishi, Ndugu @Mbaralagande akishiriki kikao cha kamati kuu kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya @ACTwazalendo Magomeni DSM.
#TukutaneKilwa
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Indonesia
Gololo retweetledi

Leo Mei 03 2026, nimeshiriki na kuongoza nikiwa Mwenyekiti wa Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Chama chetu cha @ACTwazalendo, huko katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema, uliopo ndani ya Jengo la Maalim Seif, Makao Makuu ya ACT Wazalendo, Magomeni Jijini Dar es Salaam.




Indonesia
Gololo retweetledi

Ni kesho! Makamu Mwenyekiti wa @ACTwazalendo Zanzibar, Ndugu @IsmailJussa atakuwepo Kilwa mkoani Lindi kwenye maadhimisho ya Siku ya ACT.
#TukutaneKilwa

Indonesia

Leo Mei 4, 2026 Makamu Mwenyekiti @ACTwazalendo Bara, Ndugu @MchinjitaIR atazungumza na waandishi wa habari.
Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM
Muda: 4:00 Asubuhi
Waandishi wote mnakaribishwa.
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
#TukutaneKilwa

Indonesia
Gololo retweetledi

Kesho Mei 4, 2026 Makamu Mwenyekiti @ACTwazalendo Bara, Ndugu @MchinjitaIR atazungumza na waandishi wa habari.
Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM
Muda: 4:00 Asubuhi
Waandishi wote mnakaribishwa.
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
#TukutaneKilwa

Indonesia
Gololo retweetledi

@othmasoud @AdoShaibu @MchinjitaIR @salimbimani2 @IsmailJussa Kiongozi wa @ACTwazalendo Taifa, Ndugu @SemuDorothy akishiriki kwenye Kikao cha Kamati Kuu kinachoendelea muda huu kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema.
#TukutaneKilwa
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote



Indonesia
Gololo retweetledi

Wakuu wa Mikoa wachaguliwe na wananchi moja kwa moja, wawe na baraza lao la utendaji, RCC ziwe Bunge la Mkoa. Futa maDC. Wenyeviti wa Halmashauri au Mameya wa Manispaa/majiji wafanye majukumu ya kisiasa anayofanya DC sasa. DED afanye majukumu yote ya kitendaji ya DC na DAS
Joel Ntile@JoelNtile
@Semkae Futa wote DC na RC. Majukumu ya DC kama mhamasishaji wa maendeleo aachiwe Meya au M/Kiti wa Halmashauri. Mengine yanayohusu utawala yabaki kwa RAS na DED. Rais anazo taasisi nyingine ground ambazo ndio jicho lake.
Indonesia
Gololo retweetledi

Picha: Kamati Kuu ya @ACTwazalendo iliyofanyika leo 03 Mei, 2026 katika ukumbi wa Hakainde Hichilema, Makao Makuu ya Chama, Dar es salaam.




Indonesia
Gololo retweetledi

Kesho Mei 4, 2026 Makamu Mwenyekiti @ACTwazalendo Bara, Ndugu @MchinjitaIR atazungumza na waandishi wa habari.
Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM
Muda: Saa 4:00 Asubuhi
Waandishi nyote mnakaribishwa.
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
#TukutaneKilwa

Indonesia








