PIZZLE BOY
8.7K posts

PIZZLE BOY
@petermpembela87
MENE MENE TEKELI NA PERESI









Nimesoma majibu 50 ya CDM dhidi ya Mashitaka 3 ya Msajili. Kimsingi hawajajibu mashitaka 3 ya msajili, nimeona maandishi mareeefu yaliyo nje kabisa wa hoja za msajili, Wameshitakiwa chini ya vifungu A, wamejibu kwa vifungu B. Nafikiri msajili hatapuuza, achukue hatua stahiki!













@YerickoNyerereT @rollymsouth Bahati nzuri au mbaya kila nikijitahidi kuachana na shutuma walizonipakazia, naona ni kama kuna upande nitakuwa naupa faida. Lakini kwa kuwa wao hawakujali, nami sitojali. Soon tutafurahi hapa.


Wewe utashughulikiwa vizuri kisheria maana uliongwa kutusingizia kumbe ulikuwa mpango mkubwa na sasa tumeona Huna busara zote

Mimi sio muoga na naona kila kitu ila busara zangu zimenituma nisiongee chochote,sitaki kuzua mjadala mwingine katika kipindi hiki kigumu(watu hawajapona bado)..Mungu atatuvusha salama na ipo siku tutaongea vizuri kabisa








