
@azory_j46751 @master_plan9 Mkuu supu kahama ni 3500 kwa 4000, wakati Dar'slaam supu 1500 mpaka 2000, na ikifika saa3 usiku migahawa midogo midogo yote ishafungwa, pilau kuku 8000, wakati Dar'slaam nilikuwa nakula kwa 5,000,mikoa ya kusema maisha rahisi labda nyanda za juu kusuni huko
Indonesia





















