simeocom retweetledi
simeocom
32.4K posts

simeocom
@simeocom
Nothing
Techaluta de Montenegro Katılım Haziran 2011
4.4K Takip Edilen696 Takipçiler
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi

“Kumekuwa na majaribio na vitisho kutoka kwa watawala kunizuia nisiongee. Kuna wakati niliambiwa nizime simu yangu, nisiitumie mpaka (wao) watakapo niambia. Nikawauliza, kwa sheria gani? Kuna wakati nilikaribishwa mahali fulani, nikapigiwa simu na watawala, wakasemam mzee usiendee kwenye huo mkutano. Kwanini? Hauna manufaa. Nikawauliza, nani anaamua hayo manufaa? Nikakataa. Wakawafuata watu walio karibu na mimi ili wanishawishi nisiende, nikakataa pia. Mnakumbuka nilifanya mahojiano hapa na Jamhuri? Wakatoa summary, wakasema watachapisha mahojiano yote, neno kwa neno. Baadae Jamhuri wakanieleza wamezuiwa wasitoe yale mahojiano. Kuna viongozi wanaogopa kuzungumza na mimi, wanatuma ujumbe kupitia mbali huko. Marafiki zangu wanaogopa wakisema nitatekwa au kupewa sumu. Nawaeleza mimi ni mali ya Mungu, ndiye atakayeamua lini ananihitaji.”
— Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Tanzania.

Filipino
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi

PRESIDENT RAMAPHOSA TO ADDRESS THE NATION
President @CyrilRamaphosa will tonight at 20h00, address the nation following the judgment of the Constitutional Court in the case brought by the Economic Freedom Fighters challenging the National Assembly’s decision with respect to Section 89 proceedings against the President.
The President will address the nation as follows:
Date: Monday, 11 May 2026
Time: 20h00
Venue: Union Buildings, Pretoria
ISSUED BY THE PRESIDENCY OF THE REPUBLIC OF SOUTH AFRICA

English
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi

🏆 ¡CAMPEONES, CAMPEONES, OÉ, OÉ, OÉ!
LALIGAEASPORTS | DesenlaceLALIGA | ELCLÁSICO | @FCBarcelona_es
Español
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi

Two more wins and @Arsenal will be crowned champions 🏆
But how soon could they win the Premier League title? 👇
English
simeocom retweetledi

Jaji Joseph Sinde Warioba ambaye ni Waziri Mkuu Mstaafu aliyasema hayo katika mahojiano yaliyoruka Mei 9, 2026 na Jenerali Ulimwengu pamoja na Khalifa Said wa The Chanzo kuhusu Ripoti ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Oktoba 29, 2025.
Fuatilia zaidi jamii.app/WariobaRipotiY…
#JamiiForums #Uwajibikaji
Indonesia
simeocom retweetledi

Hapa Africa kuna Mataifa 4, Ubaguzi unauona na kuukumbatia kabsa
1- South Africa 🇿🇦
2-Zanzibar
3-Rwanda
5-DRC CONGO 🇨🇩 .
Kinachoniuma mimi huwa wabagui wazungu, waarabu na wahindi, wao ni wafukuza Waafrica wenzao tu, Hutakuja kusikia mzanzibari anamfukuza Mwarabu, ila Mtanganyika sasa. This is Diabolical Machinations

Suomi
simeocom retweetledi
simeocom retweetledi

















