Mk47

2.4K posts

Mk47 banner
Mk47

Mk47

@Mk47_0g

A lawyer||God's fear || fan of Simba || Fc Barcelona || Manchester United || Hardwork pays. 🙏

New York, USA Katılım Haziran 2020
567 Takip Edilen582 Takipçiler
Mk47
Mk47@Mk47_0g·
@Cowwbama Mgonga ulimbo kwenye moja na mbili 🤣🤣
Filipino
1
0
0
268
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Hicho CHUMA na hizo nati ndio vilikuwa TAYA yangu kwa siku 646. Hii ilikuwa Operation iliyokuwa inaniwazisha sana akili yangu kwa muda mrefu. NAMSHUKURU MUNGU HILI GUMU LIMEPITA-JAPO NIMEPOTEZA MENO YANGU MAWILI. Kwangu hii bado ni nafasi ya upendeleo MUNGU anaendelea kunipa.
Filipino
174
245
1.5K
36.5K
RaHeeM
RaHeeM@Cowwbama·
Group la harusi Jamaa anaoa Ahadi katoa 20M, mke wake 15M Walioahidi mtu wa kwanza hadi wa 6 ni 4M,5M,6M Kuna jamaa chini kaandika Mungu baba😂😂😂
Indonesia
69
58
670
31K
Mk47
Mk47@Mk47_0g·
@IgoraIrene32964 Acha nitafte pesa tu niondoke kwenye nyumba za kushare bili ya umeme
Indonesia
1
0
1
64
Rastafarian_culture
Rastafarian_culture@IgoraIrene32964·
@Mk47_0g Aisee hii inakwaza mi nlikuwa jobless nakaa home umeme ukiisha inabidi nisubiri watu watoke kazini ndo waweke muda mwingine wanarudi usiku saa tatu😂
Indonesia
1
0
0
266
Rastafarian_culture
Rastafarian_culture@IgoraIrene32964·
Kati ya kitu naomba kwa Mungu ni nisirudi kwenye nyumba za kushare umeme kuna mtu nimekutana nae alikuwa jirani yangu nimeshindwa kusalimiana nae kisa tuligombania umeme hatukuongea tena😁😁😁
Rastafarian_culture tweet media
Indonesia
38
47
292
8.7K
NZUKI🐝
NZUKI🐝@AllyGoa·
@Jeba_OG Ode timu yake inaongoza ligi na ipo Nusu Uefa 🍌
Indonesia
1
0
0
282
🍁
🍁@Jeba_OG·
Wazee vipi mmeona umuhimu na utofauti kati ya Ødegaard na Bruno Fernandes?
Suomi
11
10
158
3.9K
Kommit schuenn
Kommit schuenn@schuenn·
@WideEdson Umeziba sura ukaacha Nyeti, kitu ambacho mtu akizigusa anaona sura yako 😁
Indonesia
2
0
2
1.1K
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Wanangu ile inshu ya bajaji, leo mapema sana niliamkia kwa M/kiti wangu wa mtaa kwaajili ya kupata barua ya utambulisho. Nikapita kwa mtendaji kata nikarudi kwenye ofisi ya U. W B kwaajili ya kupigiwa muhuli kama mwanachama. Teari nimeandaa barua ya maombi napeleka NMB Pamba.
MJUKUU (Fan) tweet media
Indonesia
58
36
255
22.1K
Abdul Ally
Abdul Ally@AbdulAlly253493·
@Kicheche_jr Ningemchukua Jude Bellingham. Sababu ni simple: anachanganya vitu vyote kwa wakati mmoja nguvu, pressing, kukimbia box to box, na bado ana goal threat kubwa sana. Yaani anakupa impact ya mchezo mzima, sio tu kupiga pasi au ku-create.
Filipino
1
0
3
196
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Watu wa mpira. Unapewa Bruno Fernandez na Jude Bellingham unaenda na nani kwenye kiungo wa juu?
Indonesia
19
4
66
4.1K
Steph.
Steph.@LifeofSteph_1·
Hv wakuu kama NIDA imekosewa herufi moja kwenye jina kunae utaratibu wa kubadilisha !? na inagharimu sh ngap kwa muda gan anae faham.
Indonesia
31
25
230
25.6K
Mk47
Mk47@Mk47_0g·
@mee_nicodemus Mi nimeacha kabisa labda nimuone Fabrizio kasema. Haiwezekani mara unaambiwa Sororth mara Muriq daah 🤣🤣🤣
Filipino
1
0
1
15
M Ę C K I Ę 
M Ę C K I Ę @mee_nicodemus·
From now on, I will not comment on Barca transfer rumors until further notice. Thank you…….🚶🏽🚶🏽🚶🏽
English
2
1
28
356
Mk47
Mk47@Mk47_0g·
@JackRthythm Kubeba ballon Dor sawa. Ila England hata akija Afcon tu hawezi beba, ile timu haijawahi kuwa serious
Indonesia
1
0
1
8
N I N J A
N I N J A@Ninja_Damour·
@dosantos255 hakuna msanii tangu career yake anatoa ngoma zinazofanana tu, otherwise labda umekuja kuhate tu
Eesti
1
0
3
336
Denver
Denver@11Dnvr·
Leo tukifungwa na Manchester United naitoa Denver naandika Ashura hadi msimu unaisha, tunaenda kuwapiga vibaya sana hawa na hatutaki muje kuamulia tukianza kutembeza kichapo #Kisasinihaki
Filipino
25
8
66
5.1K
Mk47
Mk47@Mk47_0g·
@kenedsimon2 Hiyo tendon ogopa sana kaka. Huu ni mguu wa Kimpembe, unaweza ukae nje hata miaka miwili
Mk47 tweet media
Indonesia
0
0
1
32
Kennedy 🐓
Kennedy 🐓@kenedsimon2·
Hivi jeraha gani ni baya zaidi kwa mchezaji kati ya ACL na Achilles Tendon?
Indonesia
17
6
91
4K
Boss
Boss@Boss_941·
Mabroo wote mnao tusisitiza tuoe mabikra shikamooni🙌🏽 Mabroo wote mnao tuonya zidi ya hawa madem ma-degree holder shikamooni🙌🏽 Leo nimetambua mabroo mnatupenda 😁😁🙌🏽
Filipino
81
131
1.2K
35.1K
Mk47
Mk47@Mk47_0g·
@spana_Konki Niliwahi fikia kwa mwanangu mmoja sehemu kapanga, kuna single maza mmoja asubuh akawa anampiga mwanae wa kiume I guess ni anaweza kuwa darasa la tatu au la nne. Kisa tu dogo kajikojolea kitandani, dogo amapigwa na matusi juu tena ya nguoni, viungo vyote si vya baba wala mama.
Indonesia
0
0
1
348
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
Nyakati zinatofautiana. Leo nimesikia na kuona mama akimwambia mwanae mdogo Kvuma la mama yako, kataja hivyo full na yeye ndio mama mwenyewe, unafikiri mtoto anavyosikia hivyo huko baadae atashindwa kumuambia mama yake NO, SITAKI? Watasema zaidi ya hiyo NO, Nyakati zimebadilika
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious

