Simama-Uhesabiwe
18.9K posts

Simama-Uhesabiwe
@robichacha96
North Eastern, Kenya Katılım Temmuz 2021
1.7K Takip Edilen5.8K Takipçiler
Simama-Uhesabiwe retweetledi
Simama-Uhesabiwe retweetledi
Simama-Uhesabiwe retweetledi
Simama-Uhesabiwe retweetledi

Leo Mwenyekiti wetu Mhe. Tundu Lissu ametimiza siku 400 Gerezani.
Serikali haram ya Nduli Idd Amin Mama, ilimbambika Mhe. Lissu kesi ya uhaini na walisema wanaushahidi wa kutosha kumfunga Mhe. Lissu lakin cha ajabu wameweka mpira kwapani hawataki kesi iendelee kusikilizwa ndo maana mpaka unaenda mwezi wa tatu tangu wakate rufaa lakin @judiciarytz chini ya Jaji Mkuu Masaju hawataki kupanga tarehe ya kusikiliza rufaa hiyo.
#FreeTunduLissu

Indonesia
Simama-Uhesabiwe retweetledi

Vijana mtaendelea kupotea kwa kukosa Akili
Mfumo unataka baadhi yao wawe miongoni mwetu, na faida ya hao watu na mfumo ni kuwa miongoni mwetu
Project ya kushambulia na kuondoa watu kama mimi, @HildaNewton21 , Tito , Sativa , Twaha na shangazi hii sio Project ya Unit na sio Project ya mabadiliko
Msuya ana vikosi lakini kabla ya Msuya kukuchukua unasogezwa karibu au unajengewa mazingira na hawa vinyonga/nyoka
Huo ndio mchezo pekee ambao dola inautumia kutuumiza kisha wanakuja machawa hapa online kukuchafua wakishakupata, mimi walishanitengenezea story kwamba ni mlevi na mambo mengine mengi
Sina tena deni ya yeyote atakaye nyakuliwa kwa mfumo huu wa honey 🍯 pot
Nimefanya wajibu wangu mkubwa sana kuhusu haya mavikosi ya Abdul, sasa endeleni kujitia uzezeta
Indonesia
Simama-Uhesabiwe retweetledi

Dada @racheldangwa17 huyu Wambura kalazwa Hospital gani tumpelekee juisi ya Pipili kichaa maana ni dawa nzuri sana ya kisukari.😂😂😂
Indonesia
Simama-Uhesabiwe retweetledi

Leo Mh Lissu anatimiza siku 400 Gerezani bila kosa.
WAKOLONI WEUSI walituaminisha Mh Lissu ni Muhaini, wakaenda nae mahakamani, wamepelekewa Moto dunia nzima imejua HAKUNA KESI wameingia mitini.
Muachieni Mwenyekiti wetu #FreeTunduLissu

Indonesia
Simama-Uhesabiwe retweetledi
Simama-Uhesabiwe retweetledi

‼️🚨REGISTRAR OF POLITICAL PARTIES THREATENS CHADEMA‼️
As expected, Samia Suluhu and her cabal are nerve wrecked by recent Chadema rallies and press conferences
So now they cite some unconstitutiinal represive laws and threaten Chadema with deregisttation!
Deputy Registrar Sisty Nyahoza signed the letter and he is just a faithful servant of the regime! #Tanzania is headed the wrong way!
Sisty Nyahoza! Hivi huyu baba anawaza maisha baada ya utumishi huu? Hapa ni wazi mafedhulii wanawaza kufuta usajili wa Chadema hakuna kingine!
Ila #TutaelewanaTu


English
Simama-Uhesabiwe retweetledi

Simama-Uhesabiwe retweetledi
Simama-Uhesabiwe retweetledi

‼️ALERT‼️
Huyu ndo kiongozi wa Team ya maofisa wa Polisi ambao DCI Ramadhan Kingai amewapa kazi ya kuniwinda.
Jina lake anaitwa Edward Pius Soteli, majirani zake wanamfahamu kama Baba Sayuni, anatoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dodoma.
Ni mzaliwa wa kijiji cha Mwimbi, Kata ya Mwimbi Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa.
Namba yake ya simu ni +2557876300x2.

Indonesia
Simama-Uhesabiwe retweetledi

"Mwenyekiti wa Chama Mhe. @TunduALissu mtakumbuka aliwasilisha maombi mahakamani ya kutaka kuunganishwa kwenye kesi hii, maomba yale yakatupiliwa mbali katika hatua za awali. Nataka kuwataarifu kwamba Mwenyekiti Mhe. @TunduALissu bado ameendelea na nia yake ya kuunganishwa kwenye kesi hii, awali alitaka kuunganishwa kama Tundu Lissu, sasa anataka kuunganishwa kama Mwenyekiti wa Chama." Mhe. @jjmnyika
Filipino
Simama-Uhesabiwe retweetledi

Simama-Uhesabiwe retweetledi
Simama-Uhesabiwe retweetledi
Simama-Uhesabiwe retweetledi

NO LONGER AT EASE!
The grieving mothers in #Tanzania want punishment for Samia Suluhu befitting the crime!
They reject any talk of compensation! They want justice!
This heart wrenching appeal by a grieving mother speaks for hundreds if not thousands of affected loved ones!
The absense of justice is laying the groundwork for generational blood feud!
Huyu mama nimemwelewa sana fidia ya kuuwawa kwa ndugu yako unaomba labda shs ngapi? Aisee hapana!
CCM mnaendelea kumbakisha huyu mwuaji madarakani mnapalilia visasi vya vizazi na vizazi msifikiri mko salama!
#SamiaMustGo
English
Simama-Uhesabiwe retweetledi

#FreeTunduLissu tunaamini akitoka magumu yote anayopitishwa siku zote hizi ATATUSIMULIA.
Msimamo wake wa kuamua kusimama na wananchi kwa siku zote hizi ni heshima kubwa sana kwetu na taifa.
MUNGU akufunike Naamini tutashinda haya magumu yote.

Filipino










