Palamasya

4K posts

Palamasya

Palamasya

@palamasya

Educated, Experienced and Hard Working Business Consultant

Tanzania Katılım Şubat 2022
432 Takip Edilen217 Takipçiler
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@EsirEid Leseni Yako class C umeenda kuendesha Magari ya watu wa class Z, unategemea Nini?Class Z inaendesha Kila aina ya chombo kiwe Cha Dizeli, Petroli,Gesi au hata Damu(Mikokoteni mpaka Maguta).Wewe baki kwenye level zako,wenzio awe mnene,mwembamba,mrefu,mfupi,mweusi/mweupe tunaenjoy
Indonesia
1
0
1
32
Palamasya retweetledi
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
Kwa umoja huu Wauwaji waliofanya mauwaji makuu ya 29 okt 2025 haponi hata mmoja. Haki haiwezi kupotea hata ipite miaka mingapi lazima waliouwa maelfu ya Raia Wema wawajibishwe.
Indonesia
10
134
526
16.6K
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@MpaleMpoki Was he appointed to be CJ on Merits or friendship and other reasons? This nincompoop was not better than others who were there to be appointed as CJ, now he proves the level of his competency, thinking and Intelligence
English
0
1
2
116
Mpale Mpoki
Mpale Mpoki@MpaleMpoki·
Duh what a negligent statement from a retired Chief Justice. Uhalali wa tume hautokani na hukumu ya mahamaka bali unatokana na constitutive charter ya hiyo tume. Mahakama ya rufaa haijasema kitu kuhusu hiyo kesi. Uhalali au vinginevyo utaamuliwa na mahakama ya juu
Filipino
5
35
113
11.4K
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@IAmJogoo @TitoMagoti Nadhani umesahau au hukuwa unafuatilia siasa,pumbavu wakiwa wameibana CCM vizuri sana na Dr Slaa akielekea kuishinda CCM Lipumbavu akaamua kwa kupitia chama Cha CUF kipindi hicho ndo kina nguvu sana Zanzibar na bara kumsaidia Kikwete ili ashinde,ikaja Katiba mpya akasaliti Tena
Filipino
0
0
2
32
Jogoo
Jogoo@IAmJogoo·
@palamasya @TitoMagoti Huwezi muweka Lipumba na Kabudi, mzee wa jalalani anatuona hadi sisi hatuna akili. Mzee wa ngangari bora ana mazuri yake huyu wa sasa ndio anataka kutuaminisha nyeusi ni nyeupe
Filipino
1
0
0
29
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Tangu kuzaliwa kwa Taifa letu, in exception ya watu kama Profesa Lipumbavu, hakuna Profesa mpumbavu wa wazi wa muda wote kama Kabudi. Yuko kwenye league yake. Anashikilia rekodi🤝
Indonesia
17
105
792
13.8K
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@TitoMagoti @jkbtetes107 Hii ni aibu Sasa, wameanza kumuandika kwa namna hii? Angekuwa anataka kurejesha Imani na heshima ange-step down kuonyesha kuguswa na hali ilivyo!
Filipino
0
0
0
112
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@cw_pedro Siwezi kuendelea kusoma twiti za mtu mpumbavu na anayeshabikia uovu kama Wewe!
Indonesia
0
0
0
4
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@MpaleMpoki Hii si elimu anko, hii ni kujaribu kushawishi watanzania wale kinyesi na kukubali kujiunga na wachawi wanaokula watu! Hayo Matakataka yaliyoishi miaka mingi ni Matapeli na ukiyachunguza utakuta yanatoka Koo za wachawi!
Indonesia
0
0
0
19
Mpale Mpoki
Mpale Mpoki@MpaleMpoki·
Elimu ya umma si ingetolewa kabla tume haijaanza kazi, kazi imekwisha umma haujaelewa na kuikubali hiyo ripoti ndio elimu ya umma inatolewa ?
Indonesia
34
97
563
45K
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@MariaSTsehai Wanakwambi wewe ufanye Nini Shangazi yetu? Walipata penati MO29 wakapiga nje! Matatizo ya askari chini ya serikali ya CCM hayajaanza Leo ni ya muda mrefu!Wmekuwa wakilalamikia kukatwa posho, matibabu,usafiri Nk,! Wao ni wengi kuliko viongozi wao.wanaogopa Nini?Wamechezea nafasi
Indonesia
0
1
20
1.9K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Jamani nikiwaambia #TutaelewanaTu muwe mnanielewa Leo wanajeshi wanalia kwa kukosa huduma bora ya Afya maana serikali imeshindwa kuwalipia Muhimbili! Nchi inazama maana kila mtu anasubiri sisi wachache tuwasemee Msiposimama na kuhesabiwa hakuna wa kuja kutukomboa Simameni kwenye Haki!
