MhiniⓂ️

14K posts

MhiniⓂ️ banner
MhiniⓂ️

MhiniⓂ️

@tea12cup

Human rights, we're equal under the law, no to racisim, we need better income for living 🙏🙏 let's fix our differences

Doreen38@14 5695 Katılım Mart 2021
1.2K Takip Edilen1.8K Takipçiler
MhiniⓂ️ retweetledi
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
Wakuu wa Mikoa wachaguliwe na wananchi moja kwa moja, wawe na baraza lao la utendaji, RCC ziwe Bunge la Mkoa. Futa maDC. Wenyeviti wa Halmashauri au Mameya wa Manispaa/majiji wafanye majukumu ya kisiasa anayofanya DC sasa. DED afanye majukumu yote ya kitendaji ya DC na DAS
Joel Ntile@JoelNtile

@Semkae Futa wote DC na RC. Majukumu ya DC kama mhamasishaji wa maendeleo aachiwe Meya au M/Kiti wa Halmashauri. Mengine yanayohusu utawala yabaki kwa RAS na DED. Rais anazo taasisi nyingine ground ambazo ndio jicho lake.

Indonesia
25
11
94
13.5K
MhiniⓂ️
MhiniⓂ️@tea12cup·
@Baradhuli2 Raisi wako anakiogopa kuliko ukoma ila wewe umekaza tu fuvu na elemu yako mbalimbali
2
0
0
424
Amanitz
Amanitz@Amaniaman1980·
@Sativa255 Unakuta mzazi anasomesha mtoto shule za gharama ada mamilion kwa mwaka, halafu maofisini wamekaa wenye elimu mbalimbali form four failure🤔.
Indonesia
1
0
21
3.5K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Na huyu ndio WAZIRI wenu wa Ajira aliepata ZERO forn 4. Hana Degree ila anamiliki pHd. Amesoma vyuo vya online viwili ambavyo ukisearch HAVIPO. Huyu ndio anaenda kutatua kero za WASOMI wenye madegree waliokosa ajira. MALAYA kama hawa ndio wanasemaga wameokotwa majalalani.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
54
93
744
43.2K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nduli Idd Amin Mama yeye kasoma degree ya mambo mbalimbali huko Pakistan. Sasa angalieni CV ya huyu kilaza mwenzake aliyemteuwa kuwa Naibu Waziri haram wa ajira, hivi kweli huyu anastahili Uwaziri achilia mbali hata Udiwani? Waziri haram anacertificate 3 na zote ni za online halafu vyuo vyote alivovitaja kwenye CV yake hata ukiingia google kuvitafuta havipo isipokuwa kimoja tu maana yake yuko na Certificate za kununua pale Karikakoo kwa Machinga wa vyeti vya Taalum.😂 Kwamba Waziri haram mwenye certificate za mchongo ndio ataongoza wizara ya ajira? Mtu kama huyu atamsaidiaje kijana mwenye degree ambaye yuko mtaani hana ajira? Waziri gani ana udaktari wa mchongo ule wa kununua kama ule wa Babu Tale? Nduli Idd Amin Mama kaamua kujaza vilaza wenzake ndani ya Serikalini haram maana hapendi kabisa maana watu wenye akili maana anajua watamchallenge. Anapenda vilaza wenye elimu mbalimbali kama yeye ili awaburuze halafu hapa mtegemee nchi itasonga mbele.🚮🚮🚮🚮
Hilda Newton tweet media
Indonesia
40
72
298
22.8K
MhiniⓂ️
MhiniⓂ️@tea12cup·
@HecheJohn Shida kijana wa wawatu waamkujia kumuumiza kisa kawafeli
Indonesia
0
0
0
96
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Jana nilipokwenda kuhuduria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso. Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo… Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria na kusikiliza sera, misimamo na hoja zetu. Lakini huyu kijana, watu wetu walipomgundua na kumhoji alisema alikua ameambiwa kwamba tukianza kuzungumza kuhusu ripoti ya Chande wazomee.. Lakini pia wafanye fujo na kutoka ukumbuni, ionekane vijana hawakutusikiliza. Kwenye simu yake alikua anawasiliana na mtu anaitwa Shangwe Mtei ambae ni kiongozi wa Uvccm. Huyu Shangwe akawa anamhakikishia kwamba hata kama wako wachache wafanye fujo kwasababu OCD alikuwepo nao pale. Ghafla huyu kijana akiwa anahojiwa na watu wetu kwanini yuko pale na nia yake ni ipi, Magari mawili ya polisi yalikuja pale kitendo kinachoonesha kwamba tukio hili lilikua limepangwa kwa ushirikiano huo. Huyu kijana alikua ametumiwa muamala wa sh 50,000 kwa madai yake walitumiwa wote na wenzake, na walipatwa hofu na kutokufanya fujo kwasababu vijana wa Chaso walikua wengi zaidi na pia ulinzi ulikua imara.. Fikiria kwamba huyu ni kijana wa chuo kikuu ana fikra na mawazo ya kutumwa na kulipwa sh 50 elfu!! Tuna safari ndefu kama Nchi Lakini lazima tufike.. Asante watu wetu wa ulinzi kwa kazi nzuri.
