peter jaluo🇰🇪
23.7K posts


@Mikumifinest Sasa uncle yale mambo yetu unapataje km hiko hivo🤣🤣
Español

@sapro_phyticus Hii hatari kaka kesho wakienda kutumia ni balaa
Indonesia

"Kuna jambo linafurahisha sana kama Taifa kwamba kila mtu kwa nafasi yake anazungumzia maridhiano ya Kitaifa hasa kuanzia kwenye Chama chetu, Mwenyekiti Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makamu wake Mzee Wassira, kila mtu anazungumzia maridhiano hilo kwa busara linaonesha kuwa ipo sehemu tumekwama, tumekosea na ninaamini hata upinzani pia unaamini katika maridhiano ila tuwe wakweli wapinzani nchi hii ni Chadema tu, vyama vingine hata mtoto anajua tu kuwa hawa wengine ni mitego tu."
"Shida inakuja tunafanyaje maridhiano wakati Mwenyekiti wao yupo ndani? Sasa maridhiano yatakuwa ya aina gani? Maridhiano yanahitaji watu wenye nguvu kuridhiana, kwahiyo mimi ninaamini Mhe. Rais kwa nia njema kabisa bila kushinikizwa na mabeberu naamini Bw. Lissu atakuwa nje ili turidhiane, twendeni kwenye uhalisia."- Seleman Msindi maarufu kama Afande Sele leo Jumamosi Julai 18, 2026.
Indonesia
peter jaluo🇰🇪 retweetledi
peter jaluo🇰🇪 retweetledi

Wakati SAMIA anachangisha mabilioni pale mlimani CITY mliomba yale mabilioni yakina GSM kuchunguzwa?
Buku buku zetu zinawawasha sana naona-mmeona kabisa 334M inafikiwa mavi yanagonga CHUPI.
Wakati tunaanza mlisema hata 10M hatufikishi—leo GEN Z wanashindana kuchangia chama asubuhi,mchana ,usiku na hata kwenye hii post utaona miamala kwenye comment kuonyesha weww ni TAKATAKA.

Indonesia
peter jaluo🇰🇪 retweetledi



