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
39
89
360
16.8K
Palamasya retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Nuff Respect to Bongozozo! A G in his own right!🐐🐐
English
13
82
712
8.6K
Palamasya retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
I speak for humanity in calling Samia Suluhu to Free Tundu Lissu Now!
English
4
129
541
6.6K
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@TitoMagoti @chapanombombwi Bro acha kufananisha kinyesi na Takataka! Kinyesi kina thamani unaweza kukitumia kama mbolea, hizo ni Takataka!
Indonesia
1
0
0
11
sultan
sultan@chapanombombwi·
Challenge inaendelea… Drop picha za taka unazoona zinachafua na kunajisi ofisi za serikali! Me 👇
sultan tweet media
2
0
6
557
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@chapanombombwi Kaka usjiapize, UDASA hata mwaka Jana walitoa waraka kama huu halafu waliokuja kukanusha ni uongozi wa chuo Kikuu UDSM, ila wao jumuiya ya wanataaluma UDASA walibaki na msimamo wao hata baada ya uongozi kukanusha, so hao wapo vizuri
Indonesia
0
0
0
41
sultan
sultan@chapanombombwi·
Kwa misingi mibovu ya nchi hii, Hawa UDASA wasipofuta wasilisho lao na kuomba radhi ndani ya masaa 24, nafuta hii account na hamtaziona tena tweet zangu!
sultan tweet mediasultan tweet mediasultan tweet media
Indonesia
7
2
16
835
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@ChademaTZ2 @HecheJohn Chadema hilo Jengo kagueni fanicha,picha,milango, madirisha,mapazia,vifaa , connectors,taa,holders na vitu vingine vinavyoweza kufungwa vinasa sauti! Itawasaidia kupunguza risk ya kuvuja mipango na mikakati yenu,tunasikia hata AU hawako safe,waliowajengea wanawasikiliza Kila siku
Indonesia
0
0
1
83
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Makamu Mwenyekiti wa Chama Mhe. @HecheJohn akiwasili Makao Makuu ya Chama, Mikocheni Dar es salaam ambapo anatarajiwa kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Chama ikiwa leo ni siku ya pili ya kikao hicho.
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
Indonesia
6
70
466
6.5K
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Ni mwalimu wangu, kumbe alikuwa Dean kabisa! Akiwa darasani alikuwa mwalimu mzuri ila sasa baada ya kutolewa jalalani yakaja ya muheshimiwa Mungu na maujinga mengine nikajisemea “Gudubai” mateso tunayapata sisi Munisamehe nilikuwa kijana mudogo 😂😂😂😂 @Sativa255 @TitoMagoti
Jebra Kambole tweet media
Indonesia
38
97
873
41.3K
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@Oleshangay @vicensiashule Hahaha! Hakika nimewapa thamani sana, hawastahili hata kufananishwa na hata na kinyesi maana kina thamani, unaweza kukulitumia kama mbolea!
Indonesia
0
0
1
9
Joseph Oleshangay
Joseph Oleshangay@Oleshangay·
Hawa ni Majaji wakuu wa Tz wanaofuatana tangu 2007 A bunch of gangsters in robes
Joseph Oleshangay tweet mediaJoseph Oleshangay tweet mediaJoseph Oleshangay tweet media
Indonesia
9
41
176
7.2K
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@Thommunkondya Wewe Nina uwezo wa kuwalisha wewe na chawa wenzio kama 20,unatia kinyaa!
Indonesia
1
0
2
75
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@JamesMbowe4 Mbona wewe hukuchanganya akili zako kabla ya kuhamia CHAUMA?
Indonesia
0
0
4
613
James Mbowe
James Mbowe@JamesMbowe4·
ko wapi ile zoom meeting? Ushauri wangu kwa Vijana wenzangu kabla hujasambaza taarifa yoyote Hakika kwanza ukweli wa taarifa yenyewe. Hii tabia ya kuchafua majina ya watu reja reja hawa wanaharakati watawaingiza kwenye mtego mbaya mshindwe kujinasua, kuna siku mtamchafua mtu ambaye hamwachii Mungu hapo ndio kilio na Kusaga meno kitakuwa kwako na nduguzo. Akili za kuambwa changanya na zako. Asikiaye na afahamu.
James Mbowe tweet mediaJames Mbowe tweet mediaJames Mbowe tweet media
Indonesia
88
6
36
18.2K