Suomi
75
316
953
43.4K
MhiniⓂ️
MhiniⓂ️@tea12cup·
@therealrigoh Bado kuna tiketi tatu zimebaki pale kwa dollar 2.3m kila moja ...wahi sasa
Filipino
1
0
0
35
ochola..🦅⚠️
ochola..🦅⚠️@therealrigoh·
World cup ya msimu huu inaweza kuwa ndio world cup itakayokuwa na idadi ndogo ya watazamaji Sababu Masaa kutofautiana hasa nchi nyingi za Africa Gharama kubwa mfano viingilio,malazi nk Visa. Mdau kutoka DM 🗣️ je unakubaliana nae kwa asilimia ngapi? 🤔🤔
Indonesia
8
12
46
1.9K
MhiniⓂ️ retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
#Pichani anaitwa Damuru ni mkazi wa Mburahati, ametekwa mida hii na watu wasiojulikana, watekaji walikuwa wamevaa musk nyeusi usoni. Walikuwa na gari ambalo mbele lilikuwa na plate number 125 DFPA na nyuma namba 28957
Hilda Newton tweet media
Indonesia
17
311
1K
25.8K
Kigoma C. MUYA 🇹🇿
Kigoma C. MUYA 🇹🇿@chadema_NorthEU·
@swahilitimes Mbona mimi nawatukana kila siku na hawanikamati wakati naishi jirani na central. Mbwa sana @tanpol nyie ni nyoko. Mmewapiga risasi ndugu zangu wa 2 wakiwa likizo nyumbani kwetu, hata maandamano hawakushiriki. Kamwe sitowasamee, ntapata amani hadi nilipe kisasi, mbuzi nyie.
Indonesia
5
3
42
2.2K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Jeshi la Polisi limesema limewakamata watu watatu wanaodaiwa kutumia mitandao ya kijamii kuwatusi wengine wakiwemo wajumbe wa Tume ya Uchunguzi wa Ghasia za Oktoba 2025. Polisi wamesema watuhumiwa hao wamekamatwa mikoa ya Arusha, Iringa na Mbeya, huku msako wa kuwakamata wengine ukiendelea.
Swahili Times tweet media
Indonesia
54
12
330
37.2K
MhiniⓂ️ retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Nimefurahi kupokea Tuzo hii ya ushajaa ya Mwenyekiti wetu Tundu Lissu. Tuzo hii imetolewa na vijana wa vyuo vikuu Mkoa wa Dar es Salaam, kwa kutambua mchango wa Mwenyekiti katika kupigania, Demokrasia, haki na usawa katika Nchi yetu. Kwa niaba ya Mwenyekiti ninawashukuru sana .
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
Indonesia
35
346
1.8K
17.7K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Ni wangapi kati yetu humu tunaingiza kipato kupitia hizi AJIRA MILIONI 8.7 zilizozalishwa na serikali ya awamu ya sita?🤔🤔 Kama una ajira — NDIO Kama hauna ajira — HAPANA Factchecking⬇️
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
15
7
32
4K
Farah Omar
Farah Omar@FarahOm91196252·
Zanzibar Uchumi wao umekuwa sana kima cha chini laki tano chakula rahisi sukari bei rahisi mafuta ya kula rahisi matibabu bure Tanganyika matibabu fedha mbele kusafisha figo 200000 kwa siku mara tatu kwa wiki 600000 kwa mwezi 240000 fukara Tanganyika omba usiugue figo ni kifo
Indonesia
5
0
20
885
MhiniⓂ️
MhiniⓂ️@tea12cup·
@PMadeleka Utaitwa muuaji pia mzee wangu, mashabiki wa ripoti ya chundu sio waadilifu kabisa
Indonesia
0
0
1
129
MhiniⓂ️ retweetledi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Kwa hiyo, ina maana mpaka sasa kuna BUNDUKI 197 ZIPO ZINAZAGAA TU MTAANI? Ni nani ANAMILIKI BUNDUKI HIZO ambazo ZILIUWA MAMIA YA WATANZANIA? Lakini ilikuwaje BUNDUKI HIZO ZIKAINGIA NCHINI BILA UDHIBITI?🥲
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
13
25
207
6.2K
MhiniⓂ️
MhiniⓂ️@tea12cup·
@MrCEO001 Naona wanaongezana tu vima vya mishahara nikajua sisi mabosi wao sio wafanyakazi
Indonesia
1
0
1
4
Mr. CEO 💰
Mr. CEO 💰@MrCEO001·
Kwenye hiki kizazi cha Gen Z ukitaka kupata wife material kwa wepesi, wewe muulize kama anajua kupika chapati akisema anajua ujue huyo ni mke! Ningeeleza kwa undani ni vile nawai kazini 🙂🙌 Good morning everyone 😊🖐
Indonesia
28
29
65
1.5K
MhiniⓂ️
MhiniⓂ️@tea12cup·
Kwa sasahivi kupata kijana Mzanzibari mwenye akili ni ngumu sana.....ni mabumunda tu
Filipino
0
0
0
7
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Kenya hakuna mambo ya kubebana kwenye siasa kama sio msomi na hauna Logic wanakutema wako systematic sana😁
Filipino
22
45
371
6.5K