
@INFLUENCERjr Kuna gari nilichukia stakabadhi yake ofisini boss alinunua milion 124, sasa wafanya kaz wa nje wakawa wanasema hyo gar hata milion 15 haifiki, tukibishana na mimi nakaonekana sijui bei ya gari😂 kwa kifupi kukubali ukwel ni ngumu ,wabongo sisi much know sana
Indonesia























