PEPE

5.4K posts

PEPE banner
PEPE

PEPE

@pepeeee0

Arsenal on Top🔥🔥 Am a real Gooner Fan🤞 Gooner for life🔥🔥🔥💪💪💪🤛🤛

Tanzania Katılım Ocak 2014
3.2K Takip Edilen1.6K Takipçiler
Williard
Williard@prolific_88·
Fergi hawezi kuruhusu aibu kama hii Pep ni mid tu kmmk.
Indonesia
13
5
109
24.3K
Geeee❤️
Geeee❤️@Geeee_123·
Mapenzi na Wivu🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Čeština
5
4
30
799
PEPE
PEPE@pepeeee0·
@Geeee_123 Mimi ninayo hiyo sabuni G😅
Filipino
1
0
1
2
Geeee❤️
Geeee❤️@Geeee_123·
@pepeeee0 Vyote wivu ni Raha ya penzi Ila usafi ni Sabuni ya Penzi
हिन्दी
1
0
1
14
PEPE
PEPE@pepeeee0·
@Geeee_123 Kipi sasa tukiishi wivu au usafi unatuchanganya😅
हिन्दी
1
0
1
5
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Ten years from now, if one CRDB share reaches 10,000 shillings, I wonder what you’ll tell your children that 700 was too much for you?
English
17
29
272
26K
PharmArtStore
PharmArtStore@massino89·
@ReganTesla_ Tulianza na mtaji kama huo mwaka 2022 sikutajii faida ila kwasasa tuna ofisi nne ambazo gharama ya kodi ya pango kwa hizo ofisi 4 kwa mwaka ni 40M. Sasa hapo utapiga mwenyewe faida yake ili kuweza ku afford kulipa kodi hiyo kwa mwaka
Filipino
1
0
1
308
M.D (🅨)
M.D (🅨)@ReganTesla_·
Wewe unataka uwekeze 10M upate shilingi ngapi kwa mwezi?
Indonesia
45
20
394
37.1K
eleven¹¹🇰🇪
eleven¹¹🇰🇪@Elevenserh11·
@pepeeee0 @Primeandeka Imeishia hapo!😂 Unachukua kukua mwanaume mmoja mchafu uchafue basin nne ama one of the four clean men muogee kwa basin moja?
Suomi
1
0
0
238
Andeka
Andeka@Primeandeka·
Men always find a way to prove women should not have more than one man😂😂😂
English
80
699
2.1K
71.4K
Geeee❤️
Geeee❤️@Geeee_123·
Hellow🫦
Geeee❤️ tweet mediaGeeee❤️ tweet media
English
45
22
208
7.8K
eleven¹¹🇰🇪
eleven¹¹🇰🇪@Elevenserh11·
@Primeandeka wanaume wanne wasafi hawaezi chafua maji basin moja,lakini mmoja mchafu anaeza chafua maji basin nne...😂😂
Suomi
4
1
26
2.6K
PEPE
PEPE@pepeeee0·
@Geeee_123 Jambo jema nilikukumbuka bana
Indonesia
0
0
0
3
Geeee❤️
Geeee❤️@Geeee_123·
Dada yenu Nateseka huku Maimoria Hela ngumu nyie
Geeee❤️ tweet media
Indonesia
82
21
254
25.5K
Mick
Mick@mick_Unbroken·
@AFC_Monty_ By single occasion do you mean the 2nd half? 🤣
English
1
0
17
4.9K
Fan_Monty
Fan_Monty@AFC_Monty_·
*Liverpool park the bus for the entire first 25mins* *Arsenal drop back to defend on 1 single occasion* Gary Neville: “Arsenal are playing this game out by sitting deep hoping for a counter much to the frustration of the Arsenal fans”
English
117
202
4.6K
159K
Abissay Stephen Jr
Abissay Stephen Jr@abissay_stephen·
Nimeyakumbuka maneno yaliyomfanya Coach Adel Amrouche afungiwe na CAF mechi 8 na fine USD 10,000 (Tsh 24,781,550) alisema "Morocco wanaushawishi CAF wa kupanga muda wa mechi na Waamuzi". Mwamuzi Boubou Traore (Mali) amewanyonga Tanzania sana hadi kukataa penalty.
Abissay Stephen Jr tweet media
Indonesia
48
57
860
30.4K
PEPE
PEPE@pepeeee0·
@Zackajr @silvanmoi @abissay_stephen Timu ni mbovu tumefika pale kwa papatu papatu, hatuna elite players wakutupa output wanazotarajia ndio mana wanaundiwa hamasa kwa noti ili waokote ila napo bado. Tunahitaji safisha au kujenga kuanzia kwenye shina sio kuujengea mti sapoti ilihali shina limeoza mti utanyauka tu
Indonesia
1
0
0
12
Muhaini AI
Muhaini AI@Zackajr·
@silvanmoi @abissay_stephen Ulipofikia labda ndoton njia uliofikia hapo yenyew sio uwezo wako wenye uwezo wamemalz nafasi ya kwanza na pili kwenye kundi alaf unajipa Imani
Indonesia
1
0
0
19
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Inapotokea rasilimali za nchi zinanufaisha kikundi cha watu wachache walioko madarakani, na kuwaacha wengi wasinufaike nazo na wakaishi kwa dhiki hadi kufikia kukosa basic needs, tena ikafikia hatua ya kuuliwa au kufungwa wanapoonyesha kuziongelea!! Akitokea mtu wa nje na kuanza kupambana na kikundi hiki, basi watu wale automatically watamuunga mkono na kumfurahia mtu huyu wa nje!! Hata kama rasilimali hizo zitamnufaisha mtu huyo wa nje!! Technically inajengeka mindset ya #PoteleaPwete Kuliko kilicho chetu wafaidi watu wachache tu,na bado wanatuua BORA TUKOSE WOTE!!
Indonesia
41
118
778
24.8K