Tatizo letu kubwa sisi kwa tamaduni zetu Ni ngumu sana kumwambia mama yako NO. Na kama unaeza mwambia mama yako NO. Nani ambae huwezi mwambia NO?

Indonesia
6
5
80
6.3K
Fabrizio Romano
Fabrizio Romano@FabrizioRomano·
🚨🤍 Kylian Mbappé: “I promise one thing. We will start winning again and very SOON”.
Fabrizio Romano tweet media
English
2.6K
4.2K
84.5K
2.2M
Mk47
Mk47@Mk47_0g·
@fbuyobe Ni jana pia Nilipokea taarifa ya kifo cha Classmate wangu anaitwa Alphan. R.I.P kwao
Mk47 tweet media
Indonesia
0
0
18
5.4K
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Jana usiku wa manane, simu yangu iliita Simu ilitoka kwa mdada ambaye hatukuwa tumewasiliana toka 2018 Sikuwa najisikia kupokea hasa kwa kuzingatia usingizi mzito uliokuwa unanizonga. Lakini pale pale nikapokea ujumbe wa WhatsApp kutoka kwake nikalazimika kuufungua
Fortunatus Buyobe tweet media
Indonesia
23
36
482
64.4K
Malafyale
Malafyale@MwansasuSnr·
Haya ndio mambo ya Wanaume kuambiana sio ya kuitana kwenye Vikao vya kuambiana uduanzi. 📌
Indonesia
23
191
725
60K