Denge is innocent
792 posts





Hii ajali imetokea alfajiri ya leo maeneo ya Himo apo ikihusisha basi la kampuni ya Mapenzi ya Mungu na Canter, Poleni sana aisee na Mungu awatie nguvu wote waliofikwa na majanga haya.


Toka 29 tuko kwenye vita kali sana ya kisiasa iliyojaa hisia nyingi na uchungu(hadi kukoseana heshima). Tunapoibadili vita hii na kuwa vita ya uchumi binafsi baina yetu vijana tunapoteza direction zaidi na wanufaika ni wachache na wanafurahia(huyu atabet,huyu atafanya hiki but lengo ni hela hakuna ajira tuheshimiane but tuwe kwenye mstari mmoja-kuikomboa nchi),sio kila ukweli lazima usemwe mwingine unauacha watu waje washuhudie wenyewe(binafsi nimejifunza hilo), tupishane mawazo but tusipoteze direction... Kijiti kwenu Gen Z💪

Ulitakiwa kuogopa sana CONTENT ZA MAPUNGA wanaopewa airtime mpaka na media zenu za kipunga—ila unaogopa content za watafutaji ambao wanapambania familia zao.



















