Mzee Mchafu 🎩

34.9K posts

Mzee Mchafu 🎩 banner
Mzee Mchafu 🎩

Mzee Mchafu 🎩

@runjipapi

C'est la vie

kariakoo Katılım Nisan 2013
3.5K Takip Edilen16.5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mzee Mchafu 🎩
Mzee Mchafu 🎩@runjipapi·
Unagoogle picha za poor people unajiona.
English
60
71
723
0
Mzee Mchafu 🎩
Mzee Mchafu 🎩@runjipapi·
Unanunua uchawi uzeeni, wakati wenzio wanaitafuta pepo.
Indonesia
0
0
4
45
Mzee Mchafu 🎩
Mzee Mchafu 🎩@runjipapi·
Kitu ninachojua,KARMA never loses an address.
Eesti
0
1
4
146
Mzee Mchafu 🎩 retweetledi
A.VICTOR
A.VICTOR@Lifeof_AG01·
The art of knowing when to leave. >>>>>
English
56
432
1.7K
42.6K
Mzee Mchafu 🎩
Mzee Mchafu 🎩@runjipapi·
Mbona sijawasha VPN alafu humu nimeingia clean kabisa.
Indonesia
1
0
12
312
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Happy Birthday To Me.👊🏾
The mandevu tweet media
English
371
289
2.7K
32K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Jumatatu nitakuwa na shati aina ya Linen hatari sana, probably ni nguo ambayo huwa haikai unaweza nipa order yako kabisa .
The mandevu tweet media
Filipino
8
15
263
6.1K
Mzee Mchafu 🎩 retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Kama huwezi kuwa Polite and Kind wakati wa kuhudumia watu wenye physical and emotional pains, sio ungesomea udaktari wa mifugo sasa.
Filipino
18
36
416
16.4K
Mzee Mchafu 🎩 retweetledi
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
Kipindi watu wanalia kwa kulia baada ya Wananchi kuuliwa ila Msanii akafanya kibao kata ndio huyohuyo leo hii mnapush reli yake?? Kwamba nyie ndio mnaijua fedha sana au mnaona wengine hawana uhitaji kuliko ninyi au mnaona waliouawa hawakuwa wanataka hizo fedha eti?
Indonesia
78
241
1.3K
44.1K
Mzee Mchafu 🎩
Mzee Mchafu 🎩@runjipapi·
@jackjose075 @bosskitamb @godbless_lema Central Bank haitakiwi ku uza Treasury zake kwa sababu kibao Anko pia kumbuka ndio inakuoa guarantee wewe kukopa kuwa na dhahabu nyingi chini sio kigezo cha wewe kuuza reserve Yako.. ila labda serikali ikubali kwamba inakabiliana na anguko la uchumi.. la ndani na kukosa mikopo.
Filipino
0
0
2
9
JB X💎
JB X💎@jackjose075·
@runjipapi @bosskitamb @godbless_lema Haiendani mzee Magufuri nakumbuka ndo alianzisha hii kuwa hela hushuka thaman so baadae kukiwa na uhotaji tuuze ss ubaya uko wapi na nan kakwambia dhahabu chini imeisha
Filipino
2
0
1
11
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Dhahabu ni mali muhimu sana kwa uchumi wa Taifa, hasa katika kipindi cha sintofahamu ya kiuchumi na kijamii duniani. Mwaka 2020, bei ya dhahabu ilikuwa takribani USD 1,500 kwa ounce moja, lakini kufikia Januari 2026 imepanda hadi takribani USD 5,400 kwa ounce moja. Hii ni sawa na ongezeko la asilimia 260 ndani ya kipindi cha miaka mitano. Ongezeko hili linaonesha wazi kuwa dhahabu ni hifadhi salama ya thamani wakati sarafu na masoko ya fedha yanapoyumba. Katika mazingira haya, kuuza dhahabu ili kupata fedha za haraka si uamuzi wa busara wa muda mrefu. Ingawa serikali zinaweza kukabiliwa na uhaba wa fedha, kuuza mali yenye thamani inayoongezeka kwa kasi ni kupoteza fursa ya kiuchumi. Njia mbadala iliyo salama zaidi ni kukopa kwa kutumia dhahabu kama dhamana (collateral). Njia hii huiwezesha serikali kupata fedha bila kupoteza umiliki wa dhahabu, huku ikiendelea kunufaika na ongezeko la thamani yake baadaye. Kwa hitimisho, katika dunia yenye misukosuko ya kiuchumi, dhahabu inapaswa kuhifadhiwa na kutumiwa kwa hekima, kwani ni nguzo muhimu ya usalama wa uchumi wa Taifa.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
88
159
1.3K
73.3K
Mzee Mchafu 🎩
Mzee Mchafu 🎩@runjipapi·
@bosskitamb @godbless_lema Unauza mabati ya nyumba Yako ili ukajenge fence... Je ni kipi Bora kukopea Bank nyumba ukiwa full na bati lake au kukopea ikiwa pagala (gofu).
Indonesia
2
0
9
490
Mafuta Ya Upako.
Mafuta Ya Upako.@bosskitamb·
@godbless_lema Mimi nataka kujua kama tuna uza dhahabu yetu kama sehemu ya akiba ili tupate fedha ubaya upo wapi.?
Mafuta Ya Upako. tweet media
Indonesia
11
0
14
5.1K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
@runjipapi Siku nikipita niambie hii Comment nione aibu nikuungishe😁
Eesti
1
0
4
333
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Wengi wanashusha Nguo pale Kariakoo ila huyu Mwamba anajitahidi sana kuleta Nguo high quality. Sema sasa kupata Nguo zake labla uwe na connection kutoka Wizarani ni dakika zero tu zimeisha 😂
The mandevu tweet media
Filipino
64
69
1.4K
79.7K
Mzee Mchafu 🎩
Mzee Mchafu 🎩@runjipapi·
CHAMA KIKUU Damn that's heavy hit. 🙌
English
0
0
4
191
Mzee Mchafu 🎩 retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Kadri mahusiano yako na Mungu yanavyokuwa imara, ndivyo maamuzi yako, mwenendo wako, na kesho yako vinavyobadilika. Hujachelewa, Anza leo 🙏🏼
Filipino
19
195
1K
18.9K
Mzee Mchafu 🎩
Mzee Mchafu 🎩@runjipapi·
@DeadNiggaAlive Umaskini ni mbaya kaka imagine wale watu wanatikea maisha magumu kwahiyo hata aibu imewatoka aisee
Filipino
0
0
0
6