Salmin Swaggz

6K posts

Salmin Swaggz banner
Salmin Swaggz

Salmin Swaggz

@salminswaggz

You will do what you do in this life and people will love you or hate you for it • DM for inquiries + IG @salminswaggz

Tanzania Katılım Mayıs 2010
352 Takip Edilen7.9K Takipçiler
JOH✝️
JOH✝️@JOH_MCI·
@salminswaggz Kuwepo its not a bad idea, ila sio kiapumbele kwasasa hata kwenye issue zenu tu nyie wasanii mna mengi kabla ya arena
Indonesia
1
0
1
30
JOH✝️
JOH✝️@JOH_MCI·
Nani ataweza kujaza arena hii bongo we jamaa? Wewe tu hapo club za pale tarime hujazi mzee
Salmin Swaggz@salminswaggz

Binafsi najua @diamondplatnumz sio mtu wa kawaida kabisa 😄, his influence is generational and goes beyond music. Nimeangalia interview yake sijaona kibaya alichosema zaidi ya kuikumbusha tu serikali suala la Arena! Ushauri wake una nafasi ya kusikilizwa haraka kuliko wewe 🫵🏼

Polski
1
0
2
254
Salmin Swaggz
Salmin Swaggz@salminswaggz·
Binafsi najua @diamondplatnumz sio mtu wa kawaida kabisa 😄, his influence is generational and goes beyond music. Nimeangalia interview yake sijaona kibaya alichosema zaidi ya kuikumbusha tu serikali suala la Arena! Ushauri wake una nafasi ya kusikilizwa haraka kuliko wewe 🫵🏼
Indonesia
32
1
91
34.6K
Salmin Swaggz retweetledi
XL♪Fabirance
XL♪Fabirance@fabirance·
@salminswaggz @diamondplatnumz Ishu ya Arena ni idea nzuri sana na tunafaa kuwa na arena ya viwango vya kimataifa coz mziki unakuwa kww kasi na taifa linazidi kukua katika ramani ya Mziki Duniani. Itapendeza kukiwaa na ARENA hapa Tanzania. Itakuwa na Faida kubwa kwenye Industry ya BURUDANI na MICHEZO.
Indonesia
0
1
1
1.6K
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
Stop Glazin’ him young bro!!! It won’t help you, nor will he! Wewe wala Msanii yeyote yule ambao ndio mpo kwenye prime time, Arena haiwasaidi kitu chochote kwenye Career zenu. Wasanii walikuwa wanasuasua kujaza Maisha Basement, na Bilicanas mpaka wajazane rundo na kutoa Complimentary 200, ndio mtake Arena ije kuwakomboa!
Salmin Swaggz@salminswaggz

Binafsi najua @diamondplatnumz sio mtu wa kawaida kabisa 😄, his influence is generational and goes beyond music. Nimeangalia interview yake sijaona kibaya alichosema zaidi ya kuikumbusha tu serikali suala la Arena! Ushauri wake una nafasi ya kusikilizwa haraka kuliko wewe 🫵🏼

Indonesia
12
11
179
20K
Salmin Swaggz retweetledi
chalkboard teacher
chalkboard teacher@justyfromNorth·
@salminswaggz @diamondplatnumz Vijana hawajui arena ikiwepo Kuna ajira nyingi sana na biashara kuubwa na ndogo nje ya arena na kiba tukio litakalohostiwa pale ni ela nyingi watu wanapata!!
Indonesia
4
1
4
1.8K
Salmin Swaggz
Salmin Swaggz@salminswaggz·
@kafir_nyau @diamondplatnumz I’m glad tumefanya kitu kinaendelea kuishi for over 4 years now 🙏🏼 kuna chapters mpya tunakuja kuandika kwenye historia 💪🏼
Filipino
1
0
0
36
Salmin Swaggz retweetledi
HIM
HIM@kafir_nyau·
@salminswaggz @diamondplatnumz Don’t Rush - Salmin Swaggz ft Naomisia 🎵 Ni mwaka wa pili sasa onrepeat hii ngoma kila siku lazima niiskilze 🔥🙌🏽 Huyu Naomisia hebu mtafute tena mfanye kitu na yule producer wa dont Rush Nawasilisha
Indonesia
1
1
1
341
Salmin Swaggz
Salmin Swaggz@salminswaggz·
Unasikiliza mziki wa rap, unakua inspired, unajifunza kurap, halafu unamdiss aliyekuinspire kurap kwa kutumia flow hio hio ambayo imekuinspire kurap 😄 man that’s 🧢
Filipino
19
29
245
14.5K
ICON🤠
ICON🤠@ChileIcon·
@salminswaggz Rap yenu hiyohiyo au ...ambao mnasifia pombe na mademu 😃😃😃
Indonesia
1
0
0
175
Ticha LK
Ticha LK@lukalijr·
@salminswaggz This is very wonderful 😆😆😆 halafu ndio kizazi chenu kimeleta haya mambo back in days huwezi kukuta mahala Afande anamdiss Sugu au Chid anamdiss Jay,
Indonesia
1
0
4
1K
Salmin Swaggz
Salmin Swaggz@salminswaggz·
Kama circle kubwa ya watu waliokuzunguka hawawezi kukusaidia ukipata shida ndogo ndogo achana nayo. Money attracts money, and vice versa.
Indonesia
0
1
5
249